MāđýPùņđıť🦁
3.5K posts

MāđýPùņđıť🦁
@MadyTwaa
-Muslim☪️ Alhamdullah🤲🏻 -Mèđıçàł Đøćțøŕ 💉🩺💊
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Temmuz 2019
85 Takip Edilen104 Takipçiler

@capitanpapilon @rajuQuire @Adv_innocent Ishu sio mtoto kujipata au kutojipata ishu ni nguvu ya wewe mzazi kuendelea kupambana kumbuka kadri umri wako unavoenda mwili unapoteza nguvu na ukichelewa kuzaa wewe majukumu yako ya uzeeni yanakua makubwa kuliko nguvu zako

Unapata mtoto ukiwa na miaka 30, mtoto baada ya miaka 6 anaanza darasa la 1, wewe una miaka 37, anamaiza la 7 wewe una miaka 44. Anamaliza form 4 wewe una miaka 48. Anamaliza form 6 wewe una miaka 50. Anajiunga na JKT wewe una miaka 51. Anamaliza chuo kikuu (maximum miaka 4) wewe una miaka 55. Anatafuta kazi na kuanza kujitegemea mwaka 1/zaidi, wewe una miaka 56. Hapo tufanye hajafeli wala kurudia vidato. Huyo ndio first born wako. Usisahau Life expectancy ya Tanzania ni miaka 52.
Enhee! 🤔
888@444holywitch
Ni mitandao na pressure za jamii ila sio kitu cha ajabu kutokuwa umeoa au kuolewa ama kutokuwa na mtoto katika miaka 30's. Umri ni namba, kuzeeka ni hisia.
Indonesia

@AmRosalinee 98% ya watu ni watumwa,
Kama ajira umeipata, bora uajiriwe tu
Indonesia

@AmRosalinee @Rehemawilliams1 Lakini ndio muhimu sana kuliko mateso ya kujiajiri
Indonesia
MāđýPùņđıť🦁 retweetledi

@RachelWilsb @IAmHaule Hapo umenena mzee mimi marafiki zangu weng wanabenefit zaid kutoka kwangu, mm huwa tunapiga maybe stories au ushauri, ila najua nikihitaj 200k ya urgently siwezi pata ila wao huwaga nawasapport sana, na issue ni hapo kwenye kupat new cycle
nikizidiwaga san inabid niwachek family
Filipino

@MadyTwaa @gabyconscious VIVA ROMA VIVA
....Na wasanii tuombee Rais ajaye asipende tu uvuvi
Ikulu wataalikwa wapemba hatutamuona hata Lukuvi!
Suomi

@JosipGiuseppe @gabyconscious Nakubali Big
Naomba nikumbushe Kuna ule mstari wa Roma unamtaja lukuvi nikumbushie kama unaukumbuka na jina la ngoma nianze kuruka nayo
Eesti

@gabyconscious Kwa UKIMWI wanakufa masikini, wakiondoka viongozi ni SHINIKIZO LA DAMU - Joh Makini
Indonesia

@RachelWilsb @IAmHaule Mimi niko na mmoja wa hivi
Nifanyaje sababu ni mwanangu wa zaidi ya 6 years
Indonesia

@IAmHaule -Kusema watu
-Ukiwa nae anaelezea matatizo yake tuu
- Wakati wa shida hana msaada
-Hana mawazo ya kujenga
-Kila siku anataka asaidiwe yeye tuu
Indonesia

@marxwelbe @assengajrr Ushaambiwa Tafuta masoko kwanza, njia za usafirishaji sio magari tu
Indonesia

@KennedyMmari Tanzania Used to be the biggest economic until Kagera war, pia iko na many resources, so ni swala la muda tu
Filipino

