Kigogo WaMabadiliko
2.3K posts

Kigogo WaMabadiliko
@wamabtz
Mtanzania tu, naipenda nchi hii na familia yangu. 🇹🇿

Viwanda na wawekezaji wa viwanda wanapendelea nchi zenye strong logistics systems. Logistics efficiency ndiyo msingi wa industrialization huo kwa Tanzania tumeonyesha njia kuwa economic accelerator wa ukanda huu.

Ushahidi wa wananchi ulithibitisha matumizi ya silaha kama mapanga na mabomu ya petroli katika shambulio lililoratibiwa. Tume ilichukua taarifa hizi kwa uzito na kuzitumia katika uchambuzi wake wa kina na wa kuaminika #TumeImesikilizaWananchi #TumeYaUchunguziReport


KATIBA MPYA YA KENYA 2010 "KUTIA MOTO" MALI ZA WATU/UMMA NI HALALI. Golf Mike Uniform. Dodoma,Tanzania. VIONGOZI WA Serikali ya Kenya hawa hawa wakina Mh William Rutto miaka ya nyuma walipigania uwepo wa KATIBA MPYA ETI yenye kujali haki za watu/"Wananchi" ya mwaka 2010.



Tundu Lissu aripoti kupata maumivu makali ya tumbo 'toka kuzaliwa' baada ya kupewa vipande vya matunda. Akiutaarifu umma, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameeleza kuwa Lissu amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya tumbo. "Nimeongea na Dk. Nshala, mwanasheria mkuu wetu wa chama. Ameniambia wametoka kumwona mwenyekiti wetu gerezani jana na juzi," Heche ameeleza leo Kahama. "Mwenyekiti alipewa chungwa kidogo, papai, kipande cha nanasi na embe. Alipomaliza kula, tumbo likaanza kumuuma vibaya. Kwa maneno ya Mheshimiwa Lissu na maumivu aliyowahi kupitia, anasema alisikia maumivu ambayo hajawahi kuyasikia tangu alipozaliwa," alieleza zaidi Heche.




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayesimamia nchi za Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe, Bw. Nathan Belete, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Mei, 2026.













📍Kahama- Shinyanga Leo kwenye #ToneTone Wananchi wa Kahama wamekichangia CHADEMA shilingi milioni 2,700,700. Na wewe unaweza kuchangia TONE lako kupitia Mpesa 0744446969 – CHADEMA HQ

PETE: PALE ALIPOPAACHA LUKUVI ISMANI MIMI NITAMALIZIA. Mgombea Ubunge Jimbo la Ismani kupitia Chama Cha Wananchi CUF Nassim Yahaya Upete ameendelea na Kampeni za kuomba ridhaa kwa wananchi kwenye Uchaguzi Mdogo Jimbo la Ismani katika Kata ya Kising’a ambapo anewaahidi wananchi wa Kata hiyo kumaliza yale yote yaliyoachwa na Hayati William Lukuvi hivyo wampigie kura za ndiyo ifikapo June Mosi, 2026 Kwani atawatumikia wananchi hao hivyo wamtume. #TumeImesikilizaWananchi #TumeYaUchunguziReport Ripoti Ya Maridhiano








