Giant's bane

2K posts

Giant's bane banner
Giant's bane

Giant's bane

@tweetsby_Allen

|Beyond the expectations.| Just an ordinary man struggling to make ends meet.| One of three Dad's stubborn boys. #GOD, #wealth, #family.

Dar es salaam and Nyamiyaga Katılım Eylül 2016
2.2K Takip Edilen568 Takipçiler
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
Kiufupi tu mimi siwezi kushangilia Club miaka 13 haijabeba kombe la ligi.
Indonesia
31
41
276
7.2K
Giant's bane
Giant's bane@tweetsby_Allen·
@ItsKamala Umeeenda lini kaka? Rwabununka imepigwa lami zaidi ya miaka 10 sasa. Kuanzia Kilela kanisani hadi Nfasha. Sema haiondoi ukweli kwamba mlima ni mkali na unatisha sanaa.
Filipino
0
1
5
231
Kamala Dickson
Kamala Dickson@ItsKamala·
Karagwe kuna Mlima unaitwa Rwabununka ukifika hapo inafaa uombe kwanza , Barabara ni mbaya, Geographical ya sehemu ni steep slop +, Kuna ushirikina na wanatambikiaga hapo. Kama ni Mgeni kule kabla ya kupita waulize wenyeji
Indonesia
5
5
101
5.7K
Giant's bane
Giant's bane@tweetsby_Allen·
@ItsKamala Nyie mbona mnataja maeneo ya karibu yenye mtu ukitoka saa 9 usiku unafika Kayanga saa 12. Mtu anakaa Cheitororo huko huyo kupata gari inatakiwa asilale.
Indonesia
1
0
3
79
Kamala Dickson
Kamala Dickson@ItsKamala·
Kutoka Karagwe (Murongo/ Bisheshe/ Nyakaiga/Omukariro) mpaka Dar ni mwendo wa siku 2 na masaa hapo lazima uunge magari 2. Mkituona Mjini ni basi tumekuja kutafuta our family survival otherwise tungebaki kijijini tuchunge Ngombe Tanzania is big
Filipino
9
7
84
3K
Giant's bane
Giant's bane@tweetsby_Allen·
@ItsKamala Omugakorongo-Murongo na Nyakahanga- Benako watakuwa wameufungua ule Mkoa.
Indonesia
0
0
1
70
Kamala Dickson
Kamala Dickson@ItsKamala·
Wabunge wa Mkoa wa Kagera wangeshikilia shilling ya wizara ya Ujenzi, Barabara zote za mkoani hazikamiliki, Ile ya Rwamishenye -Mpaka Custom (Uganda road) Mwaka wa 4 Ipo, Za Karagwe (Nyakahanga-Benako, Omugakorongo-Murongo) Contractor kakimbia, Nyakanazi - Bmlo - Ngara-Benako
Indonesia
10
6
52
3.1K
Giant's bane
Giant's bane@tweetsby_Allen·
@hamzaalbhanj Nachingwea-Songea-Mbinga-Songea-Njombe-Mbeya-Njombe-Iringa-Morogoro-Dar-Morogoro-Dodoma-Singida-Tabora-Shinyanga-Geita-Kagera-Mwanza-Singida-Babati-Arusha-Kilimanjaro-Tanga-Dar.
Indonesia
0
0
0
52
Giant's bane
Giant's bane@tweetsby_Allen·
@TOTTechs Matumizi ya VPN yanapose hiyo challenge vizuri kwa mtandao restricted kwenye jurisdiction fulani
Filipino
0
0
0
47
Giant's bane
Giant's bane@tweetsby_Allen·
@TOTTechs Kwenye Cyber laws kuna challenge moja inaitwa Jurisdictional challenge. I.e sheria za wapi zitumike endapo mtu amefanya kosa akiwa Lets say Rwanda kwa kutumia Platform ya kimarekani iliyokuwa enabled na ISP ya Let’s say Kenya halafu athari zake zikawa felt na Mtu aliyepo Uganda.
Filipino
1
0
1
261
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Mzigo Mwanza 4300. Asante Mama 🔥🔥
Filipino
67
59
741
22.5K
Giant's bane
Giant's bane@tweetsby_Allen·
@DadaConso Unajua Mie March nimenunua Diesel 3,131, in a span of two months nanunua kwa 4500+
Română
0
0
0
11
Mwita C. Mwita
Mwita C. Mwita@Mwitah_tz·
Leo Tanzania na Kenya wameingia makubaliano ya usaidizi wa kisheria katika maeneo ya jinai. Ukitazama kwa juu juu unaeza hisi huu ni mkataba wa kawaida BUT ni kwa lugha nyingine ni kwamba EXTRADITION treaty imeimarishwa. Tanzania na Kenya sasa wanamaanisha wana namna iliyoboreshwa katika ku deal na uhalifu wa aina yoyote kutoka miongoni mwa mataifa haya mawili. Asante.
The Rapid Response Tanzania@responds24

JUST IN: Tanzania and Kenya have signed a mutual legal assistance agreement on criminal matters today at State House during William Ruto’s official visit to Tanzania.

Indonesia
11
4
32
11K
Dada Conso 🐺
Dada Conso 🐺@DadaConso·
Ndio maana nikasema kikubwa ni gluttony.. maana ukiwa mlafi huwezi kuangalia portions.. Wee unajaza tu sahani bila kuangalia.. nimeona videos wengine mpaka wanapigana juu ya ULAFI.. Kuna a lot of YouTube/TikTok accounts zinazohamasisha ubonge na ulafi.. which is wrong. 🤧
Giant's bane@tweetsby_Allen

@DadaConso Hapo sawa, ila pia ni kumind unachokula, Carbs kidogo sana, proteins za kutosha, vitamins na fats kiasi. Usijaze sahani.

Filipino
1
0
0
61
Giant's bane
Giant's bane@tweetsby_Allen·
@DadaConso Hapo sawa, ila pia ni kumind unachokula, Carbs kidogo sana, proteins za kutosha, vitamins na fats kiasi. Usijaze sahani.
Filipino
0
0
0
70
Dada Conso 🐺
Dada Conso 🐺@DadaConso·
Uzuri majibu mengi umeyaandika hapo.. Kulingana na hali ya afya, uzito, jinsia nk tunatofautiana masaa ya kulala Ndio maana sikuandika ulale masaa mangapi, nimesema tu PUMZIKA VYA KUTOSHA.. Mwili wako tu utakuambia kama umepumzika au la.. utakuambia tu eventually..
Giant's bane@tweetsby_Allen

@DadaConso Naomba kuuliza hapo vitu kadhaa, kulala kwa wakati ni ile kulala in btn saa 4 hadi saa 5 na kuamka anywhere btn saa 12- saa 2 au kulala masaa 8? Kingine binadamu tunatofautiana ujue, kuna anaelala 8 hrs + na hasipumzike na kuna mwingine masaa 7 tu kulala ni kipengele? Kipi hapo?

Indonesia
1
0
0
65
Giant's bane
Giant's bane@tweetsby_Allen·
@DadaConso Naomba kuuliza hapo vitu kadhaa, kulala kwa wakati ni ile kulala in btn saa 4 hadi saa 5 na kuamka anywhere btn saa 12- saa 2 au kulala masaa 8? Kingine binadamu tunatofautiana ujue, kuna anaelala 8 hrs + na hasipumzike na kuna mwingine masaa 7 tu kulala ni kipengele? Kipi hapo?
Indonesia
0
0
0
90