Dicksone John

806 posts

Dicksone John banner
Dicksone John

Dicksone John

@john_dicksone

BUSINESS MAN... NGOSHA ... Hustler, 🇹🇿. Azam FC ,

Katılım Temmuz 2019
3.9K Takip Edilen953 Takipçiler
Musa_the_superman  𝕏 💰🥶
Wanafamilia wenzangu wa X nasikitika sana nimempoteza baba yangu😭💔 INNAH LILAH WA INNAH LILAH RAJIUN🙏
Musa_the_superman  𝕏 💰🥶 tweet media
Indonesia
60
24
116
2.9K
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
VIDEO: Imeelezwa kuwa waliokuwa makada wa CHADEMA ambao walikihama chama hicho kwa nyakati tofauti na kutimikia kwenye vyama vingine vya siasa kama vile CCM na CHAUMMA, wengi wao wako mbioni kurejea ndani ya CHADEMA, na kwamba chama hicho 'kikuu' cha upinzani nchini kijiandae kuwapokea Hayo yamebainishwa na Patrick Assenga, wakati akitangaza kuhama CHAUMMA na kurejea CHADEMA, ambapo amegusia pia hatua iliyotangazwa siku za karibuni na Mchungaji Peter Msigwa ambaye naye amerejea CHADEMA kutoka CCM alikokuwa awali Amesema anayo taarifa za uhakika 'hasa kutoka ndani ya CHAUMMA' ya kwamba viongozi na makada wake wengi waliokuwa wametimkia kwenye chama hicho kutoka CHADEMA wanataka kurejea 'nyumbani' kutokana na kwamba wanajuta maamuzi waliyokuwa wameyachukua.
Indonesia
3
9
49
3K
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Unbowed, Relentless Tundu Lissu👊🏽
Tito Magoti tweet media
Eesti
9
260
1.1K
9.4K
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Pale Sengerema Vijiweni, kwenye kujitafuta tafuta, nilipata kidemu kimoja hivi kifupi kanaishia kiunoni, ila Nyuma kamebeba Tons 70, tukiwa Road Trip kalikuwa kanapenda kunishika mkono, Basi wasukuma walivyo wasenge wanaanza kupiga miluzi na kelele, IT WAS VERY CINEMATIC 😄 🤣
Indonesia
8
8
69
4.2K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Viwanja vya RELINI, ARUSHA MJINI. CHADEMA tumekusanya kiasi cha TZS 2,815,000. Hadi sasa ARUSHA imevunja rekodi ya #ToneTone tangu kuanza kwa oparesheni #KatibaMpya #FreeTunduLissu. MSAJILI USITUTISHE. Huwezi kamwe kutupangia namna gani tushughulike na MaCCM. Wananchi ndiyo wataendesha CHADEMA kwa fedha zao. Angusha TONE lako kupitia 0744 44 69 69; Jina - CHADEMA HQ. #PeoplesPower. 👊🏾
Indonesia
16
184
1.1K
19.9K
Dicksone John
Dicksone John@john_dicksone·
@RabinBoniface76 @Elsukay0 Sasa wewe kwa akili yako unaona yanga kuna wanasheria pale ? Kila siku kesi za fifa na caf haziishi na hajawahi kushinda kesi yoyote
Indonesia
0
0
3
44
Rabin
Rabin@RabinBoniface76·
@Elsukay0 Kwa hiyo wewe umejua kuliko wanasheria na watalaamu wote walioko Young Africans pale?
Filipino
3
0
5
388
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿
Dah kwenye mkataba wa umiliki wa uwanja GSM kawapiga yanga atamiliki uwanja milele Wangemuwekea limit ya muda ingependeza yanga mmeingizwa mjini siku nyingine kabla ya kusaini mikataba kama hii tutafuteni wachambuzi kama sisi tuwapige tafu
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿 tweet media
Indonesia
19
11
71
4.7K
Dicksone John
Dicksone John@john_dicksone·
@PoliceKE Some times mambo ya ushindani wa kibiashara @kidiaone_expres wanatakiwa kuwa makini sana na managment yao pamoja na aina ya wafanyakazi wao . Ikiwezekana buses zifungwe servillance camera waache mazoea
Filipino
0
0
0
182
Kenya Police Service
Kenya Police Service@PoliceKE·
Snake Smuggling Bust at Namanga A 13-foot python has been intercepted at the Namanga One Stop Border Post, hidden inside a box disguised as spare parts. The reptile was discovered by hawk eyed officers during a routine search on a Dar es Salaam–Nairobi bus. The bus crew are currently in custody as investigations continue. Wildlife crime? Not on our watch.
Kenya Police Service tweet mediaKenya Police Service tweet mediaKenya Police Service tweet mediaKenya Police Service tweet media
English
179
218
1.1K
233.5K
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Wife anataka tugawane majukumu! Kabla sijaenda kazini anataka nifanye kazi baadhi za ndani, Nifanyaje?
Mwinshehe 🕊️ tweet media
Indonesia
145
102
442
40.7K
Dicksone John
Dicksone John@john_dicksone·
