Gisiggo

10.8K posts

Gisiggo banner
Gisiggo

Gisiggo

@Gisiggo

Health data analyst|| Sharing insights on hospital analytics & service improvement|| NCDs & health insurance|| Prompt engineer|| #Excel #SQL #Tableau #Power BI

🇹🇿x🇰🇪 Katılım Şubat 2020
1.9K Takip Edilen928 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Gisiggo
Gisiggo@Gisiggo·
Today I’m narrowing my focus to: ✅️ Hospital Data Analysis ✅️ Non-Communicable Diseases ✅️ Health Insurance Hospitals need more than daktari. They need insights from their data. ✅️ I help facilities reduce claim cut-offs, understand patient trends & improve efficiency.
English
1
0
0
48
Gisiggo
Gisiggo@Gisiggo·
@Isayadicksonjr Kachukue maarifa ya kujiajiri kwa Dr. Mwandolela kulw hemeda.
Indonesia
0
0
0
122
Dr Mwakalebela
Dr Mwakalebela@Isayadicksonjr·
@Gisiggo Hapana, apo lazima uniongeze daktari uwe Poly-Vijiwe … Na issue ya kujiajiri kwenye uga wetu huwa ni ngumu sana …
Indonesia
1
0
0
96
Gisiggo
Gisiggo@Gisiggo·
@anthypocrisy19 @Isayadicksonjr Yeah sure, watu wanaolipwa pesa mingi naoweza thibitisha ni wale wako bima za private, wanao practice wanaeza piga ndefu ila uwe mtu kazi kwelikweli.
Filipino
1
1
1
45
Gisiggo retweetledi
Optimizer
Optimizer@anthypocrisy19·
@Gisiggo @Isayadicksonjr Kijana unachekesha,kama ilivo tu biashara watu wanakunja zaidi ya 100M per month,huku mi na wewe tukiwa mawinga,hata kwenye professional game lipo hivo hivo,acha kuwasikiliza watu walioshindwa kufikia malengo wamebaki kua hater mtandaoni
Indonesia
1
1
0
39
Gisiggo retweetledi
Optimizer
Optimizer@anthypocrisy19·
@Isayadicksonjr @Gisiggo Even in Business wakina Vunja bei,walianza kua watumishi wa Umma,Nguo, pharmacy Sasa real estate etc,sio dhambi kwa kijana Kuanzia,CO,MD,MMED,MSc,fellowship etc,......hakuna kitu rahisi hata lake oil walikua hawauzi gesi miaka 15 iliopita,pia hatukua na azam TV 2008
Indonesia
1
1
0
34
Optimizer
Optimizer@anthypocrisy19·
@Gisiggo @Isayadicksonjr Wapo wanaopata mara 3 ya hio tena serikalini tu,....unajua ukiwa na maarifa duni ama ukiwa masikini kuna ile hali ya kudhani Kila mtu yupo/ana struggle kama wewe,ongezea maarifa,ongeza knowledge ,ongeza skills kijana hadi leo national hospital hamna rheumatologist
Indonesia
2
1
0
63
Gisiggo
Gisiggo@Gisiggo·
@ChachaWegelo Atafute eneo alime ndizi, miaka 3unaanza kupiga pesa.
Italiano
2
0
2
240
Mturi, C. ✨
Mturi, C. ✨@ChachaWegelo·
Fresh Medical Doctor ..... Tsh 10M on the table, afanye kipi kujikwamua kiuchumi???
HT
10
0
44
3.4K
Gisiggo retweetledi
James Munisi
James Munisi@NjiwaFLow·
💨 SAMSUNG USED 🔥 (Hizi ni za uhakika 100% hazitokusumbua kabisa✅) ▪️S20 FE (6+128) - 350K ▪️S21 FE (6+128) - 370K ▪️S21 (8+128) - 470K ▪️S21+ (8+128) - 500K ▪️S22 (8+256) - 550K ▪️S22+ (8+128) - 600K ▪️S23 (8+256) - 780K 📍Dar: KKKT Kariakoo @Njiwa_Store 📞 0745100757 wa.me/+255745100757
James Munisi tweet media
2
46
81
5.3K
Dr. Kala. MD
Dr. Kala. MD@kalegamyeh·
Kama umetoka familia ya kimaskini. Ushapiga MD yako na MMED. Sasa hivi unatafuta gape ukapige fellowship kabisa ili uwe mbobevu ukidhani kwamba ndio utatoboa, Nina habari mbaya sana kwako. Hiyo miaka yote unayoitumia kusoma, ipo siku utaikumbuka na utalia kilio cha kusaga meno. By the time unakimbia kimbia na hiyo paediatric car yako ufungue kijiwe chako cha ujarisiriamali, miaka 60 hii hapa.😂
Filipino
22
15
162
5K
Gisiggo
Gisiggo@Gisiggo·
@Isayadicksonjr Elimu ya afya na imani na ujuaji (kwenye imani hapa kunae prof namjua amewahi enda uganga kisa arthritis)
Indonesia
1
0
0
37
Dr Mwakalebela
Dr Mwakalebela@Isayadicksonjr·
Jamii yetu inahitaji elimu kubwa sana, sijui ni umaskini au maswala ya imani.. Unauziwaje dawa na wanakwambia inatibu magonjwa yote, yaani inaua Virus , bacteria, fungus , saratani etc .. Na bado unanunua how ??
Indonesia
2
1
2
259
Gisiggo
Gisiggo@Gisiggo·
@Mwinshehe07 @Gaspinho15 Nimeshangaa sana, mimi huwa naamini tofauti zetu kama tumeshondwa zisolve ziendelee ila mtu akipatwa na tatizo asisite kututafuta maana hata mimi nitamtafuta nikiwa na issue na hakuna wakuisolve zaidi yake.
Filipino
0
0
0
50
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Kuna mtu anasherekea kifo cha Mama mdogo wake ambae alimkosea miaka 21 iliyopita 🙌
Indonesia
102
88
545
61.1K
Gisiggo
Gisiggo@Gisiggo·
@Isayadicksonjr 2020 TOF=tetralogy of fallot (cardic) vs tip of finger (labour) ilileta kizaazaa. All in all watu waache kugoogle, nenda hosii ukiona huelewi na waulize pale wanapokuwa hawaelewi.
Indonesia
0
0
0
23
Gisiggo
Gisiggo@Gisiggo·
@here_isjackson @prossoff We jamaa wewe, me wangu hawezi kuvaa nguo nyingine zaidi ya suruali na hayo ni maamuzi yangu na aliyaheshimu.
Indonesia
0
0
0
13
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Ladies Ten common Redflag i. Kuomba pesa hovyo. ii. Kuwa busy na simu unapokuwa nae. iii. Uvivu, urafi, uzembe na uchafu. iv. Outings, Clubing na Fashions. v. Kuwa desperate na mitandao. vi. Ujuaji mwingi. vii. Kukosa aibu. viii. Kuvaa na kuacha maungo wazi. ix. Tatoo na kujitoboa mapua, kitovu na sikio zaidi ya mara moja. x. Kumtaja sana Mama katika kila kitu.
13
32
198
8.6K
Gisiggo
Gisiggo@Gisiggo·
@ChachaWegelo Udaktari wa kizamani huo, wa kisasa unasikiliza na kumwelewesha pt wako sio kumuona mjuaji kaka.
Filipino
1
0
1
45
Mturi, C. ✨
Mturi, C. ✨@ChachaWegelo·
Ndugu wagonjwa tunajua mnatumia google punguzeni ujuaji mnapopata bahati ya kuonana na daktari..... Asanteni.
Indonesia
11
6
65
4.9K