Absalut Charles🇹🇿

8.9K posts

Absalut Charles🇹🇿

Absalut Charles🇹🇿

@AbsalutC

Entrepreneur Electrical Engineer and Business men, Electrical materials supplier General supplies Jesus is my Lord,Arsenal fan

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Haziran 2021
63 Takip Edilen175 Takipçiler
Absalut Charles🇹🇿
@eastafricatv Polisi wetu kufanya uchunguzi wako chapu tatizo kumaliza uchunguzi na kuleta report ndio tatizo.mpk leta uchunguzi wa kibao uko wapi?
Polski
0
0
2
1.2K
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam linachunguza kifo cha James Temba mkazi wa Tabata Chang’ombe Wilaya ya Ilala. Taarifa Kamanda wa Polisi Kanda hiyo, Jumanne Muliro aliyoitoa leo Jumapili, Mei 3, 2026 imesema linachunguza kifo cha mtu huyo ambaye Aprili 30, 2026 saa 09 :00 Alasiri mwili wake ulikutwa unaelea kwenye maji yaliyokuwa yanatiririka katika Mto Msimbazi eneo la Kipawa Wilaya ya Ilala. Kamanda Muliro amesema mwili huo ambao haukuonekana kuwa na kichwa baadaye uchunguzi wa awali umeonesha unaweza kuwa wa mtu aitwaye James Temba. Amesema uchunguzi wa tukio hilo unaendelea ili kubaini chanzo cha kifo hicho na hatua zaidi za kisheria zitachukuliwa kwa watakaobainika kuhusika. #HABARI #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
27
15
316
36.6K
Absalut Charles🇹🇿
@jeju_julius Huyu erick mpangaji lkn ana kiburi namna hiyo,eti wa kuongea ni mwanamke sio mwanaume? Mpangaji anapati hicho kiburi? Au kiburi kapata kwa mkuu wa wilaya ,tuwe na sheria ya kulinda wawekezaji otherwise tutakosa wawekezaji siku za mbeleni
Indonesia
1
2
6
318
Jeany
Jeany@jeju_julius·
Sisi Ngozi nyeusi muda Mwingine tuna Tamaa sana aisee Mzungu anaongea anaumia mpaka anataka kulia Ila Ee MUNGU amusaidie Tu hayo ni mawazo yangu 🤷‍♀️
Indonesia
13
18
102
29.4K
Absalut Charles🇹🇿 retweetledi
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
DAR: Mwakilishi wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (#THRDC), Halima Sonda aliyasema hayo Aprili 27, 2026 wakati akiwasilisha sehemu ya tamko la Asasi za Kiraia (AZAKI) na watetezi wa Haki za Binadamu kuhusu Ripoti ya matukio ya Oktoba 29, 2025, mbele ya Waandishi wa Habari. Zaidi tembelea jamii.app/TumePolisi #JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability
Indonesia
27
141
656
16.4K
now.arsenal
now.arsenal@now_arsenaI·
Arsenal are simply a better football team when Martin Ødegaard is on the pitch. If you disagree, I’m sorry but you’re wrong. On and off the ball, he’s the man that keeps it all together. There was even a moment in the second-half when Noni Madueke made a mistake and there were slight groans from the home supporters. The Arsenal captain essentially told the fans to stop, and lift the energy. The Emirates crowd listened and followed through until the final whistle. How some Arsenal fans don’t appreciate Martin Ødegaard, I will never know. Four more to go and with the captain on the pitch, we have a great chance of winning them all.
now.arsenal tweet media
English
417
916
9.2K
382K
ARDENT GOONER
ARDENT GOONER@TheArsenalMind·
Bernardo Silva to Arsenal on a free transfer, yes or no? 👇
ARDENT GOONER tweet media
English
645
31
397
62K
Rodin Simi
Rodin Simi@RodinSimi·
After watching this Arsenal team against Sporting CP, I can conclude that they have no spark and no creativity, they only know how to defend. They will bottle both the Premier League and the UCL, they will bottle the PL first. Premier league clubs have figured out how to beat them. No long balls or corner kicks will save their season. They can't win the UCL because they can't beat PSG. They will be awarded the certificate of UCL participation.
English
87
2
36
6.3K
Fabrizio Romano
Fabrizio Romano@FabrizioRomano·
🚨 OFFICIAL: Martin Zubimendi wins UEFA Man of the Match Award for Arsenal vs Sporting.
Fabrizio Romano tweet media
English
1K
2.2K
33.7K
999.3K
Absalut Charles🇹🇿
Absalut Charles🇹🇿@AbsalutC·
@vibez_afro 🤣🤣👋sawa vyovyote lkn ndio wako bungeni na wanafanya maamuzi kwa ajili ya kesho ya nchi yako kwa hizo hizo tantalila ukiwa ignore haiwezi saidia kesho wataleta sheria mbovu ambazo zitakuja kuleta madhara kwako na generation yako.
Indonesia
1
0
0
37
AfroVibez🇰🇪
AfroVibez🇰🇪@vibez_afro·
@AbsalutC Nipo sahihi. Hao sio wawakilishi wa wananchi, hakuna aliyepigiwa kura. Hawana legitimacy na wapo hapo kimagendo. Hizo ni tantalila na story zinazopigwa hapo hakuna execution itakayofanyika. Ni maigizo hapo.
Filipino
1
0
0
26
AfroVibez🇰🇪
AfroVibez🇰🇪@vibez_afro·
Hakuna wabunge humo! Hiko ni kikao cha majambazi. Amka dogo!
Absalut Charles🇹🇿@AbsalutC

