Wan bissak

274 posts

Wan bissak banner
Wan bissak

Wan bissak

@wanbissak

19°E 45°W Katılım Temmuz 2021
114 Takip Edilen84 Takipçiler
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Ningekuwepo TDM ningefika kwa Chopa, Wanangu wa Tunduma msiniangushe mkampe support mwanetu atakuja kukemea Ngono zembe na Madawa. 🔥🔥🔥😂
Taivina James tweet media
Indonesia
10
35
167
5.8K
Wan bissak
Wan bissak@wanbissak·
@kasezelo99 @bonifacejoseph_ Ukitoa mataji aliyotwaa Iniesta,ambayo ni WC x1,2010,UEFA x4,na La liga x9,hakuna kitu ambacho anamzidi bruno, Bruno anamzidi magoal iniesta,pia anamzidi Assist iniesta.
Indonesia
1
1
1
29
Dr Ben
Dr Ben@kasezelo99·
@bonifacejoseph_ Acha uongo kaka, Iniesta sio bora kama Bruno ni ile hype ya 2010 tu, jamaa kasema fact tu, Bruno ni bora kuliko Iniesta Uzuri Iniesta tumemuona wote 😅😅😅
Filipino
11
1
1
4.8K
Wan bissak
Wan bissak@wanbissak·
@MarekaMalili Mimi nlimwambia jamaa wa boda punguza speed akasema kapande kinyonga😄 😄
Indonesia
1
0
0
10
Wan bissak
Wan bissak@wanbissak·
@chapo255 😄 😄 Mimi naitaka hiyo kazi ya laki nane,hata weekend nitaenda kazini bila kulipwa posho.
Filipino
1
0
0
13
Tujifunze silaha za kivita.
Tujifunze silaha za kivita.@SeekNaturalLife·
"Mipango mingi huwa inapangwa chooni" Sitawafunza Kila kitu👊👊
Tujifunze silaha za kivita. tweet media
Filipino
7
3
20
709
Wan bissak
Wan bissak@wanbissak·
@ErickKamihanda Mr Nice kwa enzi zake alikua mkubwa kuliko Nassib,Hapakua na digital platforms,no social medias,vyombo vya habari vichache lakini aliweza kalisha East Africa
Indonesia
1
0
1
24
Eric Does
Eric Does@ErickKamihanda·
Chid Benzi anakuza sana lifestyle na fame yake ya zamani. Ukweli ni kwamba hajawahi kuwa na peak kubwa kama anavyotaka kuaminisha watu. Hajawahi fika level ya Diamond, including Mr Nice mwenyewe hakufika level ya Simba. Zama za Mr Nice wasanii wengi walikuwa choka mbaya.
Indonesia
34
11
118
27.4K
Mr.Mbeya
Mr.Mbeya@baraka_asege·
Milion 30 Kwa Yanga ni pesa ya kawaida ila Bodi kuwage na Double standard simba wamevunja viti 2× lakini adhabu zao zimekuwa milion 5 tu. Waliingilia mlango wa waandishi wa habari Who Judges.? Mwishowe wakaishia kupewa adhabu za 5M.
Mr.Mbeya tweet mediaMr.Mbeya tweet media
Filipino
19
5
137
16.3K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Rashford kwetu alianza kuleta ufaza, huko Barca ni mnyama kazi kweli.
Indonesia
15
9
314
7.4K
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Mkuu @TitoMagoti tarehe 12 June, Neema Gospel tutakua na ibada inayoitwa Grateful itakua ni kuimba mwaa mwee Kama admin nimekuona wewe ni mdau wetu mkubwa sana kule IG, naomba nikupe mwaliko Kama upo nje ya nchi tarehe hiyo sasa ufanye utaratibu uwepo
Indonesia
33
13
335
28.8K
mTusi original 👦
mTusi original 👦@mTusiOriginal·
Sabato ulifanyika kwa ajili ya mwanadamu na sio mwanadamu kwa ajili ya sabato Najua wengi humu ni wasabato kuna heche na wengine wengi akina chura na ulevi wake akina travis kitengo na ujinga wake. Leo ni pumziko mazee sio kila siku kazini Sabato njema😂😂🙌🙌
mTusi original 👦 tweet mediamTusi original 👦 tweet media
Indonesia
11
17
43
1.2K
Wan bissak
Wan bissak@wanbissak·
@mkemi4mkUu Mwaka jana mwishoni,mwanangu mmoja kanicheki kwenye simu mida ya saa moja jioni,anataka tukapige mchongo flani kesho yake,nikamwambia niko busy saiz tutaongea saa mbili usku,inafika mida hiyo napiga simu haipokelewi,alaf saa nne usku naambiwa kapata ajali kafariki,walikua watatu.
Indonesia
0
0
0
17
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Benson Makali Kigaila atakua anapiga ngumi ukutani,,, Wakali wamerudi kwenye Mjengo Mikocheni wanapigwa kipupwe na kuandaliwa Coffee pembeni Mzee wa Visungura Mrema yuko zake Bonyokwa anamalizia hela za Project. Ila Maisha bana 😂😂😂
Filipino
35
50
609
15.9K