FezL

1.2K posts

FezL

FezL

@FezNelsons

Katılım Ağustos 2013
416 Takip Edilen54 Takipçiler
FezL
FezL@FezNelsons·
@MariaSTsehai Wanaopaswa kutumiwa kulizogeza taifa mbele wanasota rumande.. sad!
Indonesia
0
0
1
43
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
#FreeTunduLissu Tundu Lissu hastahili kuwa ndani hata kwa dakika moja! Kwa sasa focus ni Tundu Lissu aachiwe mengine yatafuata! Kiongozi wa wananchi, rais wa kweli wa watanzania tunamhitaji mara moja aje kuongoza mapambano! Let there be only one cry from East to West, from North to South 👉🏽 #FreeTunduLissu Focus!
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
4
173
377
4.7K
FezL
FezL@FezNelsons·
@Baradhuli2 @tanpol Mnataka habari za ukipigwa kofi la kushoto ugeuziwe na la kulia... kwenye maisha halisi hayo mambo hakuna, Newton 1st law of motion
Filipino
0
0
0
33
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Mwenyekiti Wa Chadomo Sumbawanga Wanapanga Kuingia Porini Kuipindua Serikali. @tanpol Hiki chama kilishindwa 29 leo wanatafata namna nyingine tena kuweni macho nao.
Indonesia
5
24
31
2.3K
FezL
FezL@FezNelsons·
@barakawamb Huyu nae ni kiongoz wa upinzan 😂
Indonesia
1
0
0
6
BarakaWambura
BarakaWambura@barakawamb·
Kumbe bado Nchi hii kuna viongozi wa upinzani wanaojitambua na wanajua nini maana ya umhimu wa amani na utulivu wa Taifa lao…Mwalimu kaongea ukweli ambao ni mchungu wa wanaharakati
Indonesia
5
10
16
1.1K
Kassala
Kassala@Vicent_Kassala·
Muda unaopoteza kuhangaika na @zittokabwe na @ACTwazalendo ungeuelekeza dhidi ya CCM ningekuona wa maana. Zitto wala ACT haijawahi kuua mtu. Wauaji ni CCM. Zitto na ACT are the wrong targets. Unless kama una project ya CCM ya 'Wagawe wanaokandamizwa Uwatawale' vizuri.
Indonesia
4
2
3
1.3K
FezL
FezL@FezNelsons·
@assengajrr Mbogamboga kila siku mnahubiri matundu ya vyoo vya wanafunzi toka Uhuru 🚮
Indonesia
0
0
1
143
Assenga Jr
Assenga Jr@assengajrr·
Ziara za Chadema hazina jambo jipya mnahubiri mambo yale yale kila mtu anayajuaa. Ifike mahali mjadili way foward vitendo na sio kusimuliana matendo ya serikali. Matendo yote ata aliye kipofu na kiziwi anayajua mnakua mnarudia simulizi zile zile muda unaenda tu.
Indonesia
116
10
96
13K
FezL
FezL@FezNelsons·
@NNgabu_ Yan lissu aaminishwe na maria 😂😂 🚮
Eesti
1
0
0
91
Nyani Ngabu
Nyani Ngabu@NNgabu_·
Maria Sarungi ni mnafiki na ndumilakuwili. Kawatumia watu wengi sana kwa jina la "harakati" ili kufanikisha ajenda zake, kubwa kuliko likiwa la kujipatia fedha kwa wafadhili. Muda ni Mwalimu mzuri ila ipo siku umma utaonyesha msululu wa watu waliotumika na Maria huko yeye akiendelea kula maisha Nairobi Kisha kwa sasa Canada. Maria anakutumia kisha inapomfaa yeye anakuchoma yeye anaendelea na maisha. Hata hawa vijana wake Mshabaha, Hilda na Sativa nawaonea huruma sana ila ipo siku watakua mashuhuda. Kwa kifupi Lissu yuko jela kwa sababu ya Maria. Ni Maria ndie aliekuja kwa Lissu na mpango wa kuzuia Uchaguzi akimuaminisha kuwa nyuma yao kutakua na baadhi ya wanasiasa/balozi za Ulaya, wafadhili, viongozi wa kisiasa na kidini, pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama. Lissu aliaminishwa kuwa Oktoba 29 yatafanyika Mapinduzi na ni yeye atakaepachikwa kama Rais 😂. Ndio maana mara ya mwisho Lissu anaonekana hadharani kabla ya Uchaguzi akasema kwa kujiamini "Sasa ni rasmi niko ndani kwa ajili ya Uchaguzi. Siku tatu baada ya Uchaguzi nitatoka". Ndio maana sasa hivi Lissu yuko desperate. Katika wote waliosuka ghasia za Oktoba 29 ni yeye tu ndio yuko jela na hana dalili za kutoka. Anyway sisi yetu 👀. Tunaendelea kuwa ndugu watazamaji mpaka pale yote yatakapo jidhihirisha.
