Prince Innocent II

11.9K posts

Prince Innocent II

Prince Innocent II

@Anaclet104

Zanzibar South and Central, Ta Katılım Aralık 2012
4.5K Takip Edilen1.5K Takipçiler
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
SERIKALI ya MaCCM kupitia msemaji wake imeeleza na kusisitiza mtandao wa 𝕏 umefungiwa. Lakini kurasa za taasisi na idara za Serikali, wizara na watawala zinachapisha maudhui rasmi ya Serikali katika mtandao wa 𝕏. Hizi ni dalili za mwisho za tawala za KIDIKTETA kuelekea shimoni.
Indonesia
23
152
1.4K
33.1K
Prince Innocent II
Prince Innocent II@Anaclet104·
@TweveDevota Ilikuwa ni jambo la muda tu! Walipoteuliwa Manaibu waziri wawili kwenye hiyo wizara, tulishajua kinachofuata na ndo hicho kimetokea.. 😊
Indonesia
1
0
0
16
Kasisi 🏵
Kasisi 🏵@Kephawao·
Tanzania kila mtu sasa ni mchambuzi wa siasa za Venezuela.
Indonesia
1
0
0
31
Hika Lyimo
Hika Lyimo@iamthatfemale·
LA, Machame 😁🫢
Hika Lyimo tweet media
Français
68
28
534
30.1K
Aliyah
Aliyah@MelaninAliyah1·
@TanzaniaLeaks Baada ya kukimbia mchakato wa kidemokradia wa uchaguzi na kuchagua kuingiza vijana barabarani, watu wamepoteza mali, viungo, uhqi
Indonesia
7
0
2
3.9K
Tanzania Leaks
Tanzania Leaks@TanzaniaLeaks·
BREAKING NEWS: Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Antipas Lissu, ameteuliwa kuwania Tuzo ya NOBEL PEACE PRIZE inayotolewa kila mwaka na Taasisi ya Nobel Institute iliyopo Oslo nchini Norway. Mh.Lissu yuko Gerezani kwa sasa akisubiria kesi yake ya Uahini kuendelea.
Tanzania Leaks tweet media
Filipino
34
124
661
23.5K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
👉 Hadi 2019 Ruwaichi alishaandika barua 4 za kumchongea Pengo kwa Papa, ikabidi Pengo aombe kustaafu hiari 👉 Pengo sasa ni mgonjwa sababu ni Ruwaichi na Jimbo zima linajua 👉Ruwaichi ana kesi Baraza la Maadili Maaskofu ya matumizi mabaya ya madaraka, na kuwatukana watumishi.
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
21
13
34
3.7K
Prince Innocent II
Prince Innocent II@Anaclet104·
@TBoundBuses @TBoundBuses tatizo linaanzia pale wenye hayo mabasi wanapoupokea huo mzigo, wakiona mzigo ni kitu cha kuvunjika, kwanini wanaupokea? Wakati wanajua hautofika salama kulingana na jinsi wanavyosafirisha mizigo.
Suomi
1
0
0
87
𝗣𝗶𝗹𝗹𝗮𝘁𝗼
Nimekuja kula sikukuu ya Christmas na Mwaka Mpya kijijini, Chuma imetaga! Anyway unakula sikukuu hii ukiwa wapi?
𝗣𝗶𝗹𝗹𝗮𝘁𝗼 tweet media𝗣𝗶𝗹𝗹𝗮𝘁𝗼 tweet media𝗣𝗶𝗹𝗹𝗮𝘁𝗼 tweet media𝗣𝗶𝗹𝗹𝗮𝘁𝗼 tweet media
Filipino
20
23
113
7K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Hivi wale wenzangu tulioishi kwenye Utawala wa Mwinyi, Mkapa, Magufuli na Kikwete, mnakumbuka kuwa kila jengo, sheli au mradi wowote ulitambulishwa kuwa wa mtoto wa Rais? Hasa Utawala wa Kikwete kila mradi tuliambiwa ni wa @ridhiwankikwete ilifaka hatua nchi nzima ikawa ya Ridhiwani. Ajabu alipotoka Kikwete madarakani ile miradi ipo ya watu wengine kabisa. Leo tunaimbishwa tena kila mradi eti wa Abdul, tunajazana chuki zinazotaka kupasua vifua na kupandishana sukari bure. Kila mradi au biashara au chochote utasikia Abdul….. wanaozungumza hayo ni walewale waliotwambia kuhusu Husein Mwinyi, Mkapa Jr, Ridhwani, Jesca, nk. Ukweli tatizo ni Urais tu. Watu hawa hawana shida nyingine kabisa. Amini nchi hii ni ngumu kwelikweli
Filipino
166
6
89
15.2K
Prince Innocent II
Prince Innocent II@Anaclet104·
@Aruatani @Aruatani nimeanza kusikia kuhusu vazi la taifa mwaka 2011 - 2012 na bado mpaka leo tunaelekea 2026 Tanzania hatuna vazi la taifa, its a shame, utasikia imeundwa kamati ya vazi la taifa ili kuwapa watu ulaji tu. @j_kabudi @MwanaFA @makonda_paul userious unatakiwa kwenye hili.
Indonesia
0
0
0
113
Prince Innocent II
Prince Innocent II@Anaclet104·
@Getrude_mollel @Getrude_mollel unatumia nguvu kubwa sana kutaka kulisakama kanisa katoliki, ila nikujuze tu rafiki yangu, kanisa katoliki halitokuja kukujibu mitandaoni, ungetafuta hoja zingine kama ishu ni maokoto ya kusukuma # 😂😂
Eesti
0
0
0
19
Getrude Mollel 🇹🇿
Getrude Mollel 🇹🇿@Getrude_mollel·
Ikumbukwe kwamba, Slaa alikuwa Padre wa Kanisa Katoliki, na aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa TEC. Hivi anavyozungumza Slaa, ni reflecition ya vitu vingi sana, hasa kutoka kwenye imani yake. Uwongo, udhalimu na unafiki. Vyote hivi kutetea ulaji wao. Vinywa vya viongozi wa RC vimejaa ghiliba, msikilize Slaa hapa, halafu kamsikilize Kitima, ni watu walewale.
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga

Ndio maana Ruge alisema ogopa Mungu na Teknolojia😀😀😀

Indonesia
1
8
14
1.2K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Tiktok kuna Jamaa anaitwa “KABUDA” ni Mkenya, anakula sana na ana mwili mkubwa. Comments naona wajomba wanamuambia “We kula tuu mzee maana huwezi KULA DEMU”😂
SIR TIVA tweet media
Indonesia
23
19
526
26.3K
Nova 🅧 🇺🇸
Nova 🅧 🇺🇸@real_novax·
What's the total number of people? 99% were eliminated
Nova 🅧 🇺🇸 tweet media
English
210
77
178
11.2K
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Rio de Janeiro ya Afrika!
MR BEN tweet mediaMR BEN tweet mediaMR BEN tweet mediaMR BEN tweet media
Español
10
7
87
9.2K