pasptechs255
165 posts

pasptechs255
@techs255
lets build the tech industry having techs problems? dont hesitate to contact us via our email [email protected]
meta Katılım Haziran 2020
181 Takip Edilen116 Takipçiler
pasptechs255 retweetledi

@techs255 @EsirEid Niliacha ndala huko.
Ni Mkoa jau sana
Poor Infrastructures
Watu wanaamini sana uchawi kuliko kitu chchte
Hawana pesa wanasurvive tu[low purchasing power]
Binafsi Never ever again haswa ukiwa sio mzawa sikushaur kwenda, nilitelekeza biashara zangu na sitokuja kujutia kuondoka
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Kigoma kuna Uchawi saana-
Mtu mwenye akili timamu HAWEZI INVEST huko😅
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga
@EsirEid Huna apartments huku Kigoma tajiri na sisi tuufinye?
Indonesia
pasptechs255 retweetledi


@Njoroge761 @ally_eh Hio sio mwanza TU hata dar na Arusha mvua ikinyesha aaah ni mtafutemtafute
Indonesia
pasptechs255 retweetledi

Never forget that Samia Suluhu killed thousands of our compatriots.
It is incumbent on us to ensure accountability is attained.
We must strive to fully restore the integrity & dignity of our land and The People, respectively!

WelBeast@WelBeast
Bro to Bro:
English

Hizi ni propaganda na utapeli tuu
Onesmo Shoo@OnesmoShoo
@FKihamu Kupigana na Israel ni ngumu Sana,wale Wana ahadi ya Mungu,na kauli ya Mungu ni hakika.
Indonesia

@lifeofmshaba Na kwanini tutafute mafuta ya kupikia kutokea nje wakati tuna mafuta kutoka Dodoma, Singida, Shinyanga na mikoa mingne
1. Singida- Alizet
2. Dodoma- Alizet na Ufuta
3. Morogoro-Ufuta
4. Shinyanga - Mafuta ya Pamba
5. Kigoma -Mawese. Nakadhalika
Mungu alitupa viongozi gani sisi
Filipino

Ila Zanzibari this time wametupata
Tajiri wa Zanzibar anaingiza mafuta kwa bei nafuu kutoka nje ya Zanzibar
Kisha anasema ana mafuta anapeleka Tanganyika
Mafuta ameingia huko kwa utaratibu tofauti yaani nafuu
Hii maana yake nini
— Ajira za Watanganyika kwenye viwanda vya mafuta hatarini
— TBS imezungukwa na itapewa amri kutulia, magojwa kama figo mtaona yakiripuka maana hayo mafuta ubora wake itakuwa tia maji tia maji kwa lengo la kupata faida , mnafikiria mtu anaweza ingizia mafuta Zanzibar kisha anayasafisha tena kuja Tanganyika hiyo gharama ya shusha pandisha nani anailipa? Hapo wana cheza na ubora na mkifa kwa Bi Msumi sio issue
— Tanganyika kukosa kodi ya haki kuna amri kuhusu namna hili kufanyika kama wanabisha wasema Zanzibar viwanda vinazalisha mafuta kiasi gani kutokana na mazao gani! Yaani Tanganyika ikose mafuta ya kula halafu Zanzibar tawepo mpaka kuleta huku eti magendo !? Kwa nini Polisi nao wasianze kuiba usiku hili kuzuia ujambazi, yaani wahuni wakifanya kitu kinahalalishwa !?
— Bandari za Zanzibar kupokea haya mafuta kisha kuvusha Tanganyika na majahazi ni kutorosha uchumi wa Tanganyika kwenda Zanzibar kwa kuchepusha meli za mafuta zilizotakiwa kuja Tanganyika zikashushe Zanzibar
Mnajua meli za madawa ya kulevya zimesajiliwa Zanzibar, mipango yao ni kushusha mzigo
Mwingi Zanzibar kisha kuuleta Tanganyika wakati ulitakiwa shuka Tanganyika kwenye bandari kubwa na ukaguliwa, ukishashuka Zanzibar unakuwa kama mzigo wa ndani
Hapo ndipo madawa ya kulezwa yanakwenda ingizwa kama mchanga
Hawa wapumbavu wanatafuta kila sababu kuingiza hiyo stock ya madawa ya kulezwa wameficha hapo kizimkazi, wameruka na mandege na kuingia hapo mzigo namna ya kuutoa hapo ndio issue maana watu wa TISS upande wa Tanganyika hawaaminiki na Bi Msumi
Huu upuuzi tuukatae, mzigo wa Tanganyika ambao sio original ya Zanzibar usishuke Zanzibar hakuna maana yoyote kufanya hivi kimiundo mbinu, kiuchumi, ajira na Kodi pia usalama wa Tanganyika
Huu Muungano siku ukifa wengi tutapata furaha sana

Indonesia
pasptechs255 retweetledi
pasptechs255 retweetledi
pasptechs255 retweetledi
pasptechs255 retweetledi

@AlexSamoja @Gibson44178359 Miongoni mwa miradi makini ambayo serikali zote za CCM zimeitelekeza kwa uhakika ni mradi wa "Ujinga, Maradhi na Umasikini"
Huu ndio mradi unawapa uhakika wa ccm kuongea uongo na kutufanyia takataka zote sababu wana uhakika watz wote tupo ndani ya reli
Indonesia
pasptechs255 retweetledi

@DMaabara We hujiulizi kwanini maprofesa wanaacha ulecture wanaenda kuwa wanasiasa?? Jiongeze mkuu
Indonesia