@millardayo Mbunge wa sumbawanga kachangia kitu cha maana sana japo wengi watapuuza.yaani unabomoa mhimbili eti unajenga mpya wakati tuna hospitali ya mlonganzila yenye majengo ya kisasa ambayo nayo ni back up ya mhimbili! Huu utakuwa upotevu wa pesa kama nchi tuboreshe huduma za afya mikoan

Indonesia
1
0
0
86
Triple M
Triple M@Tripple____M·
Arsenal fans only, The Premier League or Champions League. Choose one
English
298
19
235
18.2K
Adedipe Elizabeth
Adedipe Elizabeth@AdedipeEliza·
Arsenal fans, do you think we will beat Manchester City next week
English
169
13
248
13.4K
HUGO
HUGO@deohugo·
@AbsalutC @millardayo Ila amekosa confidence ya kuiwakilisha, akipewa nafasi anaweza ongea zaidi
Indonesia
1
0
0
10
millardayo
millardayo@millardayo·
Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, Aeshi Hilaly, akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2026/27, amelitaka Bunge kukataa bajeti ya zaidi ya shilingi trilioni 1.2 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali mpya ya Muhimbili akishauri fedha hizo zielekezwe katika ujenzi wa Hospitali za Mikoa ili kupunguza mzigo katika Hospitali hiyo. “Hili jambo tusilikubali na nimuombe Waziri Mkuu kama lipo kwenye Wizara ya Afya, limekuja kwenye Kamati na kuna mambo yanafanyika, naomba Bunge hili liende likafanye utafiti tusikubali kwenda kujenga Hospitali ya Muhimbili kwa shilingi trilioni 1 na bilioni 400 haiwezekani na mimi niko hapa kwa ajili ya kuwasaidia wananchi,”Aeshi Hilaly - Mbunge wa Sumbawanga Mjini. Akitolea ufafanuzi suala hilo, Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi amesema, “Jambo linaloendelea kwa ajili ya Muhimbili si ukarabati ni ujenzi wa Muhimbili mpya ni kweli ujenzi huo utatumia trilioni 1.2 na ni mkopo lakini lengo ni kuwa na hospitali bora zaidi Muhimbili ya sasa imeshindwa kupata ithibati kutokana na majengo kusambaa na kutumia eneo kubwa. Mpango huu ni mahsusi kwa ajili ya kujenga Muhimbili mpya yenye uwezo wa kulaza wagonjwa 1,300, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa majengo na usimikaji wa mitambo yote, na itatekelezwa kwa awamu saba.” #MillardAyoUPDATES
Indonesia
36
22
280
48.2K
Absalut Charles🇹🇿
Absalut Charles🇹🇿@AbsalutC·
@ayubu_madenge Kaka look at how city playing na jinsi arteta anavyo struggle hata kupata goli kwake shida. Uhakika wa city kutuweka pale etihad mkubwa sana mzee
