
@anyilile @Agnesskanje Sasa kama mkeo unamuachia 4000 kitambi kitatoka wapi mzee
Indonesia
mzeenyokozimaoraimo
3.6K posts

@AkonAnord
Lengo kutimiza ndoto na sio mashindano 🙏







Dereva yupi ni wa kuaminika zaidi na kuweza kuwaongoza madereva wengine akipewa gari, 1. Dereva wa serikali 2. Dereva wa mabasi 3. Dereva wa magazeti 4. Dereva wa malori 5. Dereva wa IT?



Kaka Angu @rollymsouth Njoo Kwa Speed Tutakulinda Kwa Wivu Mkubwa Mnoo!! Bora Wewe Ni Tetesi Za Maneno. Wao Tumewashudia Wanaenda Kwenye Event Zao, Tumewashudia Wameingia Studio Na Wasanii Hao Hao, Tumewashudia Wanafanya Promo Kwenye Medea. Alafu Wanasema Wanatafuta Ugali😁











Soon naoa!


Bongo ndio nchi nyepesi sana kuanza upya maisha. Ukitoka Dar, ukaenda Wilaya mojawapo ya Morogoro, unaenda kuanza maisha upya bila mtu kukujua na matendo yako umewahi kufanya 😆


