Nguruka 1

996 posts

Nguruka 1

Nguruka 1

@B11713Nchie

Katılım Ağustos 2025
208 Takip Edilen48 Takipçiler
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@Omarymsomal Hapana Kwa kweli lilaumiwe tumbo lililokuzaa! Malawi wanatumia bandari yetu kupitisha hayo mafuta ila wao bei ipo chini why sisi bei iwe juu? Jani ndani ya miezi miwili tu imeongezeka 1400 Kwa Lita ivi upo timamu kweli???
Indonesia
0
0
1
33
M A C K 🤠 🇹🇿.
M A C K 🤠 🇹🇿.@Omarymsomal·
Kuna muda tuwe na huruma jmn ili swala la mafuta kupanda nalo ni la kumlaumu mama?
Filipino
12
5
30
653
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Mzigo Mwanza 4300. Asante Mama 🔥🔥
Filipino
50
38
398
9.7K
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@InnocentJLS Hapana hii bei nikwaajili ya wale wasiotaka kuunga mkono juhudi za mitano tena
Indonesia
1
0
0
30
#NiYeye
#NiYeye@InnocentJLS·
Hii bei mpya ya mafuta ni hadi kwa Wana CCM?
Indonesia
7
6
46
846
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@PKisinini @fbuyobe Aliyesema atavuruga uchaguzi aliwekwa ndani miezi 7 kabla ya huo uchaguzi, sasa alihamasisha vipi hizo vuguru angali alikuwa gerezani???
Indonesia
0
0
0
13
MWANAUME MWEMA
MWANAUME MWEMA@PKisinini·
@B11713Nchie @fbuyobe alisema tutauvuruga uchaguzi tutahamasisha maasi!! na kweli yakatokea.. yeye na huyu alosema watakatwa watu vichwa wote ni wanapaswa kuawa ndani..
Indonesia
1
0
0
22
SPOON
SPOON@TonnyUnfiltered·
Kabla ya kuanza kuchakata mbususu ni kifaa gani cha muhimu unatakiwa uwe nacho ukitoa 🍆 na mbususu?
Indonesia
22
33
99
4.3K
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@mwigulunchemba1 Isee kaka naomba ufanye jambo msimu wa kuuza tumbaku umefika hizi kampuni zilipe Kwa wakati mana Mimi niliuza tumbaku yangu tangu mwaka Jana mwezi wa 5 ndo nimelipwa juzi juma mosi kiukweli imeniharibia Marengo na nimekuwa kwenye madeni sugu
Indonesia
0
0
0
196
Mwigulu Nchemba, PhD
Mwigulu Nchemba, PhD@mwigulunchemba1·
Umekuwa wakati wenye tija na manufaa makubwa kwa nchi zetu mbili wakati wa ziara yako nchini, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Kenya, Dkt. William Samoei Ruto. Hotuba zenu Ikulu, Dar es Salaam, yako pamoja na ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mei 4, 2026, pamoja na mazungumzo yaliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), zimeonesha dhamira ya dhati ya kuimarisha ushirikiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Kenya, sambamba na kuendeleza maono ya waasisi wetu, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Mzee Jomo Kenyatta. Aidha, hotuba yako mbele ya Bunge imeakisi kwa dhahiri msimamo wa uongozi unaoamini katika mshikamano wa bara la Afrika na umuhimu wa ushirikiano wa kikanda kama nguzo ya kujenga uchumi imara na kujitegemea. Kama ilivyoelezwa na Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kuthamini na kuunga mkono juhudi hizi kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kindugu na kukuza ustawi wa wananchi wa nchi zetu mbili pamoja na ukanda mzima wa Afrika Mashariki. Karibu sana, na karibu tena Tanzania, Mheshimiwa Rais Dkt. William Samoei Ruto.
Mwigulu Nchemba, PhD tweet mediaMwigulu Nchemba, PhD tweet mediaMwigulu Nchemba, PhD tweet mediaMwigulu Nchemba, PhD tweet media
Indonesia
20
24
112
8.1K
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Kama hujawahi kuumba, na huwezi kuumba, basi USIUE. Uhai sio mali ya mtu, ni zawadi ya Mungu. Ukinitoa uhai basi umempangia Mungu namna ya kuendesha dunia yake. Kitendo cha kuua ni cha kujifananisha na Mungu.
Indonesia
6
12
130
3.5K
