Mshua_G27

1.6K posts

Mshua_G27 banner
Mshua_G27

Mshua_G27

@Baba_G27

Botswana Katılım Temmuz 2023
381 Takip Edilen88 Takipçiler
Mshua_G27
Mshua_G27@Baba_G27·
@Bigsyke20 Fanya mambo Yako Usipangie watu Cha kufanya Jifunze kubalance shobo
Indonesia
1
0
1
32
Big Psycho
Big Psycho@Bigsyke20·
Nawashangaa sana vijana wanashupaza shingo kwamba betting ni kazi, vijana acheni ujinga huo fanyeni kazi zinazoeleweka hata kama kipato ni kidogo acheni tamaa ya kuwaza vitu vikubwa matokeo yake ndio kama hayo unajikuta hata hicho kidogo ulichonacho unakipoteza.
Big Psycho tweet media
हिन्दी
67
24
202
17.1K
Mshua_G27
Mshua_G27@Baba_G27·
@Samalentips @AthanasBenson Punguza shobo mtoto wa kiume utapakatwa Andaa odds zako na wewe ushinde hata odds 90 maana jamaa ku win odds 600 imekuuma Sana
Filipino
0
0
0
36
Samalen Tips🤴🫆
Samalen Tips🤴🫆@Samalentips·
Leo ndio nimeamini ulishindaje milioni 100 🤣🤣 odds zako za kubahatisha sana yani huna tofauti na wale majamaa wanaobet mia washinde milioni 100 haufanyi uchambuzi unatembelea upepo na bahati alafu ndio ulikuwa unawasema wengine 🤣🤣
Samalen Tips🤴🫆 tweet media
Done Somen@DoneSome18

6X9HXB

54
5
86
21.9K
Mshua_G27
Mshua_G27@Baba_G27·
@Samalentips Onyesha hata odds 100 tu ulizoshinda mwaka huu Kama wewe mwamba Tatzo mnaumia Sana na maana Kila mtu achambue anavyoweza Betting yenyewe unaweza kuchambua Sana Bado ukadondokea pua Bahatisha na wewe hata odds 200 kama ni bahat rahisi hivyo Mmekuwa kama majinga
Indonesia
0
0
1
23
GABBY
GABBY@IamGabby_01·
@hereisjames98_ @Samalentips Jamaa katoka code ngapi? Na iliyoboom moja 😅😅. Mimi huwa na boom sema mikeka yangu midogo na stake za kawaida tu
Indonesia
3
0
0
167
BOOMLUCK⚽️🏀
BOOMLUCK⚽️🏀@Boomluck1zz·
2/3 correct scores Booooooooooooommmmmmm 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Congratulations to everyone who staked 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 90 odds multiple scores boom too 🔥❤️ We deserved it ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Drop those winning tickets in the comments ❤️ Wolves is a chameleon 😢💔 We go again tomorrow ❤️❤️❤️❤️❤️
BOOMLUCK⚽️🏀 tweet media
BOOMLUCK⚽️🏀@Boomluck1zz

Napoli 🇮🇹 2:1 Torino 🇮🇹 Wolves 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 1:2 Liverpool 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Celta 🇪🇸 1:2 Real Madrid 🇪🇸

English
179
148
1.7K
162.6K
Benda_Nascimento
Benda_Nascimento@BendaNasciment1·
@Sativa255 Kwa hasira nilizonazo juu ya vile ultrech ameninyima mabati mtu aki diss betting naweza mtomba na maji ya betri mkunduni 😡
Indonesia
2
0
10
3.4K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Ulivyo KAKUMA sasa Umesubiri game za leo zote zimeisha unakuja na kikomenti chako kuonyesha CHUKI ZAKO. Kwa taarifa yako odds 38 (KIBERENGE) zimetoboa game zote kesho tunaendelea na safari. Huo mkeka uliochana games tatu kamuulize anaekuuzia mikeka sio mimi. Mimi na wanangu KIBERENGE kipo nduki na tumepiga odds 5+ usiku huu. IKIUMA CHOMOA KISHA NUSA KUMA LA MAMA YAKO.
SATIVA tweet media
Dr Mengi 🇰🇪🇹🇿@ReganKimaro14

@Sativa255 Code imetoka na umeshachanika timu3

Indonesia
44
13
239
51.4K
PAULHO
PAULHO@mwinamilapaul2·
@DaimuManafi Karatu mwaka gani ulikuwepo mkuu, uboyizi kwa mzee wa degree sana
Filipino
4
0
2
3K
Babangida
Babangida@DaimuManafi·
Zamani kulikuwaga na ma T.O halafu kulikuwa na Elias Kihombo. T.O wa 2006 ambaye alikacha chuo na kugeuka kuwa mwalimu wa Tuition Physics na Chemistry wa shule kubwa Tanzania. Ziara yake mashuleni ilikuwa ni kama Waziri wa Elimu, madarasa yalikuwa yanafurika mpaka hakuna nafasi ya kukaa ili wanafunzi wapate mapindi. Anakumbukwa kwa lugha yake ya ucheshi wakati wote iliyojaa ujivuni, akipenda kuwaita wanafunzi "Nyumbu" na kusolve maswali kwa njia nyingi na rahisi hadi za wale aliokuwa akiwaita Manyumbu wasioelewa 😃😃 Mimi nilikuwa mmoja wa wanafunzi wake pale Karatu Boys nilikuwa Nyumbu wa Chemistry. Taarifa zinasema akifariki mwaka 2020 kwa maradhi. Rest in Peace Kihombo.
Babangida tweet mediaBabangida tweet media
Filipino
121
111
1.1K
95.3K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Kuna watu WANAPOTOSHA kuhusu “GOLI LA MAMA”. Hata kama kwa sasa DAR ina UKOSEFU WA MAJI, Serikali HAIWEZI kutumia PESA ZA “GOLI LA MAMA” kutatua TATIZO hilo, kwa sababu, kwa sasa KIPAUMBELE ni Tanzania ipate UBINGWA WA AFCON
Peter Madeleka tweet media
Filipino
24
11
157
6.5K
Mshua_G27
Mshua_G27@Baba_G27·
@Abuuammaar2020 @Advocate_Jebra Utumie Akili siku moja Moja We nae ukaamini hizo story Haya zinaendeleaje hizo propaganda Sasa Make sure your brain and your mouth are connected
Filipino
0
0
1
126
Kurega
Kurega@Abuuammaar2020·
@Advocate_Jebra Kabla ya hizo Alert zao watueleze nini kunaendelea kwa mwanajeshi wao aliyeingia na Mabomu Tz
HT
3
0
4
2.5K
Dau Tips
Dau Tips@ForeverDau·
Another weekend to give it another shot. Shall we?.. 🤲
English
3
1
36
3.9K
MIRIAM💜
MIRIAM💜@MiriamMkanaka·
Hebu muwekeni kwenye jua masaa 4 atasema nani kamtuma 🚶🏻‍♀️
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz

