Son of Kilimanjaro🇹🇿

7.4K posts

Son of Kilimanjaro🇹🇿 banner
Son of Kilimanjaro🇹🇿

Son of Kilimanjaro🇹🇿

@HopeTonito

a small farmer

Kilimanjaro, Tanzania Bergabung Eylül 2018
3K Mengikuti911 Pengikut
miss.nancy🇹🇿
miss.nancy🇹🇿@she_is_nancy255·
Nimefika kwake nimekuta nguo zote safi nyumba nayo safi na kila kitu kimepangwa vizuri , lakini kitanda kimevurugika💔 Mapenzi yanauma hasa usiku💔😭
Filipino
17
19
81
1.8K
SPOON
SPOON@TonnyUnfiltered·
Yaani unachakata mbususu alafu unamtia finger kwa ass hole nyie mnawezaje.🚮💔
Indonesia
24
28
101
4.9K
Brenda Rupia Jonas
Brenda Rupia Jonas@BrendaRupia·
Enzi za serikali halali ya Mwl JKN, kuteuliwa uwaziri zilihitajika sifa haswaa ulizozionyesha katika utendaji kazi na uongozi wako wa awali!. Sasa tupo kwenye enzi za serikali haramu, kigezo kikubwa cha uteuzi ni UCHAWA. Nimeona uteuzi wa mtu aliyesema uchaguzi wa 2025 polisi walikuwa rafiki zetu wakati ndio uchaguzi pekee tulipoteza ndugu zetu wengi haijawahi kutokea tangu taifa letu liundwe. Ina maana hakuitambua hata hotuba ya tume ya jaji Chande iliyoundwa na raisi wake kuwahadaa waTanganyika. Something is wrong somewhere,ebu fikiria kwenye nchi yenye watu 68,000,000 ambao zaidi ya nusu ni Vijana,tena Vijana walioenda shule with degrees and masters mpaka wengine wanaokota makopo na masters zao.Tunaletewa Naibu Waziri mwenye form 4 tu! Sio fair yaani si haki kwa WaTanzania,mimi nilisema zile teuzi zilikuwa na nia ovu na wananchi waliowengi walikubaliana na mimi.@ccm_tanzania tuwakumbushe tu kwamba hii nchi ni yetu sote.Hakuna aliealikwa kwenye hii nchi,we are here by birth right. Tuendelee kukichangia chama chetu ili mapambano ya kutafuta haki yaendelee ndugu zangu namba ni :0744 446969 Jina ni CHADEMA HQ
Brenda Rupia Jonas tweet mediaBrenda Rupia Jonas tweet mediaBrenda Rupia Jonas tweet media
Indonesia
17
55
231
20.1K
Noela Charles
Noela Charles@NoelaCharl32056·
Weekend uk8wa peke yako nyumbani huwaga unafanya nini? Tazamavkwenye koment 👇
Indonesia
6
6
88
5.7K
killo_Killotz
killo_Killotz@killo_killo11·
Mke wangu hataki niguse simu yake nifanyaje?😭
Indonesia
20
11
51
1.4K
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
Iko hivi nyie mnaoshadadia taarifa za uongo za kina Hilda na kundi lake la uzushi, watekaji mara nyingi hufuatilia mitandao ya kijamii kuona mwelekeo wa upelelezi. Uongo unapoenea kuwa gari lenye plate no fulani limeonekana mara mask (wakati si kweli)..
Indonesia
11
10
81
6.5K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
ASUBUHI YA LEO, MTANZANIA MWINGINE KAPOTEZA MAISHA SOUTH AFRICA. Anaitwa Ally Zidane (Pichani) Ndugu yetu Ally Zidane ameuawa na raia wa South Africa kwa kupigwa risasi. Inasemekana bwana Ally Zidane amepigwa risasi 8 katika mji wa Port Elizabeth South Africa leo, Tarehe 3/5/2026 siku ya Jumapili Hii sio taarifa nzuri katika jamii yetu ya kitanzania, lakini ndio lishatokea tena hatuna jinsi ya kulipokea kama lilivyo. Ally Zidane Tanzania anatokea Dar es Salam Kinondoni Manyanya. Taarifa hii imetolewa na Mohamed Taibalh Hamza Msangi Tarehe 3/5/2026 Phone number +255763005575
Polycarp The Bibliophile tweet media
HT
16
31
137
