Frank_ gregory

690 posts

Frank_ gregory banner
Frank_ gregory

Frank_ gregory

@204_gregory

Pharmacist |Alumin @kiut| | Co-founder @msichanapotentials | Entrepreneur 0624388017-halotel 0747460004- Vodacom

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2020
320 Takip Edilen94 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Frank_ gregory
Frank_ gregory@204_gregory·
I know how many times I have made you go through tough times, I have made many sad, many mad and many cry all because they loved me too much. I can not promise to be different but I can promise to be bigger and better. I LOVE YOU and thank you for the great strength you give me.
Frank_ gregory tweet media
English
0
0
3
0
Frank_ gregory
Frank_ gregory@204_gregory·
When maturity hits you, silence is better than arguing.
English
0
1
1
37
Frank_ gregory retweetledi
Richardson
Richardson@harunyrichard·
The difference of FREE and FEE Is just letter R without it Tend to be the same CHEAP IS COSTFULLY Set your own standards in life #LIFEHACKS✌️
English
0
1
1
42
Frank_ gregory
Frank_ gregory@204_gregory·
Unlike the stomach , the brain doesnt alert when it’s empty
English
0
0
0
30
Frank_ gregory retweetledi
Richardson
Richardson@harunyrichard·
Ukipata unatakiwa kuelewa wapo wenye nacho kukuzidi Na hata ukikosa ujue kwamba Wapo wenye kidogo zaidi yako THAT IS LIFE ✊️✌️
Indonesia
0
2
3
60
Frank_ gregory
Frank_ gregory@204_gregory·
Kuna mtu aliwai kuniambia hakunaga tajiri fala haijalishi alienda shule au hakwenda, usijaribu kumchukulia poa.
Indonesia
0
0
1
28
Frank_ gregory
Frank_ gregory@204_gregory·
Kuna faida ya kubakiza ushamba kwenye maisha yako! 🤚
Filipino
0
0
2
29
Frank_ gregory retweetledi
Richardson
Richardson@harunyrichard·
Tunatoka mitaa ambayo Birthday chache Mingi Misiba kwaiyo angalia usiwe chanzo cha kuongeza majeraha kwenye mioyo yetu yenye iliyojaa vidonda jitahid uwe hata JOY GIVER Kwenye hii mitaa yetu . # HUMU TU ✊️
Indonesia
0
1
1
56
Frank_ gregory retweetledi
Richardson
Richardson@harunyrichard·
UKIANGUKA INUKA ANZA UPYA TENA NI MARUFUKU KUTA TAMAA NO BAD ENERGY ONLY STRONG WILL SURVIVE POSITIVE ALTITUDES ONLY #HUMU TU ✊️ @ babuwakitaa_tz @BDonforgen @204_gregory @MnyamweziMmoja
Indonesia
0
2
3
93
Frank_ gregory retweetledi
Amani_Dimile67
Amani_Dimile67@Amani_Dimile·
Juhudi zitakutaka uwe macho kipindi ambapo wengine wamelala, kuna muda zitakutaka utunze kipindi ambapo wengine wanatumia. Vumilia 🙏🏽 #amanidimile
Amani_Dimile67 tweet media
Filipino
0
3
13
890
Frank_ gregory retweetledi
Dr. Hamisi Kigwangalla
Dr. Hamisi Kigwangalla@HKigwangalla·
For boys (na Labda wasichana pia wanahitaji kusikia haya! 🤷🏾‍♂️): 1. Hakikisha unaoa. Kuoa ni lazima. Kuoa siyo lazima uwe na pesa. Ukikua kiasi cha kuzalisha mwanamke, oa! Mengine yatajipanga. Uoe nani sasa, sikia mtazamo wangu! 2. Oa tu mwanamke kama unampenda na una nia ya kuanzisha familia iliyo bora. Oa mwanamke atakayekuwa rafiki mzuri kwako na mama mwema kwa wanao. Oa mwanamke mwenye MUNGU ndani yake. Ni bonus ukipata mwenye shape, lakini lazima awe na Mungu ndani yake. 3. Ikitokea ukaoa usiwe mwepesi kutoa talaka. Ipambanie ndoa yako isimame. Hakuna viumbe wagumu kuwaelewa kama wanawake. Wanadamu tuko wawili tu - Ke na Me! 😀. Lakini Ke my brother, ni mgumu sana kumuelewa. Ukiishaamua kumuoa, jifunze kumvumilia, kumhurumia, kumpuuza (akianza maneno, maana kwa uhakika ataanza tu!) 4. Usije ukarogwa hata siku moja ukamuoa msichana ambaye ana MENTALITY, ya kuwa eti Wewe ni chanzo chake cha pesa na maisha mazuri; ila zingatia tu kwamba wanawake wote duniani watakupenda na kukukubali kama una pesa! 5. Jua kwamba ni jukumu lako kumhudumia mwanamke wako, lakini mwanamke aliye bora ni yule asiye na mentality ya kukuchuna, ni yule mpiganaji anayezalisha chake, anayeweza kukizalisha chako/chenu na anayeweza kukusaidia kujenga maisha ya familia yenu. 6. Mwanaume kamili aliye bora haulizi kipato cha mkewe, hamgawii mwanamke majukumu ya familia (hata kama mwanamke ana kipato kikubwa kuliko yeye). Zingatia neno ‘mentality’ ya kiume. Na mentality ya ‘kike’! Kaa kwenye mentality yako, ila kama ulichagua mwanamke sahihi, ata-step in kuinyanyua familia na hali ya maisha yenu bila kuambiwa, bila kulalamika, kwa siri na staha kubwa, na bila kukudhalilisha. 