Filipino
0
0
1
387
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Hii kejeli na dharau iliyooneshwa na huyu shabiki wa Man City leo hii dhidi ya Arsenal haitapita hivi hivi. Malipo ni hapa hapa duniani, tukutane Weekend ijayo pale uwanja wa Etihad jijini Manchester. Enough is enough, tumebagazwa sana na tumedharaulika mnoo.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
44
18
497
14K
Absalut Charles🇹🇿
Absalut Charles🇹🇿@AbsalutC·
@11RoseniorEra Wew ukifungwa leo hata europa unaweza usicheze hatujakuomba umzuie city.Yule tutamzuia wenyewe jitete kwa upande wako jirani🤣
Indonesia
0
0
0
39
Denver
Denver@11Dnvr·
Siwezi kuingia kwenye mkumbo wa kutaka City amfunge Chelsea, Hao City wangekua serious na ubingwa wasinge waruhusu Forrest & West Ham wachukue pointi. Ni upuuzi kutaka timu yako ifungwe ili Arsenal akose ubingwa 🚮
Indonesia
31
11
178
5.9K
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Arsenal Tumepigwa na Stress balaa… Naomba BINTI mrembo anaejiamini na Yupo Dar Sasa Hivi… Aje Dm Tutoke Out Usiku huu… anitoe Stress zote! 500k. 5 hrs Only. NO S*X ila Usiwe Mwezini… usiwe mchaga,mpare wala mmeru! Usiwe na Lafudhi ya kaskazini- inanikata balaa… Age 20-23yrs… Usiwe umezaa… kifua kiwe kimesimama bila Bra… kiuno cha nyigu… Mguu wa Bia… jicho la Wizi wa mahaba… Uwe na dimples… usiwe Mrefu wala mfupi- kimo cha Kati… Tako la haja… 60-72kgs. Ukiwa wa Tanga au Mtwara… nitakuongezea Laki 2- iwe 700k. Dm usiongee saana… tuma Picha na namba!
Indonesia
172
47
460
20.1K
Absalut Charles🇹🇿
Absalut Charles🇹🇿@AbsalutC·
@GeorgeJob14 Wewe ungekuwa kama sisi ungeweza kupiga hizo hesabu za kumfunga city kwa mpira ile tuliocheza jana.Wew tunacheza mpira ambao sisi wenyewe hutuelewi na sio identity ya team yetu kaka
Indonesia
0
0
0
94
George Job
George Job@GeorgeJob14·
Kwanini mashabiki wengi wa Arsenal wanapiga hesabu ya Man city akiwafunga wao zinabaki point 3? Kwanini hawapig hesabu ya wao kumfunga City na gape kurudi tena kwenye 9? Kwani haiwezekani kuwa hivyo? Mashabiki wengi wa Arsenal wanakuaga ndio first doubters wa team yao.
Indonesia
76
45
758
20.2K
Movie Plug🎬
Movie Plug🎬@MoviePlugHQ·
No military movie can beat this one… prove me wrong.🪖💥
Movie Plug🎬 tweet mediaMovie Plug🎬 tweet mediaMovie Plug🎬 tweet mediaMovie Plug🎬 tweet media
English
1.3K
1.1K
15.2K
1.5M