Pierre

1.7K posts

Pierre banner
Pierre

Pierre

@ujugumbm

Genetic lab 🧬 ocean 🌊 is life. AI NoFEaR7.4

Zanzibar West, Tanzania Katılım Aralık 2020
317 Takip Edilen326 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Pierre
Pierre@ujugumbm·
If you miss someone just call, text or anything. People going through a lot nowadays.
English
0
1
2
113
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
“Ripoti hizi [za CAG] zinazosomwa kila mwaka zinachangia maboresho au kuimarisha utendaji ndani ya Serikali na mashirika ya umma. Kwa sababu dosari zilizotolewa leo hapa tutakwenda kukaa tuzifanyie kazi kisawa sawa, turekebishe, na mwakani pengine hizi hazitojirudia, tutakuwa tumesogea.” – Rais Samia Suluhu
Swahili Times tweet media
Indonesia
124
29
491
70.5K
Pierre
Pierre@ujugumbm·
@alexpeter_281 @millardayo Yaani ni ridiculous kabsa, even they say it in media? Sjajua kipaumbele gani kimetumika hapa. Is it Religous state? Islamic Wanaokula Kwaresma huku mikoani tuwafanye nini?
Indonesia
0
0
0
6
Pierre retweetledi
Smart Earth
Smart Earth@smarter_earth·
@millardayo Mtu anaekula hadharani kuna sababu ya kumfanyia msako?? Mtu aliyejificha ndo wa kumsaka. Kama wamekamata kwa kuwasaka basi utakua uonevu
Indonesia
2
1
3
273
millardayo
millardayo@millardayo·
Kufuatia taarifa mbalimbali zilizosambaa mitandaoni zikidai kuna baadhi ya Watu Visiwani Zanzibar wana tabia za kula chakula hadharani wakati wa mchana mwezi huu wa Ramdhani, Jeshi la Polisi limefuatilia taarifa hizo na kubaini uwepo Watu hao. Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa mjini magharibi (Zanzibar) amesema walifanya msako na kuwakamata Watu hao 12 katika maeneo tofauti ya mjini ambapo sasa wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi Madema wakisubiri taratibu za kupelekwa Mahakamani. @AyoTV_ hapo awali kabla ya kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani ilifanya mahojiano maalum na Mrajisi wa Baraza la Sanaa Zanzibar ambalo pia husimamia Milka, Silka na Tamaduni za Zanzibar na ambapo alizungumzia kanuni zinazopiga maarufuku mbalimbali za mwezi mtukufu ikiwemo kusimamisha shughuli za mziki, kufungua Baa, ulaji holela wa hadharani na uvaaji usio na staha. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
295
48
788
103K
Pierre
Pierre@ujugumbm·
@CloudsMediaLive Hii media imekua ya ksng sana toka amekufa bosi wenu hamna muelekeo kabsa. Fakeni media
Indonesia
0
0
1
75
Clouds Media
Clouds Media@CloudsMediaLive·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa Futari mtoto Yatima Shuraiya Ramadhan (6) wa Kituo cha Watoto Yatima cha Rahman kilichopo Chang’ombe Jijjini Dodoma. Rais Samia aliwaandalia Iftari Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 27 Machi, 2024.
Clouds Media tweet media
Indonesia
179
31
1.1K
130.9K
Pierre
Pierre@ujugumbm·
Keep tracking your journey, never lose direction.
English
0
0
0
23
Pierre
Pierre@ujugumbm·
@raphyrodrick Huku unaambiwa 2024 mwisho kuni maraa february 16 mwisho umeme kukatika anii tafrani
Filipino
0
0
0
13
Pierre
Pierre@ujugumbm·
@raphyrodrick Eti zumaridi kamuombea mtu roho ya michael jackson imuingie huyo kijana kweli tutafika?
Suomi
1
0
0
16
Pierre
Pierre@ujugumbm·
Naiona kabsa hii ZUMARIDI anashinda ubunge 2025
Filipino
0
0
0
36
Pierre
Pierre@ujugumbm·
@raphyrodrick Unawza kuta ZUMARIDI akaingia bungeni 2025 kaka, Tanzania ina vituko vingi sana
Indonesia
1
0
0
16
Pierre
Pierre@ujugumbm·
@raphyrodrick Oyaa angalia ZUMARIDI anakuja kufundisha pale form V comb ni DHL 😂
Indonesia
0
0
0
6
Pierre
Pierre@ujugumbm·
@raphyrodrick Kaka niliona mbali nikashtuka ni mtego. Huenda ningekesha saivi kusoma shetani mpya
Filipino
1
0
0
27
Pierre
Pierre@ujugumbm·
Hawa TAMISEMI walivyoweka hizi combination za DINI sijui wanataka tugundue SHETANI mpya au vipi? @rollymsouth @Isha59492557
Indonesia
0
0
0
757
Pierre
Pierre@ujugumbm·
@abazwhyllzz Never disrespect money.. stop comparing money 💴 with shiit
English
0
0
0
2
𝔸b𝕒𝕫𝕫
𝔸b𝕒𝕫𝕫@abazwhyllzz·
Be honest,a date with her or 5 million naira cash?
English
3.8K
344
6.3K
1.2M
Pierre
Pierre@ujugumbm·
Just need someone to believe in me.
English
0
0
0
16
Afisa
Afisa@President_Afisa·
@ayubu_madenge Shida ni baada ya CCM kuteka kile chuo. Anangisye aliruhusu siasa za CCM waziwazi chuoni hadi leo. Hata PhD feki ya Mwigulu imezalishwa pale.
Indonesia
4
1
21
2.2K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
UDSM ilikuwa haitoki kwenye orodha ya vyuo Vikuu 5 bora Afrika, ilikuwa inatoa Wakuu wa Nchi, Maspika wa Bunge, Majaji, Wanazuoni na Waandishi bora wa Mataifa ya Afrika. Leo hii baadhi ya Wahitimu wa Chuo hiki wanafanya mambo ya aibu yakusikitisha. Wanashusha Hadhi ya UDSM.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
178
103
1.7K
76.7K
MOST WANTED
MOST WANTED@MostWanted_255·
Sisi Jobless kma isingekua mitumba ya karume na mwenge tungekua tunavaa ngozi qmmmq 😂
MOST WANTED tweet media
Indonesia
15
11
66
3K
MeaMswahili
MeaMswahili@meamswahili·
Rais Samia Amewakutanisha Wanamuziki @diamondplatnumz na @harmonize_tz Hii Leo Katika Tukio la iftar Lililoandaliwa ikulu ya Dar es Salaam. Sio Hao tu Bali Kuna Watu Wengine Maarufu na Wasanii Mbalimbali Ambao Wamebahatika Kupata Mualiko Huo Kutoka Kwa Rais. #MeaMswahiliUPDATES
MeaMswahili tweet media
Indonesia
2
3
42
830
WelBeast
WelBeast@WelBeast·
Arsenal vs Porto. Screenshot and share your predictions. Let's go.
GIF
English
2K
222
3K
746.6K
John kalage 🇹🇿
John kalage 🇹🇿@kalage_jr·
Wanaume wenzangu mtanisamehe sana jua ni kali nimenunua lamba lamba..
John kalage 🇹🇿 tweet media
Filipino
30
8
327
21.6K