wise melody12

663 posts

wise melody12

wise melody12

@wise_Melody12

👉Musician and songwriter

Katılım Eylül 2022
10 Takip Edilen19 Takipçiler
wise melody12
wise melody12@wise_Melody12·
@JayleenRickie Haswaa umenena, yaani ni kama Jovial wa kenya, akishirikishwa anaua ila kwenye nyimbo zake anazingua
Indonesia
0
0
0
58
Jayleen 💞
Jayleen 💞@JayleenRickie·
G nako ni Msanii Mkali sana ila huo ukali wake anashindwa kuonesha kwenye nyimbo zake, ila anauonesha kwenye nyimbo za kushirikishwa
Jayleen 💞 tweet media
Filipino
39
42
292
12.7K
wise melody12
wise melody12@wise_Melody12·
@gallanemma Sawa sepenga hujamueka Hivi kati ya Uwoya na wolper nani mkali??
Indonesia
2
0
0
615
Jayleen 💞
Jayleen 💞@JayleenRickie·
Msaada natoa na nini huu weusi kwenye Pasi
Jayleen 💞 tweet media
HT
267
43
518
72.1K
wise melody12
wise melody12@wise_Melody12·
@_snipers1 @Labella_Mafia95 Raisi na waziri mkuu hawawezi share ofisi lazma watataka kuingiliana majukumu mwangalie mondi, burna boy, hakeem na ata uyo kiba
Indonesia
0
0
0
27
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚
"Ni kweli naishi na mama yangu na hakuna kitu ninachoenjoy kama kukaa nae ndiyo furaha yangu. Mama yangu ana nyumba nyingi na nyumba tunayoishi ni moja ya hizo nyumba zake kwahiyo mimi nakaa kwake"- Alikiba Wahuni wakiiona hii hawatahama kwa mama kabisa 🥹🥹
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚 tweet media
Indonesia
60
49
1.3K
68.6K
Jayleen 💞
Jayleen 💞@JayleenRickie·
Kijana anaomba Ushauri
Jayleen 💞 tweet media
हिन्दी
114
32
185
37.1K
Malkia Nyuki 👑
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia·
Sema hili vazi linawapendeza waarabu tu
Malkia Nyuki 👑 tweet media
Indonesia
121
52
1.7K
84.8K
Ms Bee🌹
Ms Bee🌹@asiliasali·
NDOTO HATARI AMBAZO HUPASWI KUZIPOTEZEA 1. Kuota unafanya mapenzi 2. Kujiona upo kwenye geneza au wanakuzika 3. Kuota unaolewa na mtu ambae humjui na hayupo kweye circle yako 4. Kujiona unaogea maji machafu au kuogelea 5. Kuota unakimbizwa na wanyama au nyoka kwenye ndoto 6. Kuota upo kijijin kwenu au shulen 7. Kujiona upo uchi ndotoni OMBA SANA🤲
Indonesia
61
40
293
51.5K
Selim
Selim@Kid7_boe·
@iamcleopatricia duh me naotaga lkn huwa nasahau nilchokiota baada ya kuamka
Indonesia
1
0
4
1.9K
N.Y
N.Y@masanja___·
@nyuki_malkia Mtoto under 6 months si atakiwi kunywa chochote zaidi ya maziwa ya mama yake? Ukampaje juice sasa mkuu?
Filipino
6
0
4
2K
Malkia Nyuki 👑
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia·
Kuna kipindi nilisafiri kutoka Dar naenda shinyanga nikakaa siti moja na mdada ana mtoto bado mdogo kama wa miezi 4 hivi Kuanzia Moro pale mtoto akaanza kulia tu akitoa nyonyo ampe yani ziwa limelegeaa limechoka limekonda inaonyesha hakukuwa na maziwa Nikamwambia mpe maji au juisi atulie akasema hajabeba wala kununua chochote nikaona fresh nikampa juice ampe mtoto Mtoto akatulia na yeye pia akaipiga yote hali ikatulia Nikawa namuuliza mbona humbadili mtoto kama amekojoa akasema hana hata matambala ya kumbadilishia nikatulia Kufika dodoma pale nikamnunulia chakula nikanunua na pampas za mtoto ili wote tuweze kukaa kwa kujiachia mambo yasiwe mengi Safari ikaendelea ikabidi nimuulize imekuwaje mpaka uko na hali hiyo Alinipa story ya kusikitisha sana yaliyomkuta anarudi kwao kumuomba baba yake msamaha alitoroka kwao akakimbilia dar kwa jamaa yake alipomaliza form 4 tu..na hapo hata nauli kachangiwa na majirani asije kufia hapo kwa mwanaume .... Watoto wa kike mkiambiwa mtulie kwa wazazi wenu mtoke na baraka zao tulieni tu maisha yapo tu Mimi nikashuka zangu shinyanga yeye akaendelea na safari kwao ni Mwanza sengerema .... Sijui anaendeleaje na hali huko ila natumaini kama alifika nyumbani salama wakampokea basi yupo salama
Filipino
44
33
389
49.5K
wise melody12
wise melody12@wise_Melody12·
@iamcleopatricia Si alikua 87 akafika 89 sa hii amefika 1990 huyu miaka 5 ijayo atakua wa 2000
Indonesia
1
0
0
3K
Ms Bee🌹
Ms Bee🌹@asiliasali·
Hiki cheti kimetengenezwa upyaa wema sio wa 1990😂😂🙌🙌
Ms Bee🌹 tweet media
HT
152
28
773
91.8K
wise melody12
wise melody12@wise_Melody12·
@eastafricatv Kichwa changu kinawaka moto kwa madeni lakini noo body cares😣😣
Indonesia
0
0
0
565
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI Taharuki imetokea kwa wakazi wa mtaa wa Azimio Kata ya Igogo jijini Mwanza, baada ya moto umbao haujafahamika chanzo chake kuteketeza gari ndogo aina ya Toyota Crown. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wamesema baadhi ya watu walinusurika kuungua na moto huo baada ya kujaribu kusogea eneo la tukio wakati moto ukiwaka kwa nguvu. Jeshi la Zimamoto mkoa wa Mwanza limefika na kufanikiwa kuuzima moto huo. #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
40
14
684
58.1K
Neypaul🤎
Neypaul🤎@Neypaul01·
Asante Mungu kwa nafasi nyingine tena na asante kwa kunifikisha hapa nilipo, Baba kuna kijana ananikwaza anasema mimi ni mbaya wakati kwenye maandiko matakatifu umesema tumeumbwa kwa mfano wako. Okayyy kwa kutumia Zaburi 35:1-8 muaibishe mfedheheshe kijana huyu, mrudishe nyuma na toa Mkuki umpige, pia Isaya 54:17 umesema maneno ya kijana huyu hayana kibali juu ya maisha yangu so am good. Ni maombi yangu, AMEN🙏
SUKUNUNU 🇹🇿@sukununu01

Ukweli sito acha kusema hata mkiniroga 👉 asilimia 95 mademu wa Bongo Camera zinawabeba Sana ila kwa huyu watu wa Camera hata mfanyaje huyu ameshikana Demu mbovu Sana kademu kanaumri Mdogo Sana ila kamezeeka kabla ya mda wake kutwa kuazima nguo na viatu kananuka jasho hatari

Indonesia
71
20
210
36.7K