Ismail

337 posts

Ismail banner
Ismail

Ismail

@189ismail_

My thoughts and more..

Dar es Salaam Katılım Ocak 2015
191 Takip Edilen39 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Ismail
Ismail@189ismail_·
The world is going to judge you, no matter what you do. So live your life the way you want to.
English
0
0
2
0
Ismail
Ismail@189ismail_·
@lubamach @MarekaMalili Barabara si zinajengwa kwa mahitaji.. na uwezo wa serekali... roughly 1km ni kama 2b... em fanya unatenga shingapi kwa Barabara zote kwa mwaka na tuna bajeti ya shingapi.
Indonesia
1
0
0
98
Lubambula Machunda
Lubambula Machunda@lubamach·
@MarekaMalili km 99 za barabara ya rami kwa mikoa 23 kwa mwaka!? Wastani wa km 4 kila mkoa..!? Hiki ni kitu cha kujivunia na kupiga taralira?
Indonesia
2
6
12
1.7K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Jumla ya km 98.89 za barabara za mikoa zimejengwa kwa lami, na km 192.89 zilikarabatiwa kwa changarawe. Ujenzi/ukarabati wa madaraja madogo 12 (Mfuko Mkuu) na 13 (Mfuko wa Barabara) unaendelea katika hatua mbalimbali. #BajetiUjenzi2025
Indonesia
15
12
130
55.9K
Dr. Chris Cyrilo
Dr. Chris Cyrilo@DrCyrilo·
Kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa, akitokea jasiri mmoja jeshini,wala hatatumia nguvu kubwa kukubalika na wananchi. Nawasilisha! Dr. Chris Cyrilo.
Filipino
108
238
2.1K
89.8K
Ismail
Ismail@189ismail_·
@ItsKamala Sio kwamba anazungumza unachopenda kuskia?
Deutsch
1
0
0
29
Kamala Dickson
Kamala Dickson@ItsKamala·
Mzee Warioba anaongea vitu vizito kwa Jemima, Unaweza msikiliza zaidi ya masaa 8 anaongea na Kufanya referencies kwa wakati kabla ya Uhuru, Uhuru na sasa ana mifano ya mataifa mbalimbali na namna walivyochomoka kwenye mkwamo, Taifa lina hazina
Indonesia
11
52
505
13.2K
Ismail
Ismail@189ismail_·
@Vet_doctor87 "Something significant" what do you mean ?
English
0
0
0
21
McMooooger !
McMooooger !@Vet_doctor87·
The state is like on autopilot mode , you can’t tell who’s in charge and their priorities. The old lady must be the worst of all we’ve ever had, she’s not even trying to do something significant after four years . Of course she’s hoping for another term and that shi piss me off
English
2
11
40
1.3K
Ismail
Ismail@189ismail_·
@patric_ph That's one way of looking at it.
English
1
0
0
46
Ismail
Ismail@189ismail_·
@rapidbrainsfor1 @AnethSissya Ki uhalisia 90% biashara inafika mauzo 4m kwa mwaka, ambayo ni mauzo ya 11000 kwa siku au 330000 kwa mwezi.. tulitakiwa hizi laki laki ziwe nyingi sana tra😅
Indonesia
0
0
0
19
rapidbrainsforex
rapidbrainsforex@rapidbrainsfor1·
@AnethSissya 1. Mauzo ghafi kwa mwaka hayazidi 4mil kodi NIL 2. Mauzo kwa mwaka yanazidi 4mil ila hayazidi 7mil kodi 100,000 per yr. 3. Mauzo kwa mwaka yanazidi 7mil ila hayazidi 11mil kodi 250,000 per yr 4. Mauzo kwa mwaka yanazidi 11mil ila hayazidi 100mil kodi 3.5% ya mauzo
Indonesia
1
0
1
192
Aneth
Aneth@AnethSissya·
Naomba kuuliza hili swali. Hivi TRA wanakata kodi kwenye mapato yako yote ama kwenye faida yako? Mfano: ninatoa huduma ambayo mteja analipa 100000/ lkn gharama za huduma hiyo ni 80k. Mm napata faida ya 20k. Pekee je kodi inakatwa kwenye fedha ipi?
Filipino
66
73
685
101.1K
Ismail
Ismail@189ismail_·
@Jambotv_ Kwanini tusianze na chadema kama mfano kwenye maendeleo ya kiuchumi?
Indonesia
0
0
0
57
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Heche amekosoa namna ambavyo serikali imekuwa ikitoa tenda mbalimbali kwa Raia wa nje ya nchi na kuwaacha watanzania bila ajira, akikosoa pia usafirishaji mkubwa wa malighafi kilimo ikiwemo Korosho zinazosafirishwa kwenda nje ya nchi badala ya kuongezewa thamani ndani ya nchi ili kuongeza fursa za ajira na mzunguko wa fedha nchini. Wakati wa Mkutano wake wa hadhara Mtwara Mjini leo Aprili 05, 2025, Heche ameeleza kuwa vijana wengi kwasasa wamejiingiza kwenye michezi ya kamari kutokana na kukosekana kwa siasa safi na utawala bora nchini, akiwataka wananchi wa Mtwara kujihurumia na kuchukua hatua za kukiondoa Chama Cha Mapinduzi madarakani. "Hata tukiwapa miaka 10,000 hawawezi kubadilisha nchi hii, wataendelea tu kuturudisha nyuma. Tunapita kwenye barabara za Mtwara utafikiria tunaenda kwenye maandaki ya vita." Ameeleza John Heche. Akiilingalisha Tanzania na Dubai, Heche amesema mwaka 1961 Dubai