7. Epuka kukaa kwenye mahusiano na mwanamke anayekuomba nauli kila siku mkitaka kwenda out, anayekuomba pesa ya salon kila mkitaka kutoka, anayelewa pombe sana, anayependa kuwasiliana na kujenga urafiki na wanaume wengine, anayependa kufuatilia maisha ya couples nyingine na kujifananisha nao, anayetamani vitu vikubwa vikubwa wakati anakuona unajitafuta! 8. Epuka kuwa na mahusiano na mwanamke anayeona anakupa favour kuwa na wewe, anayeona uzuri wake ama show zake kitandani ndiyo kila kitu! 9. Epuka kuwa na mwanamke anayeona wewe siyo saizi yake sema basi tu, asiyeweza kukutambulisha kwa ndugu na rafiki zake, asiyejivunia kuwa na wewe, asiyeweza kwenda out na wewe! Epuka huyo! 10. Epuka mwanamke mwenye password nyingi sana kwenye simu yake, anayesevu namba za wanaume kwa codes, asiyeweza kupokea simu mbele yako, anayeweka airplane mode mbele yako, anayezima data mbele yako, anayeanzisha biashara bila wewe kujua mipango yake, anayependa sana kujiremba hadi kupitiliza! Epuka huyo! #HK #Fighter #NjeYaBox
Indonesia
623
851
2.8K
261.3K
Frank_ gregory
Frank_ gregory@204_gregory·
Ukitaka uishi maisha ya uhuru na furaha, basi kuwa kama kitabu. Yaani mruhusu kila mtu akutafsiri kwa kadri ya mtazamo wake na kamwe usithubutu kujiaminisha mbele yao ..
Indonesia
0
0
2
44
Frank_ gregory
Frank_ gregory@204_gregory·
Mpende mtu kutokana na juhudi zake juu yako na wala si kutokana na ahadi zake, sababu mwisho wa siku ahadi ni maneno tu kama maneno mengine kwani watu ni wagumu kuzitimiza ..
Indonesia
0
0
3
46
Frank_ gregory retweetledi
Benjamin Fernandes 🇹🇿
Benjamin Fernandes 🇹🇿@Benji_Fernandes·
Goal setting for 2024: If you haven't created your goals yet, don't worry, it's not too late. Here's the format i recommend --> write goals in these 6 categories: 1. Personal 2. Professional 3. Spiritual 4. ⁠⁠Financial 5. Health 6. Relationships Make sure each goal is measurable. Try to put a deadline on each one of them (where possible). Once completed, show it to a few of your very close friends to get their feedback, but also, to hold you accountable. Review your goals weekly/monthly to keep you focused. Remember, what's not measured, can't get improved. All the best 👊🏽
English
12
64
244
19K
Frank_ gregory retweetledi
Khaled
Khaled@meetkhaled_·
JINSI YA KUWEKA BIASHARA YAKO GOOGLE MAP Je Unapata changamoto ya wateja wako kushindwa kufika biashara yako ilipo? Je Unataka biashara yako ionekane Goole? Je Unataka mtu aki Search Google jina la biashara yako Google map imuelekeze mpaka ulipo? Huu UZI ni Kwaajili yako👇👇
Khaled tweet media
Indonesia
10
109
200
13.9K
Frank_ gregory retweetledi
YouTube | Mou
YouTube | Mou@MouSaliim·
Usisubiri mtu aje kukushika mkono, Safari yako ya mapambano ni yako pekeako so kila hatua unayotaka kupiga ifanye kwa nguvu zako zote. Tumia vizuri fursa zinazokuzunguka na ukipata nafasi yakumshika mwingine mkono basi usisite kufanya hivo maana "We rise by lifting others"
YouTube | Mou tweet media
Filipino
4
7
7
866
Frank_ gregory retweetledi
Faustine Ndugulile
Faustine Ndugulile@DocFaustine·
Masuala ya lishe, usalama na ubora wa chakula yanahitaji mjadala mpana na maamuzi ya kisera. 1. Pamoja na kufutwa kwa @TFNC_TZ bado tunahitaji chombo cha kusimamia lishe nchini. 2. Jukumu la kusimamia ubora na usalama wa chakula lirudishwe @tmda_tanzania chini ya @wizara_afyatz
Indonesia
15
32
78
9.1K
Frank_ gregory retweetledi
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Fursa inategemea mtazamo, si mazingira.
Bellevue, WA 🇺🇸 Euskara
0
5
62
12.6K
Bonge La Afya
Bonge La Afya@BongeLaAfya·
Wataalam wa afya mnawaambia wajitolee, walipwe 50% salary ila hela zinatumika kuwalipa watu waje waseme mashine moja ya dialysis kwa siku inahudumia wagonjwa 48, kweli mpo kazini.
Indonesia
36
72
515
36.4K