
Anthony Charles
759 posts

Anthony Charles
@AnthonChaz
Website design & Development, Hosting, AI Agent and Knowledge base Dev.






Hapana hapana hapana Ishu sio kwamba AI inafeli upande wa security. Kama ilivyo kwa developers binadamu. Unaweza tengeneza system nzuri inafanya kazi, lakini usipo implement security nzuri mfumo utapigwa tu. Kwa hiyo AI zinatengeneza kile umeziambia zitengeneze tu, kama haukuipa maelekezo ya namna ya security pia haitafanya chochote. Sababu ni kwamba kuna namna nyingi security inaweza kuwa implemented na yenyewe haijui wewe unataka uweke vipi kama hujaiambia vile unataka. Kwahiyo shida sio AI shida ni binadamu anaye ipa AI maelekezo ya nini ifanye.

Hakuna kitu kinaitwa KAMPUNI MAKARATASI. repeat after me, Hakuna kitu kinaitwa KAMPUNI MAKARATASI.




Kwenye huu mfumo mpya wa TRA (IDRAS) option ya ku download TIN Certificate ipo wapi wakuu? Nimeitafuta hapa siioni kabisa @LuhambaI



Na project zimewahi kufail kisa hela ya hosting na domain 🥹