ilikuwa na watu 70,000 na ilipofika mwaka 1969 wakati Tanzania ikiwa tayari imekwishapata uhuru, Dubai ndipo ilipogundua pipa lake la kwanza la mafuta na leo hii Dubai ina watu milioni tatu huku Tanzania ikiwa na watu Milioni 63, lakini ameshangaa namna ambavyo mpaka leo Tanzania imeshindwa kujiendesha kufikia hatua ya kuikabidhi Dubai Bandari zake waiendeshe. Heche pia amekosoa namna ambavyo serikali imeshindwa kuwa na Mpango wa ujenzi wa viwanda vya Kimkakati ikiwemo ujenzi wa kiwanda cha kubangua Korosho Mkoani Mtwara, akisema Kiwanda hicho kingesaidia kuongeza fursa za ajira, kusisimua uchumi wa Mtwara pamoja na kustawisha uchumi wa Wakulima kwa kuongeza thamani kwenye mazao yao ya korosho.
Indonesia
4
73
417
10.6K
Dennie Handa
Dennie Handa@denniehanda·
@celestine_mat Lengo ni kulinda nidhamu, mshikamano na maadili ya harakati sio kukaa na kulea ujinga na kulinda maslahi binafsi. Sabotage una deal nayo kama inavokuja.
Indonesia
1
0
0
35
Dennie Handa
Dennie Handa@denniehanda·
Ningekuwa Lissu nakula vichwa G55 wote wale, tena anza na Mh. Ntobi na Mh. Nkuna wakatafute kazi za kufanya. Wasitupande kichwani
Indonesia
3
0
13
499
elite.andrew
elite.andrew@_elite_andrew·
@gabyconscious Social Engineering at its best. 📍Whatever sticks more to people's minds to keep them away from the important things at the moment. People have or probably will in a short time forget about the rising National Debt and embezzlement of public funds.
English
1
0
0
301
Ismail
Ismail@189ismail_·
@TOTTechs Shida kuna sheria moja ilipitishwa kipindi cha pena .. mitandao yote wanauza GB 2100 .. sjui sababu ni nini ila hakuna tena ushindani... tusubiri waje ku control na bei za fiber watu walinde uwekezaji wao
Indonesia
0
0
1
175
Dr. Ho Yinsen
Dr. Ho Yinsen@kinjeketile·
Tanzania, Ghana, Rwanda, Kenya largely.
Indonesia
41
153
687
34.7K
Ismail
Ismail@189ismail_·
@foreigny99 @ze_mandevu Achana na stori za wanasiasa... hapo hujui kabla ya kuwekwa zege palikuaje, sio kila anaepiga kelele anafahamu
Indonesia
1
0
1
17
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Hii stendi mpya ya mabus Nzega imetumia Billion nne mpaka hapa ilipofikia, wataalamu wa ujenzi (Engineers) kwa hesabu zenu hii Stendi kimuonekano ina thamani ya hiyo Pesa?🤔
The mandevu tweet media
Indonesia
169
55
1K
125.9K
suriama
suriama@foreigny99·
@ze_mandevu When they tell us that they've made it for 1billion at least it'll make sense maana kwa 4bil ni uongo ukifanya evaluation hapo Hadi waseme 4bil Kwa huyo tujengo tu na zege la chini Hapo plus cement hapana tumepigwa kabisa💯😂😂
Filipino
1
0
1
2.2K
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
YANGA SC WALIFANYA MAZOEZI SIKU 1 KABLA DABI - BITEBO Kamishna wa Mchezo wa Simba na Yanga wa mzunguko wa kwanza Khalidi Bitebo "Zembwela" kutoka Mwanza amethibitisha kupitia kipindi cha Sports Am cha Azam Tv kuwa Yanga walifanya mazoezi siku moja kabla mchezo bila kubughudhiwa wala kuzuiliwa na Simba ambao walikua wenyeji kwenye mchezo huo Bitebo amekwenda mbali na kusema siku ya mchezo Mabaunsa wa Yanga walimzuia Meneja wa Simba Patric Rweyemamu asiende kukagua timu kama kanuni inavyotaka. Maelezo haya ya Bitebo yamekuja baada ya taarifa potofu kwamba Yanga SC hawakufanya mazoezi siku 1 kabla ya Dabi ya kwanza, hii ilikuwa inataka kuweka usawa kwamba hata Simba SC kutofanya mazoezi sio shida. Credits: @azamtvtz @jemedarisaid
Filipino
85
109
591
74.1K
Ismail
Ismail@189ismail_·
@patric_ph Nilikua nathan his biggest advantage ni kutokuwa na background ya siasa .. ila kumbe ni disadvantage..
Filipino
1
0
0
10
Ismail
Ismail@189ismail_·
Mungu lini tenaa🙌
Indonesia
0
0
0
9
Ismail
Ismail@189ismail_·
@buggyboisNFT @Locked1183 @anslem69 @Mo_Magoda Another issue is we import alot from them and loans which we obligated to pay interest but whose is not taking loans from china?USA? European? China is the manufacturer of the world right now.. other issues are less correct
English
0
0
0
20
Ismail
Ismail@189ismail_·
@buggyboisNFT @Locked1183 @anslem69 @Mo_Magoda I'm a Tanzanian.. i can assure you, there is nothing like that here.. our biggest issue is construction project which comparing to their technology and experience most of our construction is undertaken by them,
English
1
0
0
23