Sabitlenmiş Tweet
Frank_ gregory
690 posts

Frank_ gregory
@204_gregory
Pharmacist |Alumin @kiut| | Co-founder @msichanapotentials | Entrepreneur 0624388017-halotel 0747460004- Vodacom
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2020
320 Takip Edilen94 Takipçiler
Frank_ gregory retweetledi

The difference of FREE and FEE
Is just letter R without it
Tend to be the same
CHEAP IS COSTFULLY
Set your own standards in life
#LIFEHACKS✌️
English
Frank_ gregory retweetledi
Frank_ gregory retweetledi
Frank_ gregory retweetledi

UKIANGUKA INUKA
ANZA UPYA TENA
NI MARUFUKU KUTA TAMAA
NO BAD ENERGY
ONLY STRONG WILL SURVIVE
POSITIVE ALTITUDES ONLY
#HUMU TU ✊️
@ babuwakitaa_tz @BDonforgen
@204_gregory @MnyamweziMmoja
Indonesia
Frank_ gregory retweetledi

Juhudi zitakutaka uwe macho kipindi ambapo wengine wamelala, kuna muda zitakutaka utunze kipindi ambapo wengine wanatumia. Vumilia 🙏🏽
#amanidimile

Filipino
Frank_ gregory retweetledi

For boys (na Labda wasichana pia wanahitaji kusikia haya! 🤷🏾♂️):
1. Hakikisha unaoa. Kuoa ni lazima. Kuoa siyo lazima uwe na pesa. Ukikua kiasi cha kuzalisha mwanamke, oa! Mengine yatajipanga. Uoe nani sasa, sikia mtazamo wangu!
2. Oa tu mwanamke kama unampenda na una nia ya kuanzisha familia iliyo bora. Oa mwanamke atakayekuwa rafiki mzuri kwako na mama mwema kwa wanao. Oa mwanamke mwenye MUNGU ndani yake. Ni bonus ukipata mwenye shape, lakini lazima awe na Mungu ndani yake.
3. Ikitokea ukaoa usiwe mwepesi kutoa talaka. Ipambanie ndoa yako isimame. Hakuna viumbe wagumu kuwaelewa kama wanawake. Wanadamu tuko wawili tu - Ke na Me! 😀. Lakini Ke my brother, ni mgumu sana kumuelewa. Ukiishaamua kumuoa, jifunze kumvumilia, kumhurumia, kumpuuza (akianza maneno, maana kwa uhakika ataanza tu!)
4. Usije ukarogwa hata siku moja ukamuoa msichana ambaye ana MENTALITY, ya kuwa eti Wewe ni chanzo chake cha pesa na maisha mazuri; ila zingatia tu kwamba wanawake wote duniani watakupenda na kukukubali kama una pesa!
5. Jua kwamba ni jukumu lako kumhudumia mwanamke wako, lakini mwanamke aliye bora ni yule asiye na mentality ya kukuchuna, ni yule mpiganaji anayezalisha chake, anayeweza kukizalisha chako/chenu na anayeweza kukusaidia kujenga maisha ya familia yenu.
6. Mwanaume kamili aliye bora haulizi kipato cha mkewe, hamgawii mwanamke majukumu ya familia (hata kama mwanamke ana kipato kikubwa kuliko yeye). Zingatia neno ‘mentality’ ya kiume. Na mentality ya ‘kike’! Kaa kwenye mentality yako, ila kama ulichagua mwanamke sahihi, ata-step in kuinyanyua familia na hali ya maisha yenu bila kuambiwa, bila kulalamika, kwa siri na staha kubwa, na bila kukudhalilisha.
7. Epuka kukaa kwenye mahusiano na mwanamke anayekuomba nauli kila siku mkitaka kwenda out, anayekuomba pesa ya salon kila mkitaka kutoka, anayelewa pombe sana, anayependa kuwasiliana na kujenga urafiki na wanaume wengine, anayependa kufuatilia maisha ya couples nyingine na kujifananisha nao, anayetamani vitu vikubwa vikubwa wakati anakuona unajitafuta!
8. Epuka kuwa na mahusiano na mwanamke anayeona anakupa favour kuwa na wewe, anayeona uzuri wake ama show zake kitandani ndiyo kila kitu!
9. Epuka kuwa na mwanamke anayeona wewe siyo saizi yake sema basi tu, asiyeweza kukutambulisha kwa ndugu na rafiki zake, asiyejivunia kuwa na wewe, asiyeweza kwenda out na wewe! Epuka huyo!
10. Epuka mwanamke mwenye password nyingi sana kwenye simu yake, anayesevu namba za wanaume kwa codes, asiyeweza kupokea simu mbele yako, anayeweka airplane mode mbele yako, anayezima data mbele yako, anayeanzisha biashara bila wewe kujua mipango yake, anayependa sana kujiremba hadi kupitiliza! Epuka huyo!
#HK #Fighter #NjeYaBox
Indonesia
Frank_ gregory retweetledi

Goal setting for 2024:
If you haven't created your goals yet, don't worry, it's not too late.
Here's the format i recommend --> write goals in these 6 categories:
1. Personal
2. Professional
3. Spiritual
4. Financial
5. Health
6. Relationships
Make sure each goal is measurable. Try to put a deadline on each one of them (where possible).
Once completed, show it to a few of your very close friends to get their feedback, but also, to hold you accountable.
Review your goals weekly/monthly to keep you focused.
Remember, what's not measured, can't get improved.
All the best 👊🏽
English
Frank_ gregory retweetledi
Frank_ gregory retweetledi

@MalemboLE As long Panadol ni pain killer....maumivu ni mengi katika maisha, mengine hata hatuyajui
हिन्दी
Frank_ gregory retweetledi

Masuala ya lishe, usalama na ubora wa chakula yanahitaji mjadala mpana na maamuzi ya kisera.
1. Pamoja na kufutwa kwa @TFNC_TZ bado tunahitaji chombo cha kusimamia lishe nchini.
2. Jukumu la kusimamia ubora na usalama wa chakula lirudishwe
@tmda_tanzania chini ya
@wizara_afyatz
Indonesia
Frank_ gregory retweetledi







