shishypushy
1K posts


@NjiwaFLow @INFLUENCERjr Video na picha zote zinaonesha sehemu ilioshambuliwa nihio hio tu ndio ujue kuwa AD zilifanya kaz yake inavyopaswa sema hakuna ufanisi wa 100%
Indonesia

@INFLUENCERjr 💨 Air Defense za Urusi&China zote chali inafikirisha sana

@IAMartin_ @hpolepole Hallo weee amewachota akili na mmejaa swali ni jee kama kweli Polepole alishuhudia mifumo ya chama ikiunganishwa na NIDA kwa nn hakutoka kusema wakati huo huo mifumo ikiunganishwa, akaufyata saizi ndo anajifanya na mapenzi na sisi kutuambia mifumo imeuganishwa👌
Indonesia

Ahsante balozi @hpolepole. Sasa tumepata amani. Endelea kuwaporomoshea mawe. Mpaka wapagawe. Piga kwenye utosi tu. Tunakupata LIVE and DIRECT kutoka magetoni… #KataaWahuni #TupoPamoja #NoReformsNoElection

Filipino

@furaha_nzunda Hawezi kupita huyu kwenye kura za maoni,hana sura,hana tako,hana hipsi,hana body,hana pesa kwakifupi havutii kupigwa miti na wenye Ccm yao
Indonesia

@BinKombo3 @iam_rajabu Kwahio masalafi wanatulisha matango pori!!??
Indonesia

@iam_rajabu Kwa hiyo hadithi hiyo inapingana na ayya za Qur'an kama hii?
...وَلَا تُطِعْ مِنْهُمْ آثِمًا أَوْ كَفُورًا
Nnjoni tukusomesheni uislamu wacheni kumzulia uongo Mtume s. a.w na kuipinga Qur'an
Masalafi mnalaana za Allah swt
Indonesia

@HildaNewton21 Shida hapa ni wananchi why WATU wagome kutoa vitambulisho mnakubalije waondoke na WATU kwanin sisi watanzania ni makuma kiasi hiki asee moyo wangu unauma SANA
Indonesia

Vijana wawili Joseph Mrindoko na Jackson Kabalo wanaounda kundi la "Wachokonozi" wamevamiwa na watu wenye silaha waliojitambulisha kuwa ni Askari Polisi wakiwa nyumbani kwao maeneo ya Maji ya Chai, wilayani Arumeru mkoani Arusha.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, watu hao walikuja na gari aina ya Landcruzer wakiwa wamevalia kiraia na wamebeba silaha za moto. Walipoingia ndani waliwaweka vijana hao chini ya ulinzi lakini walipoambiwa watoe vitambulisho kuthibitisha kama wao ni Polisi kweli walikataa.
Walifanya upekuzi kwenye nyumba hiyo bila kufuata taratibu. Walipoambiwa waitiwe mjumbe wa serikali ya mtaa ili awe shahidi walikataa, na kusema wasifundishwe kazi. Katika upekuzi huo wamechukua vifaa mbalimbali ikiwemo camera, computer, microphones, tape revorder, na nyaraka mbalimbali zilizokuwemo, kisha kuwafunga pingu "Wachokonozi" na kuondoka nao.
Majirani walipouliza wanawapeleka kituo gani cha Polisi, watu hao hawakujibu bali waliondoa gari kwa mwendo mkali. Ndugu wameenda kituo cha Polisi Maji ya Chai lakini hawajawakuta. Hadi sasa, haijafahamika wamepelekwa kituo gani lakini ndugu wanaendelea kufuatilia.
Familia za "Wachokonozi" zinaomba tuwasaidie kupaza sauti ili ndugu zao wapatikane wakiwa hai. Wanaomba waliowakamata wasiwaue wala kuwapoteza bali kama wanatuhumiwa kwa makosa yoyote basi wawapeleke mahakamani kwa hatua za sheria.!

