Aniceth pius_14
3.3K posts


@Gee_superdoll @prossoff Ngoja nikaone kilimo(uti wa mgongo wa taifa)upoje katavi af ntawambia
Indonesia

@MkulimaKante Kweli kabisa ila nitaanza na katavi kwa kina @prossoff af ndo nikipita Singida nakuja champ sure
Filipino

@MkulimaKante Duuuuh yaan ukweli sikuwa najua kama ni Tabora asee🤔🤔🤔🤔🤔 ngoja nirudi kwa wanyakyusa kwanza
Indonesia

@gabyconscious @TMnyama4_ Kujiamini tu mkuu nakubaliana na wewe
Indonesia

“Hamna mtu ana shida ya nguvu za kiume, wengi wana KITETE”
T@TMnyama4_
Neno Moja Ulilowahi kujifunza kutoka kwa Dr. Garvin Kweka.
Filipino

Aniceth pius_14 retweetledi

Unamaliza chuo kikuu(degree), unarudi kitaa , unatafuta Ajira ya ulichosomea,
Unapata unapiga kazi unajituma, badae anapatikana Diploma wa kozi yako wanasema huyu ndo tutaweza kumlipa, hatuna bajeti ya Degree,
Unaomba ulipwe ya Diploma wanagoma , wanasema audit na policy za shirika zinakataza..... Unarudi kitaa unafungua Duka la mangi, wiki , miezi sita hujawa stable, TRA wanataka chao, mwenye jengo unalipa kila mwezi angalau 100k to 200k kodi,
Umri unaenda , hujawa stable, mtaji umeyumba, unaanza upya , oyaaah 🤣🤣🤣🤣🤣PESA YA HALAL NGUMU.
Indonesia

@mlinganya Sasa captain kwanini utoe lakini😂😂😂
Si sawa na bikra ukitoa hairudi tena
Indonesia

@PabloYende Mwanangu stand yako haitambui tiketi ya mtandaoni, bado mko matakoni au ndo wameagizwa wakusanye mapato ya ripoti ya jaji???
Indonesia









