Naka-pin na Tweet
Juma Wickama
5.6K posts

Juma Wickama
@wickama
Soils & Land Degradation Scientist, Former Researcher at TARI-Tz (Rtd), PhD, Wageningen University & Research (WUR), Netherlands.
Tanga, Tanzania Sumali Nisan 2009
3.8K Sinusundan8.6K Mga Tagasunod

@Caibunku Nadhani gharama ya kisima siyo kwa mita au mimi ndio nimekosea? Haiko clear sana
Filipino

@wickama Nilikutana na hii kitu wiki kadhaa zilizopita. Tulikuta mboga iliyobaki ni Maini, jamaa akakataa kabisa kula ilibidi ikatafutwe mboga nyingine.
Indonesia

@KilamaKilama6 Kwanini usiache wazae kisha uuze watoto sbb bei yao sio mbaya
Indonesia

@wickama Sisi tuna madume mawili na miaka takribani mitano yamebanwa sema moja ndio lili wahi kuruka ukuta asubuhi tukalikuta nje
Indonesia

@through_solar @Mushi_plus Bongo kuna hawa jamaa wako Rungwe. Usilipe mtu bila kufika na kuhakiki WEWE


Indonesia

@wickama @Mushi_plus Daktari naomba mawasiliano yako. Nahitaji hao mbuzi
Indonesia

@Ampurire346352 There are many in Kenya. U could check there. But beware of scammers
English

@wickama Najitahidi kaka, ila Kuna majani mazuri saana Naona na vimiti Fulani vya miba wanavipenda sana
हिन्दी

@Mushi_plus Panda na miti ya malisho (forages/fodder trees) ndicho mbuzi wanapenda kupita majani 100%
Indonesia

@wickama Nimeandaa eneo kama heka 70+ za majani ,, Siku nikipata TU mtaji wakuweza kununua Hawa 😅!! Umaskini bye bye
Indonesia

Mwaka 1978 Kenya katika mashindano ya mpira ya klabu bingwa afrika mashariki walikuwa na mchezaji anaitwa Otieno Mboo. Walifanikiwa kufika fainali. Lakini huyo mchezaji aliumia mechi ya Nusu fainali,
Magazeti ya Kenya yaliandika vichwa vya habari visemavyo, WAKENYA KUCHEZA BILA MBOO, Raisi akazuia magazeti yote na kusema warekebishe hiyo sentensi.
Walibadilisha na kesho yake kuandika WAKENYA KUCHEZA MBOO NJE.
Siku ya mechi Wanawake walifurika Uwanjani kuona mpira!!!!!
Indonesia

@Albertjk_tz Ni watamu ndio japo simjui mbuzi atakayekataa kuwa mtamu akikutana na wachoma nyama wa Arusha
GIF
Indonesia

Mkuu nahitaji hawa mbuzi nitapataje?
Juma Wickama@wickama
Breeding programme (mbuzi) iliyofanikiwa sana barani Africa ni ile ambayo mbuzi wazawa (S. Afr) walipandishwa na wa nje hadi kupatikana Boer Goats (kushoto) na Kalahari Goats (kulia). Hawa mbuzi wana nyama nyingi, wanakua haraka na wanalipa. Kwetu (EA) wapo. Ila epuka matapeli!
Indonesia

@Hunter30063085 @IamMadamAkinyi Kuna sites nyingi especially za Kenya zinajitangaza kuwauza. Lakini kuwa makini na scammers. Bei zao zinaanzia Kes 40k kwa ndama na kuendelea
Filipino

@wickama I am building my own version of "Girolando" from scratch. I am using Small East African Zebu and Serve them with Holsten semen
English






