@Adventure_36 Kaka tulia kwanza 70k ? Tumia logic ya kawaida tu , gari za tax mtandao % kubwa ni mbovu na chakavu , wengi wanatembelea spare tairi , kumwaga oil tu ni ugomvi , kila siku wanasumbuana na matajiri kwa kushindwa mikataba ..
Filipino
2
0
9
1.1K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Huyu dada ameonekana UTV NEWS apo, amemaliza chuo kikuu Ardhi mwaka 2020 akawa winga kariakoo apo. Saiv anaendesha gari za tax mtandao, kwa siku hakosi 70k na maisha yanaenda vizuri tu. Aisee
Adventure-360 tweet media
Filipino
14
24
412
24K
LYENDA
LYENDA@IamLyenda·
Kama ambavyo chama kilisema kitajadili taarifa ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa juu ya hatma ya Katibu Mkuu, Manaibu wake na Wajumbe wa Kamati Kuu, hatimaye leo Chama Kikubwa cha Upinzani nchini, Chadema, chini ya Makamu Mwenyekiti ⁦@HecheJohn⁩ kitatoka na Maamuzi.
Indonesia
22
113
767
16.8K
Nembo
Nembo@Madola__·
@BrendaRupia Nikimuangalia Brenda nasahau machungu yote wanayopitia wapinzani naanza kumtamani yeye.Duh!! N...ge mbaya sana aisee.
Indonesia
3
0
11
1.9K
Brenda Rupia Jonas
Brenda Rupia Jonas@BrendaRupia·
I will not be intimidated. I will not be silenced. My voice will be heard, and my vision will be realized. I was born once, and I will die once. There is no dress rehearsal for life—everything I do, I do with intention. No one is coming to save us. You are the change you seek. This country is ours. Lets all be ready to be counted among those who stood up, who fought to make our nation great again. #strongertogether #NoReformsNoElection #FreeLissu
Brenda Rupia Jonas tweet media
English
150
411
2.1K
96.1K
Dicksone John
Dicksone John@john_dicksone·
@Advocate_Jebra Na akihitaji kisima chake kitumie mfumo wa solar atucheki tunazo hadi pampu za solar na control boz zake ... 0719943626
Slovenščina
0
0
0
343
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Kuna Jamaa yangu anauliza hivi kuchimba kisima maeneo ya Mlandizi ni Tsh ngapi kwa wanaojua? Au kampuni gani ndo mbanga zao hizi?!
Indonesia
67
37
905
94.6K
Jalilu Zaid
Jalilu Zaid@jaliluzaid·
Hivi hata Benki zingine mtu unaweza kujaza fomu kupata Card yako ukaipata siku hiyo hiyo? Au ni PBZ Bank tu ndio wanaweza fanya hivi? Manake nimeenda nimepata kadi siku hiyo hiyo.
Indonesia
134
21
631
81.4K
Dicksone John
Dicksone John@john_dicksone·
@HenryKilewo Hamtaki dharau wewe na nani ? Uchawa umekuja kuwa janga kwa taifa
Indonesia
0
0
2
151
Henry Kilewo
Henry Kilewo@HenryKilewo·
Kwamba ??? Nipo makini ndiyo maana sitaki Dharau na dhiaka, Bro acha ego, relevance yako haiwezi kuwa sehemu ya kuumiza watu, kutunga uongo na hila, Kwamba nimekuambia mambo, yes, Kwanini nisikuambie kwani vinahusiana na nini na Uchaguzi. Umekuwaje bro? Fikiri tena vizuri, huenda ukaona umeteleza then utaachana na hizi dharau zako. HATUTAKI DHARAU, MWACHENI MWAMBA APUMZIKE. TUNAJUANA VIZURI.
Indonesia
300
9
187
65.7K
Dicksone John
Dicksone John@john_dicksone·
@OleMtetezi Leo saa 12 jion hadi saa 3 usiku atakuwa na kikeke stay tuned
Filipino
0
0
3
96
Mchokozi !!
Mchokozi !!@OleMtetezi·
Tundu Lissu Ni Aina Ya Wanasiasa Wachache Sana Ambao Huwezi Kuchoka Kuwasikiliza Ndani Ya Hii Miezi 2 Nimeshasikiliza Mahojiano Yake Zaidi Ya Mara 20 Lakini Hata Kesho Nikisikia Anaongea Tena Bado Nitataka Kumsikiliza Wanasiasa Wa Aina Hii Ni Wachache Sana Kwenye Nchi Yetu
Indonesia
27
72
762
18.2K
Thomas J. Kibwana
Thomas J. Kibwana@thomasjkibwana·
Tuachane na hili kwanza Mangi. Ile milioni 10 uliomuahidi Lema kama Lissu angeshinda ushamlipa? Maana unaongea kwa amani utadhani hauna deni Januari hii😁.
Patrick J Assenga@PatrickJAssenga

CCM tuliwapa likizo ya muda mrefu sana. Sasa Jiandaeni maana kazi ya kujipanga ndani ya chama chetu, tayari imekamilika. Tumeendesha uchaguzi wa viwango na unaokubalika dunia nzima. Hongera sana Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh @TunduALissu. #StrongerTogether

Indonesia
21
12
144
14.5K
Ze Planmaster
Ze Planmaster@ZPlanmaster·
Hivi ile story ya yule mzee kipofu alikuwa anapiga ngoma 12 kwa wakati mmoja, ni kweli au tulipangwa?😀
Ze Planmaster tweet media
Filipino
65
22
199
17.5K