Askofu wa Kanisa la Matendo Makuu ya Mungu nchini Tanzania kutoka Ushirika wa Wachungaji wa Kipentekoste, Askofu Pius Ikongo, amesema Kanisa Katoliki nchini Tanzania chini ya Baraza la Maaskofu TEC, wanahusika na uratibu na ufadhili wa ghasia na uvunjifu wa amani uliojitokeza wakati na baada ya uchaguzi Mkuu wa Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Askofu Ikongo amebainisha hayo alipozungumza na Watanzania kupitia Vyombo vya habari Mkoani Kilimanjaro siku chache baada ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki kutoa waraka wao, waraka ambao Baba Askofu Ikongo anasema umedhihirisha mahusiano ya TEC na uvunjifu huo wa amani wanaouita maandamano. "Mnayaita maandamano lakini sisi hatutambui kama yalikuwa maandamano na nyie mmehusika kuratibu na kusimama yaliyotokea Oktoba 29, kwa asilimia 90 na kumi iliyobaki ni ya wanasiasa wakiwemo wa Chadema na Waraka wenu unathibitisha wazi kuwa kilichofanyika Oktoba 29 kilikuwa ni maelekezi yenu ninyi Maaskofu 41." Amesisitiza Askofu Ikongo. Aidha katika msisitizo wake, Baba Askofu Ikongo ameitaka TEC kuliomba radhi Taifa la Tanzania, akisema anaamini kuwa Rais Samia Suluhu Hassan na Watanzania kwa ujumla watawasamehe Maaskofu hao, akisema Mungu ameshafichua maovu yao na hivyo ni muhimu kuomba radhi. "Tumeshajua adui yetu ni ninyi TEC, Mmeratibu vurugu hizi kwa njia nyingi na mmekiri na kudanganya umma kuwa yale yalikuwa maandamano na zipo taarifa kuwa wapo Vijana kutoka nje ya nchi waliokuwa wamefichwa kwenye majengo yenu." Amesema Askofu huyo. Katika hatua nyingine, ameitaka TEC kuwaeleza Watanzania ikiwa kwenye yaliyotokea yalikuwa maandamano, akiwataka wale wote wenye ushahidi wa Video za maandamano kuzitoa hadharani, nje ya Video na picha mnato za uhalifu, wizi na uharibifu wa mali za umma na za watu binafsi ikiwemo magari na vitega uchumi.

Indonesia
80
45
479
27.5K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Kitendo cha viongozi wa Chadema kina Heche nawezake kuachiwa kama njia ya kuelekea kwenye Maridhiano, Sipati picha wale wahalifu wa nchi kina Mange na Maria huko watakuwa na hali gani, maana biashara ya damu za Watz imekufa rasmi…. wataanza kuwatukana wenzao wa Chadema soon kwamba wamelamba asali kama kawaida ya matusi yao. Hongera Heche kwakulitanguliza taifa kwanza!
Indonesia
403
8
151
101.9K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Recently Wengi wakienda India Kutibiwa Hawarudi!!🤔 Juu Kwa Juu 💔 Unarudi Mwili Tu!!
Indonesia
44
99
1.6K
50.1K
Mshua_G27
Mshua_G27@Baba_G27·
@ze_mandevu Kuna yule kabeba secretary wake kaweka ndan chap mwez mmoja tu kaweka ndan wakale mshahara aliomlipa
Indonesia
0
1
17
2.7K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Chief Godlove hata week halijaisha toka amsaidie huyu msanii wake, sahivi wameanza kuvaa sale.!😂
The mandevu tweet media
Suomi
85
54
1.2K
43.5K
Dr. Eng. Issakwisya Mwaipyna (PHD)🐷
@Chahali Kwa njia nyingine polepole anavuna alicho asisi. Ni kweli kabisa mfumo huu wa ugandamizaji hasa wa wapinzani uliimarishwa wakati wa JPM na aliapa kufika 2020 ataumaliza upinzani. Tulishudia kuuawa kupotezwa pia kuuawa na kupotezwa. Maana yake kama jpm angekuwa hai polepole
Indonesia
3
0
4
1.7K
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Sufiani Juma, Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la TAA, anatakiwa ashtakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi Sept 5, 2025 alimwajiri binti huyu kama Katibu Mukhtasi wake Mwezi mmoja baadae akamuoa bila kufikiria juu ya ustawi wa miti yetu nchini What a selfish
Fortunatus Buyobe tweet mediaFortunatus Buyobe tweet mediaFortunatus Buyobe tweet media
Indonesia
160
94
960
72.5K