Dr.Ankobiotics
3K posts

Dr.Ankobiotics
@Dr_Labaan
MEDICINE||FUNNY&JOKER||#STETHOSCOPEMYTHING.
Lake Zone Katılım Şubat 2019
1.5K Takip Edilen1.1K Takipçiler

@chapo255 Uongo huo,huku visiwani wamejaa criminal kibao wanafanya dhughuli za uvuvi polisi wenyewe wanaogopa kuingia visiwani,we njoo tu hapa migingo,au visiwa vya ndani ya lake victoria tena unaenjoy maisha zaidi ya bongo,maana kuna dhambi ambazo h7jawahi kuziona
Indonesia

Polisi wa Bongo hawajui kitu hadi waanze kukutafuta wewe, Kutoka Sinza kuitafuta Shekilango tu ukapande bus inaweza kukuchukua siku 5😂😂😂
Lubasha Jr@MarekaMalili
Bongo ndio nchi nyepesi sana kuanza upya maisha. Ukitoka Dar, ukaenda Wilaya mojawapo ya Morogoro, unaenda kuanza maisha upya bila mtu kukujua na matendo yako umewahi kufanya 😆
Indonesia

@SouthernBuses EFN 649 nimetoka nalo jana Bukoba-Dar dereva James na Hassan,picha imepigwa wakati wanashusha Mbezi.Dada yupo vizuri anajitahidi kwa huduma na namna ya kuongea,shida iliyopo mvua ikinyesha mnalowa ndani huko sijui kwanini mvua ilitukuta Singida.
Indonesia

@IgnasMgidange @ZakayoMmbaga 😂😂Ukifikishwa huko ni sawa umetolewa kweny mfumo tu
Indonesia

@Dr_Labaan @ZakayoMmbaga Chief Chitangali tumekukosea nini tena? 😄 🤣
Indonesia

Kwa maana kwamba MMED haimuongezei Daktari value yoyote kwenye utendaji wake au wewe value unaihesabu in terms ya fedha tu?
Dr. Kala. MD@kalegamyeh
Naona picha nyingi za graduation za MMED. Nakumbuasha: MMED bongo ni mtego unless una maelekezo makali.
Indonesia

@Kibet_bull Unatake care of your mom, unamtumia doh kila mwezi na bado unapata hio doh yote anapeleka hapa na ako fully active hadi hapatikani home.
Hata kuku ulimnunulia kama side hustle aliuza zote akaleta pesa kwa mtume.
Filipino

@Jambotv_ Halafu ada yao nimecheki online eti ni milioni 6 kwa mwaka. What a shame nawashauri mwaka wa kwanza walioko hapo wajaribu ku hamia kwenye kozi zingine vyuo vingine mfano pale UDOM,MUST kunakozi nzuri tu.
Polski

VIDEO:
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesitisha kibali cha udahili na usajili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Shahada ya Udaktari wa Binadamu katika Chuo Kikuu Mwanza (MzU) kwa tuhuma za kudahili na kusajili idadi kubwa ya wanafunzi mara kumi ya idadi iliyoidhinishwa na mamlaka ya urekebu.
Akitoa taarifa hiyo leo kwa waandishi wa habari Katibu Mtendaji wa TCU, Profesa Charles Kihampa amesema chuo hicho kimedahili na kusajili idadi kubwa kuliko uwezo wa chuo kimiundombinu katika kujifunzia na kufundishia ikiwamo idadi ya walimu waliopo.
"Tume katika kikao chake maalumu cha 127 kilichofanyika tarehe Novemba 28, 2025 imefanya maamuzi yafuatayo; moja tume imesitisha kibali cha udahili na usajili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Shahada ya Udaktari wa Binadamu kwa Chuo Kikuu Mwanza (MzU) katika mwaka wa masomo 2025/2026,".
Ameongeza kuwa "Usitishwaji huu unatokana na chuo husika kushindwa kuzingatia maelekezo ya Tume, kwa kudahili na kusajili idadi kubwa ya wanafunzi kuliko ile iliyoidhinishwa na kuchapishwa kwenye kitabu cha Mwongozo wa Udahili kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Aidha, Chuo Kikuu Mwanza kilishindwa kufanya marekebisho ya idadi hiyo licha ya kupewa maelekezo ya kufanya hivyo. Chuo hicho kitaendelea kutoa mafunzo kwa wanafunzi wengine wanaoendelea na masomo”.
Filipino

@gabyconscious Huyu jamaa hachoshi kumsikiliza kabsa na wala hata hajali,yeye ni mwendo wa gitaa, zeze na kinubi
Filipino


@hozza139 @MarekaMalili Askof Niwemugizi alipingana na Rais Magufuli kukataa Lockdown ili kujilinda dhidi ya Covid,hapo ndipo walitibuana.Askofu aliagiza makanisa yote ya jimbo lake hakuna kusali kanisani wote tutasalia nyumbani na ikawa hivo.
Indonesia

@MarekaMalili Unakumbuka yule padri kule Ngara alipigwa zengwe eti diyo mtz sababu ya msimamo wake kwa Magu.
Filipino

For the record hakuna wakati TEC wamemshughulikia Rais kutoka Imani yao kama Magufuli, kuna kipindi alijenga hadi kanisa Chato awe anajisalia peke yake na watu wake.
#NiYeye@InnocentJLS
Kuna watu nimesikia wanasema TEC wanakosoa kwa sababu Rais sio Mkristo/Mkatoliki, Msipotoshwe, TEC walimkosoa Magufuli ambaye ni Mkatoliki mwenzao. Kwenye masuala muhimu kama haya tusilete UDINI.
Indonesia

@Jay_Electrician @ReganTesla_ Iwe ojajala gwankai? Anga oli wa kibanja eki?
Indonesia

@TBoundBuses @Jizzlewantandu @Muhanuzi16 Daah Mghamba alikuwa anatoka saa 12 saa 10 Arusha saa 12 na mbili upo Moshi ghorofani.Akikaa mbele humtoi,imekuaje tena kapotea bana
Indonesia

@Jizzlewantandu @Muhanuzi16 Mghamba sio kafulia tu, kampuni haipo kabisa
Indonesia

@koku_shekya Hivi kinakuwa imetokea nini hadi watu kuachana despite of being with all signs of loving na chance kubwa ya kurudiana??
Filipino

@TBoundBuses Maning Nice ya Dar - Tandahimba ile DPK ni kisanga kesho unaamka kama vile ulikuwa umechukuliwa msukule
Indonesia

@EddieBahati @kapeto98 Dental hiihii inayochukua watu wawili au watatu kwenye halmashauri moja?? Bora kukomaa tu na MD
Indonesia

Mshauri Mdogo wako Asome Course hizi.
1. Bachelor of Science in Marketing ( UDSM )
2. Information Technology / Computer Science Asome IFM
3. Jonalism and Mass Communication SAUTI
4. Medical Doctor (MD ) Muhimbili University
5. Bachelor of Science in Insurance and Risk Management. IFM.
Kama Unataka Mdogo wako apate Ajira kwa Haraka asikae Mtaani.
English

@ZakayoMmbaga Wakiniuliza kuhusu jinsia huwa nawajibu ni NZURI baasi
Indonesia

Ndio maana hata Ultrasound isemeje sitaki kushauri mtu kuhusu jinsia ya mtoto kabla hajazaliwa😂😂
®️ E L E@ReleGlo
My son wearing pink clothes because Dr said we are having a girl.🥹😂😂😂😂😭
Filipino























