
@SSostenes14538 @Roma_Mkatoliki Mbona CDM wanavopiga spana Kila kitu ila kwenye mshahara walikimbia hakuna hata mmoja aliosema huu mshahara tunaopewa MKUBWA upunguzwe ishu sio sheria na kama sheria mbona sheria zengine walikua wanapinga kiufupi hata ww mwenyewe unasema tu hapo ukiwa mbunge hautajali upunguziwe
Indonesia