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@AlexSamoja In short now Kwa uelewa wangu mdogo nahisi Kuna watu wamepewa Hela kudogosha hii inshu ionekane kifo ni kifo tu
Indonesia
0
0
1
228
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Kwani vijana wa ccm hawanaga utu, alipotekwa Sativa walisema kachukua mke wa mtu, saa hvi wanasema Mdogo wake Temba kamdhulumu mtu simu, ni sheria gani inahalalisha mtu kukatwa kichwa, Polisi watu kama hawa wanaopenda ku neutralize vifo vya watu kwanini hatujawahi kuona mkiwachukulia hatua, Kama yeye kapenyezewa taarifa kwanini asipenyezwe Osterbay akatoa taarifa.
Sekenke One 🌻 tweet media
Indonesia
15
22
109
9.3K
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@Dr_Thadeus_19 Toa Samia weka yule mzanzibr aliyekuwa anaakili sana alihidumu mpaka UN
Filipino
1
0
1
174
Dr. Thadeus Mihayo
Dr. Thadeus Mihayo@Dr_Thadeus_19·
Orodha ya wanasiasa 10 Bora wa mda wote nchini Tanzania: 1. Julius Nyerere 2. John Magufuli 3. Tundu Lissu 4. Jakaya Kikwete 5. Ali Hassan Mwinyi 6. Benjamin Mkapa 7. Samia Suluhu Hassan 8. Seif Sharif Hamad 9. Edward Lowassa 10. Augustine Mrema
Indonesia
26
0
20
3.5K
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@Adventure_36 Wabunge wapo wanapiga makofi tu ivi wanaelewa anachozungumza kweli?
Filipino
0
1
0
34
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Rais Ruto ameanza kuongea apo Bungeni, huyu ni Rais wa Pili wa Kenya kuhutubia Bunge la JMT wa kwanza alikuwa Moi.
Indonesia
3
11
118
2.5K
Nape Moses Nnauye
Nape Moses Nnauye@Nnauye_Nape·
Usifikiri akili itakusaidia kila mahali, kuna wakati hata ujinga unaweza kuwa msaada!
Nape Moses Nnauye tweet media
Indonesia
171
45
558
30.2K
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@HildaNewton21 @lifeofmshaba Kama hizi taarifa ni kweli basi Mimi nahisi wameamua kupita nae Ili kutunza Siri mana watu wanavisasi vya wivu wa mapenzi
Indonesia
0
0
1
1.6K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Nini kaendelea huko Zanzibar maana kuna Mlinzi wa Idd Ami Mama Mama wale wa (PSU) Presidential Security Unit, kajipiga risasi leo mchana huko Kizimkazi Zanzibar kwenye makazi ya Idd Amin Mama. Mliuwa Watanganyika wenzetu kwa risasi Oktoba 29, 2025 sasa hivi mmeanza kujiuwa wenyewe kwa kujipiga risasi na bado.
Filipino
41
140
1.2K
97.2K
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@MariaSTsehai Wanajeshi wa Malawi ukitaka kujua nguvu Yao ipo wapi basi wakukute umevaa sare zao ndo utajua hujui ila kwenye nchi zingizine kwenye hii inshu ya utekaji, ufiraji, na kukata watu vichwa ilikuwa sababu tosha Kwa jeshi kuchukua nafasi ya kulimaliza hili swala
Indonesia
0
0
0
36
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Nimechoka! Nimechoka kuona #WenyeNchiWananchi tunashindwa kutambua kuwa mamlaka YOTE inatoka kwetu Nimechoka kuona kila msomi serikalini anataka aufyate maisha yake yaende huku wananitumia DM malalamiko Nimechoka kuona vijana wanatekwa na kuuwawa ili genge dogo litawale Nimechoka kupata DM za wanajeshi wanataka niwasemee huku wakiangalia ndugu zao wanauwawa ndani ya nchi Niambieni kwa nini nisichoke? 😓
Filipino
27
100
383
10.2K
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@TheRuthless0 @Roma_Mkatoliki 😂😂😂 isee me mambo ya kutekana hapana me napenda kama kile kipindi Cha makinda na lisu wanabisha Kwa hoja na kanuni now sijui hili taifa linaenda wapi
Indonesia
0
0
0
50
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@SuluhuSamia Asante mama Hela yangu ya tumbaku niliyouza mwaka Jana mwezi wa 5 nimelipwa Jana ila mama kwenye swala la malipo ya wakulima wa tumbaku naomba mlichunguze upya kama wao wakicheleweshewa malipo ya makandarasi wanalipwa Kwa liba basi na sisi iwe hivyo
Indonesia