Nyani Ngabu tweet mediaNyani Ngabu tweet media
Indonesia
8
13
22
4.2K
Herboria
Herboria@Herboria1·
Kidney patients: 4 proteins that you can prioritize and 6 that you should limit
Herboria tweet media
English
3
10
37
4.3K
Herboria
Herboria@Herboria1·
5 early signs of can.cer growth in the body
Herboria tweet media
English
1
5
9
3K
FezL
FezL@FezNelsons·
@zittokabwe Umeongea vema, kama hawatak wavute upinzan kiwe chama kimoja.. tusiharibu nchi kwasababu ya madaraka 🚮
Indonesia
1
0
0
435
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe·
Zama za Ofisi ya Msajili wa Vyama kuwa mchezaji namba 12 wa CCM FC zimekwisha. Dola isome alama za nyakati. The writing is on the walls! Msajili STOP THIS NONSENSE ya kutaka kufuta CHADEMA. Utafutwa wewe, No doubt about this! Tume ya Chande iliyoundwa na Rais imetoa Taarifa inayosema wananchi wanailalamikia Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kutokutenda haki kwenye kusimamia shughuli za vyama vya Siasa. Badala ya Msajili kuchutama, kuwajibika na kubadilika anarudia makosa yaleyale yaliyopelekea mauaji yaliyoanza Oktoba 29. Msajili anajua, Watanzania wanajua na Dunia inajua kuwa Kuna ushahidi wa kutosha wa CCM kufanya makosa makubwa kuliko hata ambayo msajili ameituhumu Chadema, hatukuwahi kuona hatua zozote zimechukuliwa na Ofisi hii ya Msajili. Ofisi ya Msajili ijue WATANZANIA SIO MABWEGE. Tunachukulia tishio lolote dhidi ya CHADEMA ni tishio dhidi ya Demokrasia. An attack to one, is an attack to all. Iacheni CCM ifanye Siasa za Ushindani dhidi yetu. Nasi tufanye siasa za ushindani dhidi yao. Acheni kuwa mbeleko ya CCM. Mtaanguka nayo. Ujumbe huu sio wa Msajili tu bali pia ni kwa VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA pia. Kaeni pembeni acheni vyama vya Siasa vifanye Siasa. Mnataka watu wangapi wafe ili mpate somo?
