Manyanya

327 posts

Manyanya

Manyanya

@Hump016

Mtu mwenye gundu kama Mbappe

Beigetreten Nisan 2026
84 Folgt45 Follower
Manyanya
Manyanya@Hump016·
Unaweza ukajituma sana na usifanikiwe, chunga sana mdomo wako. Kama hauamini uliza mashabiki wa Arsenal. Good morning 🌞🌄
Manyanya tweet media
Indonesia
1
2
3
33
Engkabora
Engkabora@Engkabora·
Madhara ya Kudate na Pisi Kali.✍️ 1)Kuchapiwa na wazee wastafu mixer Masela wa Kitaa au Wahuni. 2)Kudharauliwa Maana Dem Anakua na competition Kubwa jambo linalo mpa kiburi na Kujiona Special. 3)Gharama Kubwa za uendeshaji na kumiliki Pisi husika...Pisi Zina gharama Kubwa mno
Filipino
11
14
65
6.8K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Mtangazaji 🎤 Malkia Karen uliwahi kusema huoni mwanaume wa kuzaa nae Tanzania na umeamua kwenda kupandikiza hii leo mbona unaleta huruma kua umepigwa na mme wako imekuaje? Malkia karen 🎤 kiukweli ni kiburi cha ustar ndo kilisababisha niji u hivyo ila ukweli baba wa mtoto yupo na ndo huyu manager wangu, kitendo alichokifanya naomba mamlaka zimchukulie hatua kali pia naenda kufungua file police na kumshtaki Ila wasanii🙌 Punguzeni standard aisee nyie ni waTanzania wenzetu dharau, kiburi na malingo viwe na kiwango ✍🏿
Headboy wa mtaa tweet media
Suomi
20
15
55
9.4K
seeker1
seeker1@_mister_evans·
Good morning friends of mister Evans mkuwe na siku poa and take care
English
2
3
3
25
Malcolm 🏆
Malcolm 🏆@mlinganya·
Guardiola alikuwa radhi kuachana na mke wake ili afanye ukocha alafu Arteta aje kumzidi? No
18
31
221
4K
TheBoss.💰
TheBoss.💰@BOSSferdd·
Heri yenu nyie unemployed maana kuwa amka asbh kila alfajiri kama student kuwai kutimiza ndoto za Boss sio mchezo.😢
Filipino
15
30
51
409
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
Ipo siku utajikuna tako na funguo ya gari yako haya sema.. TAWILEE
Filipino
6
7
28
312
JUNN
JUNN@itsJIH·
Junn's friends good morning
English
12
21
32
213
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
Kombe la dunia!!!?😭😅😅 game ya brazil na argentina itakuwa live pale KMC stadium😭😭😭
Indonesia
12
7
61
2.3K
Steph.
Steph.@LifeofSteph_1·
Tumkuze Mainoo miaka mi 3 alaf bruno atakua ashasepa tupige swap deal na Real kwa Arda guler.
Indonesia
8
15
96
2K
PàChâ#1738 💫
PàChâ#1738 💫@Tweener003·
Wasafi nao wanatafuta numbers kwa nguvu mno safari hii wanafukuzia numbers za crown 😁😁
PàChâ#1738 💫 tweet media
9
19
132
5.6K
Njiwapori 10k
Njiwapori 10k@njiwapori_·
Teknolojia inavozidi kwenda kasi miaka ya mbele tutaweza kupimana UKIMWI kwa kutumia simu, nikutoboana tunatoa damu harafu unaizoom unaviona hivi hapa 🤣🤣🤣
Indonesia
14
22
49
839
Beast
Beast@emabilly2001·
Being employed😪😪😪😪😪🙌
English
6
8
16
347
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
Tuwachanganye kidogo joining 2026 hii vita ilikua ya motto haijawai tokea.😂😂💔
kibaha_finest tweet media
Indonesia
18
17
75
4.9K
ЄƦ30
ЄƦ30@ercurry_·
Wanaume tunaruhusiwa kula pizza?
Filipino
5
2
12
160
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Watu wanaojidai kushangazwa/kukasirishwa na LISSU kuzungumza Au kuweka maridhiano na Serikali Regardless to whether akiwa Gerezani Au Huru ni WANAFIKI na WABINAFSI MNO! Dunia KWA Sasa imebadilika saana ni KATILI MNo … International Laws zipo kwenye karatasi tu ila Hazifatwi… Kanuni ni ile ile ONLY THE STRONG WILL SURVIVE! Iran,MOJTABA khamenei -Marekani /Israel-Wameua BABAKE MZAZI,MKE wake na Familia yake…wamelipua Raia wakiwemo wanafunzi 168… wamelipua miundo mbinu nk… Ila BADO wanaenda PAKISTAN kuzungumza, Kuona jinsi gani watayamaliza maisha yaendelee… Alafu wewe unajidai Hutaki Lissu azungumze- Ningewaelewa Kama na nyie mliopo URAIANI,mngegoma kuzungumza na serikali Au kuifanyia kazi… Ila wewe ni mfanyabiashara- BADO unaendelea na shughuli zako na unalipa Kodi serikali bila shida… mlioajiriwa serikalini mnaenda kazini… kila kitu kipo Normal Alafu unaendelea kufurahia mwingine yupo Gerezani! Yaani mtu mmoja akupiganie wewe… Kama kweli mngekuwa na hio NIA… Watu wote mngegoma hamfanyi chochote hadi LISSU Aachiwe Huru… Walimu msiende shuleni, Madaktari msiende Hospitalini… mlioajiriwa msiende kazini… Wafanyabiashara Msiagize mizigo… mathalan, waagiza mafuta wagome kuagiza hadi lissu aachiwe huru nk. UCHUMI usimame… Wiki moja tu- LISSU angekuwa URAIANI… Ila nyie mnaendelea na your normal duties- mmeshaHALALISHA serikali mnayoiita ni HARAM… Alafu LISSU awapiganie😅 mnashangaza! Kama kweli unampenda LISSU hauwezi furahia akiendelea kukaaa KOROKORONI… sio Sawa kwanza Kwa waliomweka in the first place Ila DUNIA HAIJALI… Hakuna HAKI kwenye DUNIA KATILI… Kimsingi tayari- RAIA tumesha MSALITI TUNDU… maamuzi yoyote ambayo LISSU atayachukua… ni HALALI na HATUMDAI Kwa chochote Kile…
Indonesia
61
53
233
7.1K
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
GoodMorning 🌄😁
Narrowbeefly tweet media
English
17
12
22
226