Kenya announced a corridor. Tanzania captured the cargo. Same case with BRT in Dar es Salaam VS BRT in Nairobi.
LAPSSET remains one of East Africa's most ambitious infrastructure visions and one of its most delayed. Multi-country coordination, incomplete financing, and security exposure across Ethiopia and South Sudan have kept it theoretical where it needs to be operational (but they have made some progress).
Meanwhile Tanzania upgraded what already worked. Building SGR. Expanded Dar es Salaam port. The Central Corridor. And when Uganda needed a pipeline route, Tanga won, not on ambition, but on reliability and execution.
Logistics dominance is won on throughput and trust, not blueprints alone.
If Kenya doesn't accelerate (and I suspect it won’t😅), it won't lose to a better plan, it will lose to a working one and almost surely, Tanzania might eventually become the biggest economy in East Africa. May we live to bear witness.
Uchumi 360@Uchumi360
Kenya’s LAPSSET Corridor aimed to dominate regional trade. But delays have opened space for Tanzania’s Central Corridor to capture the flows. In logistics, execution not ambition wins. uchumi360.com/regional-econo…
English

#TajiriLaKihaya
Kigoma kuna Uchawi saana-
Mtu mwenye akili timamu HAWEZI INVEST huko😅
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga
@EsirEid Huna apartments huku Kigoma tajiri na sisi tuufinye?
Indonesia

@EsirEid @techs255 Nilikuwa na Dispensary aisee wagonjwa wanakuja mpka mitishamba na dawa za waganga zikidunda
Waha wanajikuta wajuaji na hawajui chochote, mfano anakuja anaumwa ila kichwani anawaza doxy tu hata kama ttzo halihusiani
Hawjui kupka, migahwan vyakula vimejaa mawese, daa😁 niliteseka
Indonesia

@u333111 @bensegoro @Haqiqatjou But the prophet found you the most stupid and idiotic civilizations killing girls alive and then you became again the most stupid civilizations (zionist puppets)few years after he left
English

@bensegoro @Haqiqatjou Which Islamic world?! We are the first Muslims
and we are the ones who taught your ancestors how to become a Muslim
English

Iranian leadership: Let's build nuclear centrifuges and enrich uranium.
Saudi leadership: Let's build another luxury hotel, but with a clock on top of it, like Big Ben.
Iranian leadership: Drones are the weapon of the future. Let's build the cheapest, most effective kind.
Saudi leadership: Let's build a random city in the desert, but make it a line and give it a cool name like Neom.
Iranian leadership: Ballistic missiles will establish deterrence. Let's become a global leader in hypersonics.
Saudi leadership: Let's build the biggest cube-shaped shopping mall in the world.

English

#TajiriLaKihaya
This was said 1400 years ago in the Quran🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Wanaogopa Kifo kama nini😅😂🙌🏽

Indonesia

@Drinking_cham @EsirEid Nyie fanyeni biashara na Warundi na wakongo tu, ndo mnawezana vizuri kwenye mindagu yenu
Indonesia

@EsirEid mkoa gani? Tanzania hauna uchawi tena Dar es salaam kati ya watu 10 basi watu nane ni washirikina(wachawi).
Indonesia

@techs255 @EsirEid Niliacha ndala huko.
Ni Mkoa jau sana
Poor Infrastructures
Watu wanaamini sana uchawi kuliko kitu chchte
Hawana pesa wanasurvive tu[low purchasing power]
Binafsi Never ever again haswa ukiwa sio mzawa sikushaur kwenda, nilitelekeza biashara zangu na sitokuja kujutia kuondoka
Indonesia

@EsirEid Ulichokiandika ni sawa na mtu aseme
"china Kuna sera nzuri na miundombinu Bora Kwa ajili ya viwanda huwezi kuwa na AKILI timamu ukaenda kuwekeza tanzania(Africa) kwenye tozo,Kodi lukuki"
Sasa nakuachia ujitathmini mwenyewe usije ukasema nimekutukana!!
Indonesia

@sharif_bundala @MadyTwaa @EsirEid Pamoja na matatizo ya US lakini bado mwisilamu ana uhuru wa kujenga msikiti na kuabudu bila kuingiliwa. Unajua adhabu ya mkristo kuabudu/kujenga kanis au hata kukutwa na Biblia kule Saudia?
Unajua adhabu ya kupika chakula nyumbani kwako kwenye mwezi wa Radhamani kule Zanzibar?
Indonesia






