machkov puty

6.2K posts

machkov puty banner
machkov puty

machkov puty

@AkidaAwal

Statesman

Katılım Ağustos 2017
319 Takip Edilen80 Takipçiler
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@Elinisaidie_TZ @ayubu_madenge Acha ,kusema yasiyo na maana, mafanikio ni mipango ya mungu na kila alietumika serikalini na kutoka na mali alichukua kodi hakuna jipya, hakuna mafanikio kwa kuchota kodi wewe ni mwizi kama wezi wengine, na kama elimu basi mafanikio alikupa babako na mungu
Filipino
1
0
0
124
elinisaidie
elinisaidie@Elinisaidie_TZ·
@ayubu_madenge Ukiangalia viongozi wote waliofanikiwa Tanzania utagundua walioa Kaskazini.
Indonesia
2
0
2
4.8K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Oscar Kambona akiwa katibu Mkuu wa TANU alienda Uingereza kusoma Sheria. Huko akakutana na binti anayeitwa Flora mtoto wa Chifu Marealle wa Wachaga, Kambona akaamua kumuoa 1960. Mwalimu naye akasafiri kwenda kumwakilisha baba yake Flora, ndoa ikafungiwa London Kanisa la St.Paul.
Ayubu Madenge tweet media
Filipino
57
108
2.1K
156.6K
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@msangijeff Endelea kujiuliza ilikuwaje na leo kwanini, hata wewe ni mtuhumiwa ulie uraiani Ila unaishi na kuendelea na majukumu kwa huruma za sheria vikizidi inafuata mkodo wake, kwamana hujawa na madhara ndio mana huguswi pamoja na uvunjufu wa sheria unaoufanya na ndicho walicho fanyiwa wo
Indonesia
0
0
1
9
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@msangijeff Kipndi hicho chote hawakuguswa wala kuulizwa au kunyanganywa chochote na wazanzibari waliwapenda sana,kwanini leo wanyanganywe hapa hutakiwi kulaumu kwanza jiulize, kuna mahala wameharibu, hata kama walionewa taratibu zipo wangefuata, sasa hayo ndio majibu ya sheria mkononi
Indonesia
1
0
0
255
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@msangijeff Jeff Msangi,katika hii nchi hakuna kabila wala dini special eti wao wafanye au wawe kama watakavyo Miaka hiyo yote unayosema wamasai wapo hapo zenj hawakuwa wanauza dawa wala chochote wengi wao walikuwa walinzi mahotelini, getini na kusaidia kushusha mizigo na marungu yao
Filipino
0
0
0
93
machkov puty retweetledi
Mapung'o
Mapung'o@Mapungo2020·
@msangijeff Tusielete hisia Wamasai ni raia tu kama raia wengie hawana utofautu wowote wafwate sheria tu.🚶🚶😁
Indonesia
4
1
4
494
machkov puty retweetledi
SikilizaTogolani
SikilizaTogolani@SikilizaTogolan·
"Maadam Mwenyezi Mungu wetu ni mwenye haki, basi hawezi kukutwisha mzigo usiokuhusu, usioweza kuubeba wala usioweza kuutua." ~Togolani Mavura.
SikilizaTogolani tweet media
Suomi
21
162
701
18.7K
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@hancymachemba @eastafricatv Hancy,angalia Dar unapoishi na machinga wanachofanya pembezoni mwa njia za wenda kwa miguu wako radhi watu wasukumane na magari wao waweke biashara zao, sasa maana halisi ya zile njia nini, na wanapo ondolewa wana azinsha fujo inakuwa vurugu, Kiukweli hizi kura zinazotafutwa
Indonesia
0
0
1
8
Hancy Machemba
Hancy Machemba@hancymachemba·
@AkidaAwal @eastafricatv Unaweza kutuambia madhara ya hayo mahindi yakiwa kwenye hifadhi ya barabara? Je kama wangeacha wavune kisha wazuie kulima tena kungekuwa na hasara?
Indonesia
3
0
1
34
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI Wakala wa Barabara nchini ( TANROADS) mkoa wa Tabora imeanza zoezi la kuondosha kwa kufyeka mazao yote ambayo yamelimwa na wakulima katika hifadhi za barabara. Zoezi hilo utekelezaji wake umeanza katika maeneo ya wilaya ya Nzega na Igunga mkoani humo ambapo umefanyika ufyekaji wa mazao ikiwemo mahindi. Meneja wa TANROADS mkoa wa Tabora Mhandisi Raphael Mlimaji, amesema hatua hiyo imefuata baada ya elimu kutolewa mara kadhaa juu ya wananchi kutotakiwa kufanya shughuli za kibinadamu ikiwemo kilimo katika maeneo ya hifadhi za barabara huku wengi wao wakionekana kukaidi. #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
407
68
1.1K
166.8K
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@hancymachemba @eastafricatv Hancy sitegemei wewe uulize swali kama,hili kabisa angalia au soma maelezo wamekuwa wakipewa elimu ya kutolima au kutumia eneo la hifadhi ya barabara kila mara, sasa watu kama hawa usipo onesha vitendo kesho watamsubiri makonda waseme wamechukuliwa mashamba yao na hawajalipwa
Indonesia
1
0
0
27
