LeonarD OM⚡
17.3K posts

LeonarD OM⚡
@Lleopard_
CONFIDENCE LEVEL: Kanye WEST ON A GOOD DAY. 💪😎 ||UNSTOPPABLE

@DeMustii @Lleopard_ Lijinga kumbe😂nilikua nasoma najua anaakili












Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Tanzania (PDPC) imesema ni kosa kisheria kwa mtu au taasisi kutumia kamera za usalama (CCTV) pasipo kusajiliwa kisheria na tume hiyo. PDPC imefafanua kuwa watumiaji wanapaswa kuweka tangazo au taarifa kwamba eneo husika limefungwa kamera za CCTV ili watu wajue, na pia mmiliki kuepuka kushtakiwa kwa kuingilia faragha na kudhalilisha utu wa mtu.

@GasperPhilbert @Swahiliurbangfx @Danford_tz Shetani sio malaika ila alikuwa ni mtoto wa majini waliofukuzwa duniani baada ya kufanya maasi makubwa ya kumkasilisha mungu ndo wakamuacha mtoto wao (shetani) ambapo alichukuliwa na malaika na kulelewa huko hadi kakua.









