Sabitlenmiş Tweet
Opobo
1.6K posts


@mzawaMUFC @This_is_B3 @Wakanda_republi Watu wabishi tu ila chama katuachia memories ambazo itachukua muda sana kuzisahau.. Vs Nkana🙌🏻 Vs As vita hii ndo sitasahau kabisa
Indonesia

@This_is_B3 @Wakanda_republi 😀 Kaka hizo games zote si zimetoka sare.
CCC anaamua games kwa mabao ya ushindi.
Filipino

Unaongelea Personal achievement basi tubaki hapa.
Okwi na CCC wamelingana kwenye MVP
CCC anakupa burudani kumuangalia
Okwi anakupa guarante ya kustep up every time any moment.
Plus top scorer with 20 goals
Okwi LIGI KUU ana 70+ goals
Chama is so good ila Emo Sting noma
BracuszCadabra@BracuszCadabra
✍🏽Tactical mistake kuwafananisha Forward na Attacking midfielder Kwa Vyovyote huu mjadala unaangukia kwenye mafanikio na individual achievement sababu zinazompa ushindi mweupe sana CCC Uzuri nimewaona wote at their prime binafsi Mwamba CCC anakaa juu ya Okwi
Filipino

@BrilliantFly9 @Adventure_36 Magu ndio itakosa mabus makubwa mengi hayataingia pale na nyashimo stend
Filipino

@Adventure_36 Kibaigwa, gairo, manyoni, gamu, lamadi
Filipino

@BrilliantFly9 @Adventure_36 Lamadi utasimama tu utake usitake pale abiria wengi sna wanaotoka Bariadi wanasubiri gari zinazotoka musoma kwenda Mwanza au zinazotoka Mwanza waende Musoma/Tarime.. ukiunga pale labda uwe full
Indonesia

@Adventure_36 Yani hiko kitu nadhani haiwezekani gari itoke mbeya au gari imetoka Dodoma kwenda Mwanza halafu isipite stand singida haitawezekana mana hata kama haina hao abiria wa kushuka singida ila kutakua na abiria wa kupandia kuanzia singida na hapo ukumbuke kuna ofisi na ajent kila stend
Indonesia

@BracuszCadabra Me kumbe nina macho ya mpira.. maana jana baada ya Mudathir na Damaro kutoka.. game ikawa nyeupe kwa simba duke hamna alichofanya alivoingia.. Maema na Inno waka outshine midfielder wa yanga kabisa
Filipino

@de_santo92334 @MarekaMalili Kuna mwanangu mmoja ye anapiga bei ile ile ya zamani 1000, 2000 fresh hakai kijiweni... ikifika saa 2 usiku anakwambia asee nazima simu naenda kulala.. anakula vichwa balaa
Indonesia

@MarekaMalili Ningekua boda ningepiga sana hela kipindi hiki..Bajeti ya mafuta ya boda wengi imeongezeka kama 3000 kwa siku hivyo ningebaki na bei yangu ya zamani bila shaka ningepata wateja wengi wapya.Kama unataka kuanza boda boda hiki ndio kipindi sahihi cha kuingia haraka kwenye mfumo.
Indonesia

@__nyuse @BracuszCadabra Jamaa limetulia sana halina papara liko vizuri🔥🔥
Filipino

@BracuszCadabra Kuna Media flani, wachambuzi wake walisema Toure ana makosa mengi sana ila yanafichwa na Rushine 😀
Indonesia

@mabacoz @EddoLalika 🤣🤣🙌🏻2017 hapo 824kj tunaambiwa banana demu anakukalia na hamna kitu una sense kmmk🙌🏻🤣 khaaa
Filipino

@EddoLalika Oya 824KJ kulikua kuna session ya kupeana joto, "Haya laleni kumbatianeni" Hiyo siku demu ananishikisha manyonyo yake lakini wapi kmmk😂😂😂
Indonesia

Ukifika huku ndugu yangu hata mashine huwaga haisimami nilikuaga nabisha Sana Ila baada ya kujaa kwenye mfumo nilikubali, unalala na manzi hapo pembeni na hudindi Qmamake Jeshi liacheni 🙌🙌
GHOST@eralera0123
Hivi muda wa maombi ya jeshi ushaisha? Nataka niombe niende pia
Indonesia

@ArseneFanuel @EsirEid @AlexNyat0 kaka hakikisha unafanya upembuzi yakinifu kabla ya ndoa🤣🤣😆 utakuja kupata suez canal utulaumu ndugu zako
Indonesia

@EsirEid Assume ndio amekwambia hakupi mpk mfunge ndoa na ukakubali..then baada ya ndoa ndio unakutana na iyo Stait of Hormuz 😅😅😅

Indonesia

@john_dicksone @Adventure_36 Sikiliza interview yake utaelewa nahisi ni rickmedia.... gari ni ya kwake sio ya boss...
Filipino

@Adventure_36 Kaka tulia kwanza 70k ? Tumia logic ya kawaida tu , gari za tax mtandao % kubwa ni mbovu na chakavu , wengi wanatembelea spare tairi , kumwaga oil tu ni ugomvi , kila siku wanasumbuana na matajiri kwa kushindwa mikataba ..
Filipino

@Celsius015 @JayRogath 😂😂15k sio ngalangala unapanda Champion express chuma piru kabisa
Filipino

@JayRogath Toka hapo nenda mpaka mwanza kwa 78k... ukifika mwanza panda ngalangala za ef 15 safar imetimia acha kulialia
Indonesia

@mzawaMUFC 2023 nlinunua Note 20 ultra.. hadi sasa ninayo kwa kweli simu za wanangu kama 5 nliwaagizia hapo.hapo hasa s10 na note 10+ ziko sawa kabisa..
Filipino
















