Montezuma

15.7K posts

Montezuma banner
Montezuma

Montezuma

@ChiefMontezuma

If a law is unjust a man is not only right to disobey it he is obliged to do so.

songea Katılım Temmuz 2019
1.5K Takip Edilen1.3K Takipçiler
Montezuma retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Hata niwe na usingizi kiasi gani, nikiona tweet au picha ya Tundu Lissu kazi yangu ni moja tu: REPOST!!
Tito Magoti tweet media
Indonesia
13
153
683
3.9K
Montezuma
Montezuma@ChiefMontezuma·
@Hombyjr1 Open university ni elimu ya NGUMBARU.
Indonesia
1
0
0
180
Homby 🇹🇿
Homby 🇹🇿@Hombyjr1·
We ulisikia wapi waziri wa elimu amesoma Open university, open university ni watu wenye maksi chache, yan hata Njombe college hawezi chukuliwa.😂
Indonesia
13
12
225
7.6K
Jabulani Radio
Jabulani Radio@JabulaniRadio·
Brenda Fassie At The Shoot For Her album “Gimme Some Volume.” She was beautiful both physically and vocally🇿🇦🇿🇦💕🩷🎹🎵🎵🎶 Say something you remember about her.
Jabulani Radio tweet media
English
1
0
4
38
Kiko
Kiko@donraykiko·
@joeselasini @kijitu20 Nyerere alitusaidia sana aseee. Je tungekuwa tunazungumza kingereza???
Indonesia
2
0
5
662
Mamwavi_Nkabasia
Mamwavi_Nkabasia@joeselasini·
Hii hesabu ngumu sana. Wataalam naomba msaada wenu.
Indonesia
131
111
596
93.3K
Montezuma
Montezuma@ChiefMontezuma·
@joeselasini Astaghafirullah. Mwenyezi mungu atuepushe na kadhia hii.
HT
0
0
1
19
Montezuma
Montezuma@ChiefMontezuma·
@ufntc Jamani hii aibu haibebeki! Hivi ni nani anatulazimisha kuwa na binadamu wa aina hii ikulu??
Indonesia
0
0
0
5
Samalen Tips🤴🫆
Samalen Tips🤴🫆@Samalentips·
Petrol inaweza pia kupimwa kwa tani, gerson hakukosea acheni kuzusha uongo sio kila kitu ni cha kukosoa !!
Indonesia
47
1
48
10.2K
Montezuma
Montezuma@ChiefMontezuma·
@vicensiashule These are untrainables. Ni mabumunda haya hayafundishiki. Shule yameshindwa yenyewe siyo kwa kukosa nafasi.
Filipino
0
0
1
96
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Kumbe alitamba kabisa akasema amesharekebisha na kuwaambia wanahabari wanaandika dola 600 kwa 800
Indonesia
34
67
509
26.5K
Montezuma
Montezuma@ChiefMontezuma·
@Happinesmlay Haiwezijani kwa sababu mawaziri wanateuliwa kutoka bungeni, na sifa ya wabunge ni kujua kusoma na kuandika kiswahili. Huwezi kupata wasomi humo.
Indonesia
0
0
0
285
HAPPNES MLAY
HAPPNES MLAY@Happinesmlay·
Hivi haiwezekani waziri kuwa msomi kuendana na wizara anayopewa jamani mbona hii nchi ina wasomi wengi tu? Mfano: waziri wa afya awe amesoma vizuri mambo ya afya na asiwe mbunge🤔
Indonesia
31
25
318
10.4K
Montezuma
Montezuma@ChiefMontezuma·
@AlexSamoja Huyu m'bunge anayecheka chini kwa chini achukuliwe hatua.
Indonesia
1
0
3
499
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Huyu jamaa sjui ni mbunge wa CCM anacheka kimoyo moyo, Wanu akijikanyaga kuhusu akili mnemba AI huyu anahujumu juhudi za mama 🤣🤣
Sekenke One 🌻 tweet media
Indonesia
15
11
187
9.3K
Montezuma
Montezuma@ChiefMontezuma·
@MzeeFumbuaMacho Na ule mstari unaosema "wabariki viongozi wetu" katika wimbo wa taifa uondolewe mara moja. Mimi sipo tayari kuimbishwa wimbo huu!
Indonesia
1
0
1
39
Bishop Mpemba, MzeeFumbuaMacho
Bishop Mpemba, MzeeFumbuaMacho@MzeeFumbuaMacho·
ETI TUWAOMBEE??? Tuwaombee nani? Hawa wenye makundi ya UFIRAJI na UUAJI nchini? Hawa wanaopoteza WATANGANYIKA? Tuwaombee ili iweje? Wameombewa kwa miaka 64 ya uhuru wakaishia kuwaua WATANGANYIKA. Sifanyagi mambo ya hasara kama hayo. PUMBAVUUUU 😤 😤
Indonesia
5
38
126
1.6K
Montezuma
Montezuma@ChiefMontezuma·
@Sativa2555 Waziri wa elimu ya Tanganyika. Nyerere apigwe viboko huko aliko.
Filipino
1
0
0
32
SATIVA17 X ( TWEETS)
SATIVA17 X ( TWEETS)@Sativa2555·
Kama Kuna mahali Mungu tulimkosea tuna haja ya kutubu na kujipaka majivu Yanu huyu ndio Waziri wa elimu ya Tanzania Repost 350
Indonesia
4
11
48
1.8K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Huyu ni mtoto wa Idd Amin Mama, Yani hata kusoma tu kilichoandikwa kwenye karatasi aliyoshika anashindwa.😂😂😂😂 Wataalam wanasema asilimia kubwa Watoto hurithi akili kutoka kwa Mama zao ila mama akiwa kilaza, Watoto ndo inakua balaa na nusu Sasa mwangalie huyu, angalia akili za Abdul na maujinga anayofanya then linganisha na za Idd Amin Mama utagundua ni mule mule.
Filipino
71
87
585
51.3K
Montezuma
Montezuma@ChiefMontezuma·
@Happinesmlay Itakuwa ndiyo sisi wenyewe kabisa. Siyo kwa laana hii. Mtu kaandikiwa hotuba na wakurugenzi wa wizara - hata kuisoma hawezi, daaaaaah!
Indonesia
0
0
0
85
HAPPNES MLAY
HAPPNES MLAY@Happinesmlay·
Imagine huyu ni waziri wa elimu huko nchini Malawi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔🚮kweli hapa Mungu ametupa kilema akatunyima na mwendo
Filipino
158
128
872
82.7K
Janeth Rithe Kitima
Janeth Rithe Kitima@JaneRithe·
Mama @SuluhuSamia nadhani uwe unafanya mazoezi ndani kabla hujaja nje mie naona aibu au basi unaweza KUENDELEA how are you!!
Indonesia
2
2
29
946