Indonesia
135
420
1.5K
51.3K
FezL
FezL@FezNelsons·
@Mwabuk2Boniface It seems tulikurupuka kuwa nchi ya vyama vingi,, hii ofisi inahitaji reforms kubwa mno inatumika vibaya.. kama upinzan ni changamoto kwa nchi turud kwenye nchi ya chama kimoja.🚮
Filipino
0
0
5
517
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA IDHIBITIWE KABLA HAIJASABABISHA MAAFA KWA MARA YA PILI. Tumeshauri sana na tunaendelea kushauri.Ofisi ya Msajili wa Vyama ndiyo chemichemi ya vurugu za kidemokrasia ndani ya Vyama vya Upinzani na inamchango mkubwa katika vurugu za Oktoba 29. Kimsingi Tume ya Uchaguzi na Ofisi hii ya Msajili wa vyama kwa matendo au kutowajibika kwao zimesababisha asilimia zaidi ya 60 kupelekea Mauwaji ya Oktoba 29/2025. Baadhi ya Maofisa wake kwa makusudi,kujipendekeza au kutumika wana mchango mkubwa sana katika kuharibu Haki, Amani ,umoja,utulivu wa kidemokrasia ndani ya vyama vya siasa na ustahimilivu wa Kidemokrasia Ofisi hii Inafanya na Kutenda kwa kuzingita Uonevu,ubaguzi,hila na Inaongoza kwa matumizi mabaya ya Mamlaka. Tunaweza tukalaumu vyombo vingine vya kusimamia sheria kama Polisi,Jeshi,Mahakama na vyombo vingine vya Ulinzi ila tusisahu kuwa kinu kinachofua na kuandaa hila, fitina na machafuko ni Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa ambayo imeacha kazi ya kusajili vyama na imejigeuza Ofisi ya kuvutuga utulivu ndani ya vyama na kuminya uhuru wa kidemokrasia na ushiriki mpana wa vyama vya siasa. Tusipo ziba Ufa tutajenga Ukuta,Mwanzo wa ngoma ni lele , na Asiye sikia la Mkuu huvunjika guu.Hala hala kidole na Jicho. BAK Mwabukusi.
Boniface Mwabukusi tweet media
Indonesia
87
509
1.6K
30K
FezL
FezL@FezNelsons·
@IAMartin_ Shida zote za nchi hii ni kwasababu ya mbogamboga
Indonesia
0
0
0
61
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
“Msajili wa Vyama vya Siasa anawataka CHADEMA muwasilishe maelezo kueleza kwa nini usajili wa chama chenu usisimamishwe au kutozwa faini kwa kukiuka masharti ya Sheria ya Vyama vya Siasa, ikiwemo masharti ya usajili.” — Msajili wa Vyama vya Siasa. Kwamba CHADEMA itozwe faini/kufutiwa usajili kwa kutoa wito wa kuitisha maandamano ikiwa Tundu Lissu hataachiwa huru? Tangu lini imekuwa kosa la jinai chama cha siasa kuitisha maandamano? Mmerogwa? Kwamba CHADEMA wafutiwe usajili kwa kuwapongeza wananchi kuandamana October 29, 2025? Chama cha siasa kuwapongeza raia kutimiza wajibu wa kiraia wa kushirikia maandamano ni kosa la jinai? Shensisana. Kwamba wapigwe faini Au kufutiwa usajili kwa kamati kuu kuazimia kwamba utawala uliopo madarakani ni wa kimabavu na haukuchaguliwa na watu? Kwani ni uongo? Uchaguzi haukufanyika, wamejitangaza washindi tu. Kuna hatari kubwa ya kuajiri viongozi kwa mikataba baada ya umri wa kustaafu, kwani wanakosa ubunifu na kugeuza ofisi za umma kuwa vyanzo vya mapato. Vitisho vya Msajili dhidi ya CHADEMA havina mashiko. CHADEMA si taasisi ya kisheria inayoweza kufutwa kwa kalamu, bali ni itikadi na imani ambayo haitishwi na watawala. CHADEMA kwa sasa ni zaidi ya chama cha siasa; ni imani ya watanzania, na imani haifutwi. CHADEMA tumeshatoka kuwa chombo cha kisiasa chenye ofisi na makaratasi, uelekeo ni kuwa harakati ya kijamii (social movement). Itikadi hupandwa ndani ya watu. Msajili, unaweza kufuta imani ya watu? CHADEMA imeacha kuwa tu taasisi inayotafuta madaraka; CHADEMA imekuwa alama ya; Upinzani dhidi ya mfumo uliopo. Matumaini ya mabadiliko ya kijamii na kiuchumi. Utambulisho wa kifikra (Identity politics). Msajili, umezeeka, staafu salama usitafute laana. Unatumika vibaya sana. Mamlaka zinaweza kutumia sheria kudhibiti taasisi (Institutional control), lakini ni vigumu sana kudhibiti kile watu wanachokiamini. CHADEMA ni imani. Tumejenga ukuta wa kinga ambapo kila shinikizo kutoka kwa Msajili wa Vyama linatafsiriwa kama shambulio dhidi ya imani yetu, jambo ambalo huongeza hamasa (mobilization) badala ya woga. Acheni UDUANZI. MaCCM yameanza kutoa milio.
