Mr. Wilbert Jr

2.3K posts

Mr. Wilbert Jr banner
Mr. Wilbert Jr

Mr. Wilbert Jr

@wilbertndunguru

Founder | Let’s Play Foundation & SokaRadar @letsplaytz @sokaradar

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Aralık 2013
877 Takip Edilen171 Takipçiler
Mr. Wilbert Jr
Mr. Wilbert Jr@wilbertndunguru·
@Sonko_tips Meridian bet niliwala 9.8m wakaanza kunisumbua wakataka niende kariakoo sijui mwenge etc, nikaja na conclusion ukiona betting company njia zao za kuweka/kutoa pesa ni za mashaka usijaribu kutumia, mimi na recommend sana Sportybet hawana shida na mtu win is win
Indonesia
1
0
2
323
Mr. Wilbert Jr
Mr. Wilbert Jr@wilbertndunguru·
@Sonko_tips 1xbet niliwala 227m nilifanikiwa kutoa 27m tu mwaka 2018, walichokifanya wakatoa njia za mitandao ya simu, nikawasiliana nao wakaniambia watarudisha na principle yao ilikuwa njia unayotumia kudeposit ndio hiyo unatumia ku withdraw, nilihangaika sana 👇
Filipino
3
0
4
1.4K
SONKO
SONKO@Sonko_tips·
Kumanyoko kampuni za kitapeli za Bet unawala milioni 57 wanaamua kuipoteza akaunti yako Wasenge week mbili wananisumbua na verification mara niwatumia Bank statement mara nipige selfie nikiwa nmeshika kitambulisho jumbe zao za email tunazochat alafu wanakuja kuipoteza acc yangu
Indonesia
55
22
439
24.9K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
X Maadili..,Hii imekaaje..?😳😳🤔
Eng.Mapunda Jr tweet media
Eesti
31
18
143
8.7K
Mr. Wilbert Jr retweetledi
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Mtu akikuambia umtafutie kazi hajamaanisha umFORWADIE LINKS na Adverts… Anahitaji kitu kama; “Hello,Report on Monday you have been referred by so and so…” Or “Nenda kwenye ile Ofisi waambie nmekuagiza” Hizo links na Advets is not it💯
Indonesia
94
216
1.1K
38K
Mr. Wilbert Jr
Mr. Wilbert Jr@wilbertndunguru·
@Maestrowafact Unaweza ukaishi dar na wasikupate sema unahitaji kuwa msiri na mambo yako tu
Indonesia
1
0
11
787
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI
Tanzania kubwa tu ukiwa una tafuta maisha ila ukiwa unasakwa na jamhuri ni ndogo kishenzi 😅😅😅
Filipino
37
65
623
17.3K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Wanetu wa Dar hilo Chimbo la Lubumbashi hapo Mbezi limeanza lini tena Mbona watu Wasiri Hivi ...😅😅💔🙌🏿
Indonesia
21
21
254
14K
Mr. Wilbert Jr
Mr. Wilbert Jr@wilbertndunguru·
@EsirEid Umeongea point kubwa sana lakini issue kwanini mtu anaamua kubeti? Kwaasilimia kubwa watu wengi wanaobeti hawana kipato rasmi, hawana kazi, wako mtaani, hebu niambie biashara ambayo unaweza kufanya kwa tsh 2000 ukapata elfu 5 na kuendelea?? Utakuta hakuna kuna complexity nyingi
Indonesia
0
0
1
14
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLakihaya Jana tulikua tunakumbushana tu ili tuwe Sawa! Sasa VIJANA Naomba tujadili issue kamili- najua wengi mnaogopa kujadili hii mada Kwa kuogopa matusi na hata usipate support yoyote… Ila lazima tulijadili hili Kwa maslahi mapana ya Sisi vijana na kizazi chetu cha kesho… Kuzidi kufunguliwa kwa Betting Companies kila uchao na hata hii ya juzi ilioleta kelele humu si hatua ya maendeleo, ni kengele ya hatari kwa kizazi chetu vijana. Kamari haitujengei vijana uwezo, haitupi ujuzi, wala haitengenezi thamani kwenye uchumi. Inauza ndoto ya ushindi wa haraka, lakini ukweli wake ni mzunguko wa hasara, madeni, utegemezi na kuvunjika kwa maisha. Tunaambiwa ni ‘AJIRA’, lakini ni ajira ya aina gani inayotegemea watu wengi kupoteza pesa zao ili wachache wanufaike? Huu si uchumi jumuishi,ni mfumo unaonufaisha kampuni huku ukiwaacha vijana wakizama kwenye hasara. Na ndio maana kampuni za kamari kila siku zinaongezeka lakini vijana BADO tupo kwenye umasikini ule ule Miaka nenda Miaka Rudi💔 Athari zake zipo wazi; Madeni yanayokua kimya kimya,Msongo wa mawazo na hata uraibu wa kamari, Kupotea kwa muda na nguvu ambazo zingetumika kujenga maisha,Kupungua kwa tija kwa vijana waliopaswa kuwa nguvu kazi ya taifa nk. Serikali