0
0
0
65
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Leo, Ikulu jijini Dar es Salaam, nimempokea Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame, aliyewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Tanzania na Rwanda si tu ndugu na majirani, bali pia ni washirika wa kimkakati wenye uhusiano unaoendelea kukua kwa kasi. Takribani asilimia 70 ya shehena ya Rwanda inapitia katika bandari za Tanzania. Biashara kati ya nchi zetu mbili imefikia shilingi bilioni 644 mwaka 2025, na uwekezaji kutoka pande zote mbili unaendelea kuchochea ajira na ukuaji wa uchumi kwa wananchi wetu. Katika mazungumzo yetu, tumekubaliana kuongeza kasi ya ushirikiano kwa kuondoa vikwazo visivyo vya kikodi, kuimarisha biashara na uwekezaji, na kuwekeza zaidi katika miundombinu ya usafiri na usafirishaji, mawasiliano, pamoja na nishati ya uhakika. Aidha, tutaimarisha ushirikiano katika masuala ya ulinzi, usalama na ajenda za kikanda na kimataifa. Karibu tena Tanzania, Mheshimiwa Rais.
Samia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet media
Indonesia
219
756
3.1K
153.1K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Meneja wa Klabu ya Yanga Walter Harrison siku mbili hizi ni mbaya kwake na huenda akapewa adhabu na Bodi ya ligi kuu Tanzania Bara. Siku moja kabla ya Mchezo dhidi ya Simba alimtukana vibaya mchambuzi wa Michezo Jemedari Said aliyemkosoa baada ya kusambaa kwa video akisema Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo haupaswi kutumika kwani una matope. Leo wakati mechi inaendelea amemsukuma vibaya Kiungo Mshambuliaji wa Simba SC Clatous Chama lakini Mwamuzi hakuona na badala yake kadi ya njano akaoneshwa Kocha mkuu.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
21
2
177
18.8K
Nguruka 1 retweetledi
BANGALA
BANGALA@krisBangala·
Usiseme Kitu We Chapa Retweet Kwa Meneja Wetu Kiboko Ya Wachambuzi Na Simba Yote 😂
BANGALA tweet media
Indonesia
24
95
813
15.7K
Nguruka 1
Nguruka 1@B11713Nchie·
@McJames95298505 @HildaNewton21 Kuna mtu anaitwa profesa kabudi ivi uprofesa unakuja tu? Mtu mpaka kufikia hatua yakuitwa doctor lameki ivi u doctor unakuja tuu!!? Sema tu hii nchi ingewekwa Sheria yakunyonga mafisadi
Indonesia
0
0
0
7
McChainiz
McChainiz@McJames95298505·
@B11713Nchie @HildaNewton21 unajua maana ya msomi ndugu? kwenda shule hakukupi sifa ya kuwa msomi bali kuelimika kwako ni pamoja na kuweza kukifanyia kazi kile ulichojifunza ndo hukupa sifa ya kuwa msomi. wapo wengi wameenda shule & wana vyeti kabsa, ila ata kuandika barua hawawezi. utamuitaje msomi?
Indonesia
1
1
2
38
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Nduli Idd Amin Mama yeye kasoma degree ya mambo mbalimbali huko Pakistan. Sasa angalieni CV ya huyu kilaza mwenzake aliyemteuwa kuwa Naibu Waziri haram wa ajira, hivi kweli huyu anastahili Uwaziri achilia mbali hata Udiwani? Waziri haram anacertificate 3 na zote ni za online halafu vyuo vyote alivovitaja kwenye CV yake hata ukiingia google kuvitafuta havipo isipokuwa kimoja tu maana yake yuko na Certificate za kununua pale Karikakoo kwa Machinga wa vyeti vya Taalum.😂 Kwamba Waziri haram mwenye certificate za mchongo ndio ataongoza wizara ya ajira? Mtu kama huyu atamsaidiaje kijana mwenye degree ambaye yuko mtaani hana ajira? Waziri gani ana udaktari wa mchongo ule wa kununua kama ule wa Babu Tale? Nduli Idd Amin Mama kaamua kujaza vilaza wenzake ndani ya Serikalini haram maana hapendi kabisa maana watu wenye akili maana anajua watamchallenge. Anapenda vilaza wenye elimu mbalimbali kama yeye ili awaburuze halafu hapa mtegemee nchi itasonga mbele.🚮🚮🚮🚮
Hilda Newton tweet media
Indonesia
39
76
321
24.2K