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@chax255 @mackphason Babu yako hana cheti chabkuzaliwa? Mana alienacho si sababu ya kuwa Raia je asienacho? Unajuwa unatakiwa utulie utafakari hiyo kauli
Indonesia
0
1
1
26
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@eastafricatv Hii nchi akija Rais kichaa Tutakimbia nchi sisi wabongo wakaidi sana na tunapenda kulalamika kwa makusudi yetu, kitu tunafanya alafu serikali mbaya, hawa mnao waita viongozi ni sehemu ya sisi tumekuwa nao, soma nao, na kuishi nao,Tunajuana vizuri sana hawafanyi jambo kwa kukosea
Indonesia
1
0
3
463
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@prossoff @Nkololotz Acheni msada ubaki kuwa msàda hayo ya kupata fedha ajitoe mwingine, ni sawa na kuambiwa karibu kula unasema hiyo fedha nipe ninashida zingine, ujue umeharibu sana kwa aliekujali kwenye kula, Tuangalie moja alafu la pili lifuate baadae
Indonesia
0
0
15
965
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
@Nkololotz Hiyo M5 apate wheel chair ya kawaida na boda 2 zimpatie kiwango kila siku.
Filipino
15
10
282
20.7K
Pasco Nkololo
Pasco Nkololo@Nkololotz·
Hii kiti inaitwa Shoprider Jimmie Power Chair. Bei yake ni USD 2110 sawa na kama TZS 5,359,400 Mtaani hapa kuna mwanetu mlemavu kwa kuzaliwa anatembea kwa kutambaa kwa miaka 29 sasa. Kwa haraka haraka wapi naeza peleka proposal mwanetu apate kama hii ? Nisaidie kutag
Pasco Nkololo tweet media
Indonesia
73
112
706
228.3K
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@bbcswahili BBC,na ukibaraka wa vyombo vya Marekani, Huwezi Amini kuwa UK ndio alikuwa mtawala pale Marekani leo amekuwa mpambe wa marekani, kimewafika nini haijulikana wamekuwa vibaraka kila kona, sasa hata habari wanapangiwa, hamuwezi poza machungu yaliyopita USA ni magaidi
Indonesia
0
0
1
324
Bonge La Afya
Bonge La Afya@BongeLaAfya·
Yule bibi wa Matoborwa leo haamini kama upasuaji wa kuondoa uvimbe unafanywa bila kufungua mwili, ila ndio maajabu ya mtambo unaoitwa High Intensity Focused Ultrasound (HIFU), hakuna tena kutibu vidonda, hospitali ya Kairuki wanaiweka Tanzania nchi ya 4 Africa kununua mtambo huu.
Bonge La Afya tweet media
Indonesia
9
27
277
11.1K
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@TheChanzo Kwakweli Mimi naunga mkono swala la mgombea binafsi, Naamini hawatokuwa watu wanaokwenda bungeni kwa maslahi bali kutetea wananchi mana anajua fika akifanya makosa wananchi watamkataa kwenye box, na hatokuwa muoga katika kueleza yale yanayohusu wananchi,
Indonesia
0
0
0
21
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@captainmaestroo @Hunterjay12345 @Wilhelimina8 Alafu anatokea mwanamke mliekutana utu uzimani kwa sababu ya ndoa au kuishi pamoja anakwambia sitaki kuishi na mama yako au mrudishe kijijini tutampelekea kila kitu, Ila mama yake aje aishi hapo kwako ahhh ngoja nikae kimya
Indonesia
0
0
0
1
HUNTER
HUNTER@Hunterjay12345·
"Mwandishi wa habari anamuuliza Cristiano Ronaldo: "Kwanini mama yako bado anaishi na wewe? "Kwa nini usimjengee nyumba?" Cristiano Ronaldo anajibu: "Yangu mama alinilea na alijitolea maisha yake kwa ajili yangu. Angeweza kulala na njaa, ili kuniruhusu kula tu. Hatukuwa na pesa hata kidogo. Alifanya kazi siku 7 kwa wiki na usiku kama mjakazi kununua viatu vyangu vya kwanza ili niwe mchezaji. Mafanikio yangu yote yamejitolea kwake na kwa sababu yake na maadamu ana maisha, atakuwa karibu nami kila wakati, ana kila kitu ninachoweza kutoa. Yeye ndiye kimbilio langu na zawadi yangu kuu
HUNTER tweet media
Indonesia
49
95
1.1K
104.4K
machkov puty
machkov puty@AkidaAwal·
@JJMaxmillian @ndembo255 @JrKapesa Leo hii nchi ina angamia kwa ajili ya watu wajinga kama wewe waliotafuta vyeti wakapewa nafasi, mwisho wa siku hawana wanalofanya, tu uajiriwe upate fedha na sio kuwa na mchango katika Nafasi uliyopewa, tunawaona wenye 1st class kama wewe wanahangaika huku,Elimu Kwanza sio GPA4.9
Indonesia
1
1
1
18
McihwaJr
McihwaJr@JJMaxmillian·
@AkidaAwal @ndembo255 @JrKapesa Hii nchi kumbe ndo maana ina wajinga wengi sana aiseee, watu hawaamini kwenye perfection na class zaidi wanapenda vitu rahisi rahisi tu..
Indonesia
3
0
1
9
Eng. Ndembo Jafari
Eng. Ndembo Jafari@ndembo255·
Kusoma Engineering na Kutafuta GPA Kubwa badala ya Ujuzi, ukirudi Mtaani utajuta Kusoma Engineering na GPA yako ya 4.9.
Indonesia
23
21
488
25.4K