Indonesia

@Rasheed_Atm Muhimu mayahudi wachapike mengine yanajadilika kaka
Indonesia

Yaani watu wanawatukana na kuwalaani wabora wa Umma huu makhalifa waongo wa Mtume swala na salamu zimwendee hivi Wewe 🫵 hapo Sunni utakuwa na kima gani kwao???
Nyie #Wanaharakati Waislamu hebu tumie basi japo akili ya kuzaliwa basi muwache Hamasa na Mihemko bhana!!!!!!!!!

Indonesia

@Eric__Bernard Usiku leo Israel kateketeza kabisa Interceptors zote zilizopo kati ya Iran na Israel ndani ya Iran.
Leo pia wameteketeza launchers za ardhini za Missiles.
Nyambizi za Iran ndo zina-launch Missiles now.
Space ishakuwa wazi.
Leo aircrafts za Jews zitadance kwenye Space ya Iran.
Indonesia

@BinKombo3 @MuhammadLiwaya @MdeePaschal Mh!!!! Kwamba ndani ya hicho kitabu kuna maamrisho ya kumtwii twaghut au??
Indonesia

@MuhammadLiwaya @MdeePaschal Abdul Wahabi hakuchukiwa tawheed ya kiislamu na kuandika ktk kitabu hicho bali alichukua tawheed ya muengereza akaiyandika humo ambayo aliweza kuwauwa waislam wenzake elfu kumi akishirikiana na serekali ya kikafiri ya Soudia.
Wajinga ndio waliwao
Masalafi ni mzigo ktk jamii
Indonesia

@Sativa255 Mwamba mda mwengine unafeli icho unachokizungumza sio kweli vichogo wapo huku na baadh ya iv ulivovitaja hawana wach ujinga ww sisi wazanzibar hatuna ubaya wwt mbon unatusema sana mwananetu
Indonesia

Naona hamjanielewa niliposema huwezi kuingia ZANZIBAR kama huna PASSPORT.
Kwanza sio UONGO, ni ukweli.
Kuingia ZANZIBAR wewe MTANGANYIKA lazima uwe kati ya vifuatavyo.
1. Kitambulisho cha NIDA.
2. LESENI ya udereva.
3. Barua ya UTAMBULISHO wa mtaa unayotoka.
4. PASSPORT.
Kama huna kimoja kati ya Hivyo hapo juu ZANZIBAR huingii. Ila wao WAZANZIBARI wanaingia TANGANYIKA bila KUGUSWA na kenge yeyote.
Wanaweza kuja huku na kumiliki ARDHI na kujenga. Ila wewe MTANGANYIKA huwezi kuenda ZANZIBAR na kununua hata shamba.
Mzaznibari anawezq kuwa KIONGOZI huku TANGANYIKA kama ilivyo kwa Mamaenu, ila wewe MTANGANYIKA hata kuenda kuwa mwenyekiti wa kijiji SAHAU.
Nilichagua neno “PASSPORT” kwenye hiyo post yangu iliyopita kuongeza ukali wa maneno.😂🫵🏾
Tunatumia nafasi hii ya mpira kupitisha AJENDA yetu ya #NoReformsNoElection maana tukipata wawakilishi ambao tutawachagua na kura zetu wataenda kutusemea HAYA.
#TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Indonesia

Hatutaki muendelezo zaidi katika mgogoro huu. Msemaji wa jeshi la India, Kanali Sophia Qureshi.
Khaleej Mag@KhaleejMag
We don't want more tension, Indian Colonel Sofia Qureshi
Indonesia

@AllyAhmednoor Inaonekana waliizarau pakistan huwenda haina AD karibu na hayo maeneo sasa wanachokutana nacho hawatatamani tena kurusha ndege
Filipino

@IAMartin_ 😂😂😂 pia nilisema nitasaidia kila mwenye shida naekutana nae barabarani, sahivi nasaidiwa mimi na kila naekutana nae barabarani 💔
Indonesia

@AllyAhmednoor Ubaya wa haya makombora hayang'ati majengo au masoko dah
Filipino

@Abou_04_ @Makaveli_255 Nenda madrasa kasome kila kitu kipo bayana
Filipino