haiwezi kusema inajali vijana huku ikiendeleza mazingira yanayowasukuma kwenye utegemezi wa BAHATI badala ya juhudi na ubunifu. Hii si sera ya maendeleo, ni kuruhusu kizazi kipotee polepole. Vijana tuamke. Hakuna ‘shortcut’ ya mafanikio kwenye kamari. Waliopo juu ni wachache wanaotumika kama matangazo,lakini maelfu wako chini wakipoteza. KAMARI sio ajira, ni mtego unaowalenga vijana moja kwa moja. Tunauziwa ndoto za ushindi wa haraka, lakini uhalisia ni madeni, utegemezi, msongo wa mawazo na kupoteza kabisa mwelekeo wa maisha. Serikali haiwezi kwa mkono mmoja kuzungumzia kuwawezesha vijana, halafu kwa mkono mwingine kufungua milango ya kamari inayowapumbaza na kuwavuta kwenye utegemezi wa bahati. Hii si sera ya maendeleo,ni kulea utegemezi. Vijana tuamke. Hakuna utajiri wa mkato kwenye kamari! waliowanufaika ni wachache sana, na wengi wanabaki na hasara, maumivu na muda uliopotea. Taifa haliwezi kujengwa kwa tiketi za bahati nasibu. Tunahitaji ajira halisi, elimu bora na fursa za uzalishaji,sio kamari. Tunahitaji uwekezaji kwenye elimu ya vitendo, ujasiriamali, viwanda na teknolojia,not betting. Taifa haliwezi kujengwa kwa kubeti,linajengwa kwa kuzalisha💯💯 Serikali ifikirie upya,hatuwezi kujenga taifa kwa kuwapa vijana ndoto za mkato zisizo na kesho💯💯 Serikali haipaswi kulea kizazi kwa bahati nasibu badala ya fursa halisi. Vijana tuamke,hii si njia ya mafanikio💯💯
Indonesia
308
294
825
50.2K
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
Arsenal tukishinda leo mtasema nini?
Eesti
11
3
67
2.4K
Mr. Wilbert Jr
Mr. Wilbert Jr@wilbertndunguru·
@WideEdson Kwahiyo Liva/Chelsea kupigwa sio sehemu ya game au sio? Wao hawana historia ya kuwaondoa wa kubwa? Kwahiyo PSG iliowafunga Liva na Chelsea inatumika kupima ubora??
Indonesia
1
0
0
10
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
@wilbertndunguru Real Madrid kupigwa ni sehemu ya game, lakini sisi tuna historia ya kuwaondoa wakubwa pia. Halafu hiyo Bayern Munich ‘iliofungwa na Paris Saint-Germain’ ndio mnataka itumike kupima ubora? 😅
Indonesia
1
0
0
44
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Real Madrid tumetawala Champions League wakati ambao kila timu kubwa ulaya ilikua tishiao. Achana na kipindi hichiapa Liverpool, Chelsea amabazo ni timu kubwa zinazigwa nje ndani na PSG. 🙄
Filipino
15
23
83
2.2K
Mr. Wilbert Jr
Mr. Wilbert Jr@wilbertndunguru·
@MarekaMalili Tunakufa sana Kaka, lifestyle yetu inabidi tuifanyie audit, hii sio kawaida kabisa.
Indonesia
0
1
4
1.2K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Naona Ardhi kwa sasa imechagua kumeza vijana 🙌🏼
31
48
529
18.9K
Mr. Wilbert Jr retweetledi
WelBeast
WelBeast@WelBeast·
The most disappointing part in all this is that throughout the season people have been saying we don’t have the balls to go to the ETIHAD and beat Manchester City then we go there today and prove them right. I don’t want to imagine the other thing they might be right about
English
215
735
9.1K
181.2K
Mr. Wilbert Jr
Mr. Wilbert Jr@wilbertndunguru·
@anuskills3 Hehehe kweli kazi tunayo top 10 hayupo ungesema kuanzia mwaka 2015 huko sawa
Filipino
0
0
0
12
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Florentino Perez please wape Chelsea pauni Milion 90+, Watupe Enzo Fernandez ambae anaishi maisha ya tabu pale. Enzo Fernandez ni World Class midfielder ambae atatufaa sana, Tchouameni na Camavinga hawana muendelezo mzuri.
MJUKUU (Fan) tweet media
Filipino
7
3
23
385
Mr. Wilbert Jr
Mr. Wilbert Jr@wilbertndunguru·
@WideEdson Bayern hajafugwa UEFA uwanja wa nyumbani huu mwaka sijui wa ngapi, mlishindwa kuwafunga kwenu sawa all the best wakuu
Indonesia
1
0
1
47
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Leo kazikuu ni moja tuu, mzuei Michael olise asicheze mpira akiwa huru baaasi Bayern yote hitembei. NB: Bayern Munich wakawaida mno kama tukiweza kumzui Olise na Kimmich.
MJUKUU (Fan) tweet media
Suomi
6
6
49
1K