Sabitlenmiş Tweet
YOUR_ENEMY™
16.9K posts

YOUR_ENEMY™
@well12man
Optimist lone wolf Having some fun 😋 @ChelseaFC
geto Katılım Ocak 2018
2.5K Takip Edilen6.3K Takipçiler
YOUR_ENEMY™ retweetledi
YOUR_ENEMY™ retweetledi
YOUR_ENEMY™ retweetledi

Wakuu hii kesho ni ya lini mbona haifiki?😂
Young Africans SC@YoungAfricansSC
Rasmi; Ujenzi wa uwanja unaanza kesho
Indonesia
YOUR_ENEMY™ retweetledi

Rio Ferdinand accused of sports washing after going on Tanzania govt visit hosted by minister - his "good friend" - who has been sanctioned by USA for gross violations of human rights. thetimes.com/sport/football…
English
YOUR_ENEMY™ retweetledi

Jana usiku, David Djumbe (@daviddjumbe), ambaye ni msaidizi binafsi wa Mwenyekiti wa CHADEMA, @TunduALissu, alitekwa na watu wenye silaha nje ya lango la nyumba yake iliyopo Bunju, Dar es Salaam. Hata hivyo, kutokana na ujasiri wa madereva wa bodaboda waliolifuatilia gari la watekaji hao, wahalifu hao walilazimika kusimama na kufyatua risasi hewani ili kuwatawanya. Licha ya kufanyiwa ukatili na kuumizwa vibaya, David Djumbe alifanikiwa kutoroka mikononi mwao akiwa bado amefungwa pingu.
MaCCM mnataka nini hasa? Hamtaki kabisa tufanye siasa? Hamtaki uwepo wa vyama vya upinzani?




Indonesia
YOUR_ENEMY™ retweetledi

Natoa pole nyingi sana kwa Msaidizi wa Mheshimiwa Tundu Lissu, Ndugu Jumbe, kufuatia tukio baya na la kinyama lililomtokea. Huu si utamaduni wa Watanzania, wala si maadili yanayopaswa kupewa nafasi katika jamii yetu.
Tofauti za kisiasa zisigeuke sababu ya chuki, vitisho, au mashambulizi dhidi ya watu. Taifa lenye afya ya kisiasa hujengwa juu ya ushindani wa hoja, heshima ya utu wa binadamu, na kulinda haki ya kila mtu kuwa salama bila kujali itikadi yake.
Wananchi, wakati umefika wa sisi sote kupaza sauti na kukemea matukio ya aina hii bila kujali tofauti zetu za kisiasa. Ukimya mbele ya uovu unaweza kuupa nguvu uovu wenyewe.
Namtakia Ndugu Jumbe uponaji wa haraka na nguvu katika kipindi hiki kigumu. Pia naomba vyombo husika vifanye uchunguzi wa haraka, wa haki, na wa uwazi ili wote waliohusika wakamatwe na kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.
Indonesia


mambo
... poa..
ok sawa.
IAmHaule@IAmHaule
Dry conversations , ndio conversation ya aina gani ?
Indonesia

thinking htf did you do to deserve such humiliation.
Softboy@softboywin
bro wtf are you supposed to do while people are singing happy birthday to you
English

gen z hawawezi elewa hapa
Aruatani✨@Aruatani
Hii pia ilikuwa ni Project ya Anko Tolu maana wengi wao waliolewa na wadosi wazawa..😂🫵
Indonesia

itumike AI alafu ujengwe kweri tupo hapa.
Young Africans SC@YoungAfricansSC
Muonekano wa uwanja wetu nyakati za usiku

@YoungAfricansSC sasa wanetu hio 5-1 imefikaje hapo
ila timu ndogo bwana 😎

@UrBoyMox haya
what a the advantages and disadvantages of earth being sphere like all orher planets?
English




