14.1K
Ig @william_andason
Ig @william_andason@WiliamAndason·
Watoto wa 2000, mtupushe. Unakumbuka bus gani kati ya haya? 1.. Fresh ya Shamba. Arusha- Dar 2. Taqrim Mwanza - Dar 3. Tanganyika Bus Musoma - Mwanza 4. TAMTCO 5. Mamba Safari 6. Princess Muro 7. Tungi's express 8. JMC coachm 9. Mohamed Tran 10. Scandinavia Ongeza Mengine
Indonesia
24
1
14
3.2K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Nimechoka na kuona ukatili kila siku! Hivi ina maana WOOOOOOTE mliopo kwenye mfumo mnaona hii ni sawa? Mtu anatekwa alafu mwili wake unakutwa hivi? Kweki? Huku polisi wakiendelea kuteka! Tumetoka kuona MAELFU wa ndugu zetu wameuwawa kikatili na miili yao kuachwa barabarani na baadaye kusombwa na kutupwa kama takataka! Nyie kimyaaa Nyie ni binadamu? Hamjisikii hata kidogo vibaya? Nyie ni mashetani WOTE! 🚮mi hata huyo @nchimbie wengine mnamfagilia nasema ni walewale! Kwani sisi wengine tulishindwa nini kukaa kimya ili maisha yetu yaende? Tulishindwa kukaa kimya kwa sababu ya UTU! Sasa mi nawaona ninyi wote mlioufyata wasaliti! Mmekaa kimya ili uovu utawale - basi ninyi ni sehemu ya uovu! #ChangeTanzania
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
53
174
606
41.4K
Son of Kilimanjaro🇹🇿
@Maestrowafact We nawe ni wale wale tu kampani ya watekaji itakuwa,kwann achukuliwe bila taarifa anapelekwa wap kwann iwe kificho
हिन्दी
0
0
0
159
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
Unajua hawa wasenge ndo wanafanya upelelezi uwe mgumu sababu ya siasa zao za kisenge kwanza gari lililomteka SIO DFP alafu watekaji mmoja amegundulika na sababu imejulikana si msubiri j3 Polisi wanakuja na tamko mara mask mara nn kumamako Hilda.
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI tweet media
Indonesia
72
12
101
21.3K
ALPHA
ALPHA@Alphared_11·
Nikiwambia huyu hamna kitu mnakuja kusema sijui nini. Hawa ni watu ambao wanapenda kuona Chuki ikizidi kuwa Kubwa tu huku wao wamejificha Kenya.
ALPHA tweet media
Indonesia
5
8
11
735
MAGABASHU KAIJAGE
MAGABASHU KAIJAGE@SSostenes14538·
@Sativa255 Hivi ni kweli mmekubaliana ya kwamba mnapima uwezo wa utendaji kwa kuangalia uwezo wa ufaulu wa kwenye hii elimu yenu ya makaratasi?
Indonesia
14
0
13
4.1K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kwamba Tanzania nzima hatuna WASOMI mpaka tunaenda kuchukua hawa VILAZA na kuwapa WIZARA waongoze wasomi? Hivi huyu kweli anastahili Uwaziri achilia mbali hata Udiwani? Waziri gani ambaye ni Form Four Failure? Waziri gani ana certificate 3 na zote ni za online? Waziri mwenye certificate ndio ataongoza wizara ya ajira? Atamsaidiaje kijana mwenye degree ambaye yuko mtaani hana ajira? Waziri gani ana udaktari wa mchongo wa kupewa? Samuya kaamua kutafuta Form Failure wenzake awajaze ndani ya serikali haramu maana hapendi wenye akili KUBWA anajua watamchallenge. Anapenda vilaza wenye elimu mbalimbali kama yeye ili awaburuze. Ni kama tupo zama za MAWE.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
70
90
518
43.1K
Essiiie Kapambala
Essiiie Kapambala@DadaEstie·
Sinaga Mazoea Ya Kublock But Jana Nmeanza Rasmi. Kuna Watu Ni Very Insensitive Humu Jamani
Filipino
8
5
50
1.3K