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
44
167
688
29.5K
FezL
FezL@FezNelsons·
@RashdaZunde Hiz sera za mbogamboga kuleta maendeleo 🚮
0
0
1
786
Rashda Zunde
Rashda Zunde@RashdaZunde·
Ipo siku nitarudi na maelezo ya hawa watu. Ila kwa sasa tuendelee na mjadala wa Gen Z😊
Rashda Zunde tweet media
Indonesia
21
8
96
19.7K
FezL
FezL@FezNelsons·
@HecheJohn Well said bro, tusilazmishane wote kufikiri kimbogamboga 🚮
Indonesia
0
0
0
62
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Msajili wa vyama, Sisty Nyahoza. Mpango wowote muovu mnaoletewa na jaribio la kutaka kuzia chadema kufanya kazi zake au kukifuta chama chetu utabackfire vibaya. Hatutakubali Chama chetu kiwe kibaraka wa ccm.. Tunajua Kesi ya Said Issa na vibaraka wengine ni ya kwako.. mahakama imetuondolea zuio umekuja tena. Kauli ya Mwenyekiti wa vijana ccm kupoteza watu, na kweli watu wanapotea Popole, Mdude na wengine wamepotezwa. Kauli za kina Makala za Mpox na Ebora.. kauli za mauaji na kuchinja watu za viongozi wa ccm .. Zipo nyingi Je umewahi kuwaandikia ccm barua kuhusu hayo? Acheni tushindane kwa hoja na ccm… Ndio maana miongoni mwa mabadiliko, ambayo lazima yafanyike ni kufuta hii ofisi ya msajili inayotumiwa na ccm kudidimiza demokrasia.
Indonesia
93
473
1.8K
46.3K
FezL
FezL@FezNelsons·
@SuphianJuma Uovu ndo zmekuwa secrecy.. 🚮
Polski
0
0
1
37
Suphian Juma Nkuwi
Suphian Juma Nkuwi@SuphianJuma·
Mzee WARIOBA; Ulishakuwa Waziri Mkuu; unachofanya dhidi ya Rais sio “uhuru wa Kujieleza” bali kukosa “secrecy” na “privacy” ambazo ni viapo na sifa za viongozi ikizingatiwa una “full access” ya kumwona Rais/kiongozi ukamshauri. Sifa ovu za CHADEMA na wanaharakati ZITAKUGHARIMU.
Suphian Juma Nkuwi tweet media
Indonesia
77
5
23
9.2K
SAFO NYAME HERBAL THERAPEUTICS
SAFO NYAME HERBAL THERAPEUTICS@safonyameherbal·
If there’s a fruit that I will be an ambassador for free, then it will be Soursop❤️…. Quite expensive now because of its anticancer properties.
SAFO NYAME HERBAL THERAPEUTICS tweet media
English
21
299
1.2K
21.8K
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿
👉Hawa wazee wa Hii nchi wanavituko na mzaha mno, Yani huyu Mzee Joseph sinde warioba alikuwa tayari amejichagua ili awe Rais wa mpito na hakutaka uchaguzi ufanyike🤔 👉Mzee warioba ni aina ya wazee wenye mchango mdogo katika ujenzi letuTaifa✍️
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿 tweet media
Indonesia
37
8
18
3.4K
Dr Lwaitama
Dr Lwaitama@lwaitama1·
Ni vyombo vya ulinzi vya kienyejienyeji ndivyo vinaweza kutumia risasi kupambana na warusha mawe.Unakuta mshamba flani amevaa nguo za jeshi anona raha kufyatua risasi kwa wasiokuwa na bunduki.
Indonesia
4
34
173
2.8K