Mturi, C. ✨

11K posts

Mturi, C. ✨ banner
Mturi, C. ✨

Mturi, C. ✨

@ChachaWegelo

Always student || Simba & Liverpool Fan || Politics for Life||Master of my fate+Captain of my thoughts. Addicted to success 😎

Dodoma,Tanzania Katılım Ağustos 2021
2K Takip Edilen1.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Mturi, C. ✨
Mturi, C. ✨@ChachaWegelo·
Leo nimetunukiwa Shahada ya awali ya Udaktari binadamu kutoka UDSM-@UdsmOfficial. Nikiianza safari yangu kama daktari, haki na afya za Watanzania vitabaki kipaumbele changu. Shukrani kwa kodi na rasilimali zenu—hakika mnanidai.
Mturi, C. ✨ tweet media
Indonesia
27
25
153
8.6K
Mturi, C. ✨
Mturi, C. ✨@ChachaWegelo·
Fresh Medical Doctor ..... Tsh 10M on the table, afanye kipi kujikwamua kiuchumi???
HT
10
0
44
3.4K
Kaka mkubwa
Kaka mkubwa@sapro_phyticus4·
ukivaa hivi huku kwetu lazima watu wajue uyole moja,ila hii ya Ronaldo ni brand.
Kaka mkubwa tweet media
Indonesia
32
28
317
13.9K
Christian Bwaya
Christian Bwaya@bwaya·
@k_mjege Hata mengi tunayofundisha na kuchapisha sisi walimu hatuyaishi wala hatuyaamini kabisa. Inakatisha tamaa sana.
Indonesia
2
0
3
338
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿
Ushauri karibu wote wanaotupa madaktari—ukiwemo ule mwingine—na wao baadhi hawaufuati kabisa. Inakatisha tamaa sana
Indonesia
3
4
21
2.8K
Gisiggo
Gisiggo@Gisiggo·
@ChachaWegelo Atafute eneo alime ndizi, miaka 3unaanza kupiga pesa.
Italiano
2
0
2
243
silencerR
silencerR@XMusk04·
@ChachaWegelo Fungua duka la dawa dogo tu then unakua mdg mdg may be unaweza otea bingo ukafungua kubwa zaid
Indonesia
1
0
4
282
Mturi, C. ✨
Mturi, C. ✨@ChachaWegelo·
@malcovx 🙌🙌 Kwamba kuna mtu hii dunia anapenda stess?
Indonesia
1
0
0
46
Mturi, C. ✨
Mturi, C. ✨@ChachaWegelo·
@Isayadicksonjr Kinachotuumiza ni kuwa elimu ni ghari sana, tunatumia muda mwingi then tukirudi mtaani tunakuwa hatuna say 🤣 Unless uwe umetokea familia ya kifalme
Filipino
0
0
1
125
Mturi, C. ✨
Mturi, C. ✨@ChachaWegelo·
@kalegamyeh Hahahahah..... Hapa natafuta mtaji huku tamisemi niingie mtaani kupambana .....
Filipino
2
1
2
661
Dr. Kala. MD
Dr. Kala. MD@kalegamyeh·
Kama umetoka familia ya kimaskini. Ushapiga MD yako na MMED. Sasa hivi unatafuta gape ukapige fellowship kabisa ili uwe mbobevu ukidhani kwamba ndio utatoboa, Nina habari mbaya sana kwako. Hiyo miaka yote unayoitumia kusoma, ipo siku utaikumbuka na utalia kilio cha kusaga meno. By the time unakimbia kimbia na hiyo paediatric car yako ufungue kijiwe chako cha ujarisiriamali, miaka 60 hii hapa.😂
Filipino
22
15
162
5K
Dr. Mlaluko, MD
Dr. Mlaluko, MD@drmlalukoMD·
Kati ya kitu kigumu kuficha ni UJINGA...
Indonesia
4
2
20
618
Mturi, C. ✨
Mturi, C. ✨@ChachaWegelo·
Bei ya nyanya moja pale London si ajabu ikawa hata TSH 2000, lakini ukija iringa kwa 2000 unapata sado la nyanya ..... Hii haimanishi kuwa iringa wapo vuzuri kiuchumi kuliko London . Mpeni elimu bi mdashi 😁
Indonesia
0
1
8
302
Doctor Strange
Doctor Strange@DrStrangejm·
Sisi kama jamii tuchukulie hatua kali wote ambao hawasomeshi watoto.. Unaacha kusomesha mtoto??what if huko mbele ikatokea bahati mbaya akawa rais..?
Filipino
96
129
878
23.1K
Muuza viatu🌹
Muuza viatu🌹@Agnesskanje·
Kuna watu kutongoza hawajui wanaenda straight sana, na Wengine wana maneno mazuri sana na huwezi kujutia hata ukimpa namba. Wastaarabu, wapole hana haraka na kabisa😀
Indonesia
50
20
367
26.2K