
@Addy_Adams Kwanza wameharibu starehe ya mihogo ya coco. Ilikuwa sehemu moja simple ya kwenda na family na hata hautumii hela nyingi. Siku hizi budget ya mtu mmoja pale bora niende in good restaurant nikale a very good meal! Pia professionalism hamna, mtu anapark gari anavamiwa na watu 10
Indonesia



























