Dibbo. retweetledi

Jamhuri ni nani?
Kwanini huyu mtu asiye na hatia anashikiliwa
Ni Mtanganyika mzalendo yupi ananufaika na huyu kuwekwa ndani?
Sidhani km Kuna Mtanganyika mzalendo ananufaika.
#Free_Him
#he_is_inocent

Filipino
Dibbo.
4.8K posts






JUST IN: 🇨🇺🇺🇸 Cuba to pardon over 2,000 prisoners due to pressure from the United States.

Nawakumbusha tu kwamba lile kontena la silaha za kivita ambalo Abdul aliingiza nchini wiki kadhaa kabla ya Maandamano ya Oktoba 29. Mtu ambae alimsaidia kununua izo silaha ni huyu Angela Kizigha maana kampuni yake ndo iko na tenda kusupply silaha Jeshini. Idd Amin Mama kampa zawadi ya Ubunge Angela ambae ni shost ake baada ya silaha alizoleta yeye na Abdul kuuwa Watanganyika zaidi ya elfu kumi Oktoba 29.







