Chiggs
61.8K posts






One African, a single individual through his private entity, solves 40% of foreign exchange pressure of one of the top 3 African economies? I kindly recommend The AU @_AfricanUnion to award Aliko Dangote @AlikoDangote a fitting recognition, The Order of Kilimanjaro? The Order of The Atlas?



You do not sign trillion dollar energy deals because social media is excited for 48 hours. You negotiate!



The biggest lesson here is simple A country with LNG potential, EACOP leverage, strategic ports and regional logistics access should negotiate from confidence not desperation. That does not mean rejecting investors. It means understanding your geopolitical value before signing longterm agreements.





CHADEMA hatutapangiwa na Serikali ni kipi cha kuisema Serikali ya CCM. CHADEMA sio vyama vya Project au vile vyama 12. CHADEMA nyeupe itasemwa nyeupe na nyeusi ni nyeusi. CHADEMA hatuta inama kulamba viyatu vya CCM kufunika maovu yao. CHADEMA ni sauti ya Watanzania✌️









Zama za Ofisi ya Msajili wa Vyama kuwa mchezaji namba 12 wa CCM FC zimekwisha. Dola isome alama za nyakati. The writing is on the walls! Msajili STOP THIS NONSENSE ya kutaka kufuta CHADEMA. Utafutwa wewe, No doubt about this! Tume ya Chande iliyoundwa na Rais imetoa Taarifa inayosema wananchi wanailalamikia Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kutokutenda haki kwenye kusimamia shughuli za vyama vya Siasa. Badala ya Msajili kuchutama, kuwajibika na kubadilika anarudia makosa yaleyale yaliyopelekea mauaji yaliyoanza Oktoba 29. Msajili anajua, Watanzania wanajua na Dunia inajua kuwa Kuna ushahidi wa kutosha wa CCM kufanya makosa makubwa kuliko hata ambayo msajili ameituhumu Chadema, hatukuwahi kuona hatua zozote zimechukuliwa na Ofisi hii ya Msajili. Ofisi ya Msajili ijue WATANZANIA SIO MABWEGE. Tunachukulia tishio lolote dhidi ya CHADEMA ni tishio dhidi ya Demokrasia. An attack to one, is an attack to all. Iacheni CCM ifanye Siasa za Ushindani dhidi yetu. Nasi tufanye siasa za ushindani dhidi yao. Acheni kuwa mbeleko ya CCM. Mtaanguka nayo. Ujumbe huu sio wa Msajili tu bali pia ni kwa VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA pia. Kaeni pembeni acheni vyama vya Siasa vifanye Siasa. Mnataka watu wangapi wafe ili mpate somo?

Jaribio la Msajili kuifuta CHADEMA ni sawa na kuchezea moto kuchezea demokrasia ni hatari kwa mustakabali wa taifa.



TAARIFA KWA UMMA "Msajili aache vitisho na hujuma dhidi ya vyama vya upinzani." Naibu Mwenezi wa @ACTwazalendo @ayo_shangwe #TaifaLaWote #MaslahiYaWote




















