Wakana Wakilo
2.3K posts

Wakana Wakilo retweetledi

MBEYA: Mwananchi akiuliza swali akiwa katika Mkutano kati ya Vijana na Viongozi wa Dini kuhusu Haki na Amani Ulioandaliwa na Kamati ya Dini mbali mbali (ISCEJIC) kufuatia Matukio yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025.
Mkutano ulifanyika Aprili 16, 2026 ukiongozwa na Sheikh Khamis Mataka wa BAKWATA na kuhudhuriwa na viongozi wa Dini mbalimbali akiwemo Mchungaji Modest Pesha wa CCT.
Zaidi jamii.app/ViongoziWaDini
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMatukio
Indonesia

@Innocen89950594 Kaa mbali na Masenge hayo hakuna mwenye kutaka sifa zao
Filipino
Wakana Wakilo retweetledi
Wakana Wakilo retweetledi
Wakana Wakilo retweetledi
Wakana Wakilo retweetledi
Wakana Wakilo retweetledi

Tukubali "ghasia" zilipangwa, kuratibiwa, kufadhiliwa na kutekelezwa.
Tukubali watu 518 tu ndio waliouwawa, 758 wamepotea na 448 hawajulikani walipo ( 518+758+448=1,724! Namba 8 imependwa sana na Tume).
Jumla watu 1,724 HAWAPO kama matokeo ya hicho kilichopngwa, kuratibiwa, kufadhiliwa na kutekelezwa;
- Mkuu Usalama wa Taifa (DGIS) bado yupo ofisini
- Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) bado yupo ofisini
- Wakuu wa Mikoa na Kamati za Ulinzi na Usalama za Mikoa yote husika wapo ofisini
- Wakuu wa Wilaya na Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya zote husika wapo ofisini
Hakuna kuwajibika wala kuwajibishwa, halafu Umma ukubali kuwa hii haikuwa kazi ya dola yenyewe kujiandaa kuua watu wake?
Filipino
Wakana Wakilo retweetledi
Wakana Wakilo retweetledi
Wakana Wakilo retweetledi

‼️VIONGOZI WA KKKT WAPO KWENYE MTEREMKO MKALI WENYE UTELEZI‼️
Nduli Idd Amin Mama amefanikiwa kuwaweka ‘mfukoni’ baadhi ya Viongozi wa kanisa la KKKT kwa ahadi ya madaraka.
Wiki kadhaa zilizopita Nduli Idd Amin Mama alizungumza na baadhi ya Viongozi wa Kanisa la KKKT akiwemo Mkuu wa Kanisa Askofu Gehaz Malasusa.
Pamoja na mambo mengine Katika mazungumzo hayo Nduli Idd Amin Mama anadai kwamba Kanisani la Roman Catholic linamshambulia sana na kumpiga vita hivyo anaomba Viongozi wa KKKT wamuunge mkono kwenye awamu yake hii mwisho kwa ahadi ya kwamba term ijayo atahakikisha Rais anatoka KKKT.
Idd Amin Mama anasema kwamba miaka yote ndani ya nchi hii, ikiwa ni zamu ya Wakristo kutoa Rais huwa anatoka kanisa la Roman Catholic sasa anaona mara hii iwe zamu ya KKKT.
Nduli Idd Amin Mama kawambia Viongozi wa KKKT kwamba mtu ambae yeye anamuandaa kuwa mrithi wake ni Mwigulu Nchemba ambae ni muumini wa KKKT ndo maana kampandisha na kumfanya Waziri Mkuu haram wa Tanzania
Jambo hili limewaingia moyoni baadhi ya Viongozi wa KKKT ndo maana mnaona hata wale Maaskofu na Wachungaji ambao walikuwa wanaonekana kidogo wanagusia maswala ya Haki za Watanzania sasa hivi wamewasaliti Wananchi, wamegeuka kuwa machawa wa Idd Amin Mama na wengine bila aibu wala hofu wanasema bora wamuunge mkono Idd Amin Mama ili 2030 awape Rais wa ‘kwao’ washasahau kabisa kwamba huyu Idd Amin Mama alijiweka madarakani baada ya kuuwa kwa risasi Watanganyika zaidi ya elfu kumi.
Mpaka sasa tayari imeundwa team ya watu ambayo inawaunganisha wanaKKKT wote ambao wanadhan wana Ushawishi kwenye jamii ndani ya team hiyo kuna Wanasiasa, Wasanii wa Bongo, Watemgeneza maudhui mitandaoni , Waandishi wa Habari n.k
Team hii ni mahususi kwa ajili ya kumfanyia PR Mwigulu Nchemba na vikao vyao vyote pamoja na mipango yao huwa wanafanyia pale Kanisa la KKKT Kijitonyama.
Kwahiyo mkiwaona wanafanya Uchawa huko madhabahuni na mtaani basi mjue sababu ndo hii.
Mwisho nawapongeza Viongozi wote wa KKKT ambao mmekataa kuunga mkono huu upumbavu wa wauaji.


Indonesia
Wakana Wakilo retweetledi

@TheANKOLECATTLE @ankole_destin @CattleAnkole @bwamuntu I ama from Tanzania how can I get all of them
English
Wakana Wakilo retweetledi
Wakana Wakilo retweetledi

Kifo ni fumbo! juzi tunalia kwa kuondokewa na Mwanetu kwa ajali, leo tuliyelia naye, naye ameondoka kwa ajali. Pumzika kwa amani Mwanangu Justine Kiulamagulu (@magulu94) 🕊️💔


Indonesia
Wakana Wakilo retweetledi
Wakana Wakilo retweetledi

@ChiefKipengele @HildaNewton21 Mwaluko ni jina la Wagogo alilitoa wapi??
Filipino

@HildaNewton21 Palamagamba mwaluko aidani wa kabudi. Mbona manne tu?
Filipino

Nawakumhusha tu kwamba Mwaka 2017 wakati Magufuli ameanza kutumbua watumishi wa umma wenye vyeti feki Serikalini.
Kwenye list ya watumishi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam ambao walikuwa na vyeti feki jina la Profesa Palamagamba Kabudi na lenyewe lilikuwepo kwenye list ila kilichomuokoa, Magufuli alimteuwa kuwa mbunge maana sifa ya Ubunge ni kujua kusoma na kuandika.
Ushawahi kujiuliza kwanini anatambulika kwa majina sita?
Kama hujui basi hiyo ni story ya siku nyingine😂
Indonesia





















