Mr David

11.3K posts

Mr David

Mr David

@DavidDruv

I'm here.

Earth Katılım Ocak 2022
366 Takip Edilen1.1K Takipçiler
Mr David retweetledi
Sentinel Global
Sentinel Global@SentineGlobal·
Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo @ACTwazalendo Zitto Kabwe @zittokabwe amesema kuwa mfanyabiashara Harbinder Singh Sethi amemfungulia kesi kwa tuhuma za kumkashifu kupitia sakata la IPTL maarufu kama sakata la ESCROW kupitia maandiko yake kwenye mitandao ya kijamii. “kesi nimefunguliwa na mtu anayeitwa Bwana Habinda Sin Seth kuwa nimemkashifu na kumshushia heshima mbele ya jamii kwa vile eti nimezungumzia sakata la IPTL mbali na mambo mengine nimlipe mabilioni.” amesema Zitto.
Indonesia
21
21
87
9.5K
Mr David retweetledi
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo na mtaalamu wa uchumi, Zitto Kabwe, ametoa onyo kali kwa watu wote- ndani na nje ya Serikali wanaojihusisha au kupanga kumsaidia mfanyabiashara Harbinder Seth katika madai yanayohusiana na fedha za umma zilizotokana na sakata la IPTL na Akaunti ya Tegeta Escrow. Akizungumza na wanahabari siku ya Jumapili Mei 18, 2025 mkoani Dar es Salaam, Zitto amesema, “Yeyote serikalini, yeyote yule au nje ya serikali, ambaye kwa namna yoyote ile anasaidia au yuko kwenye mpango wa kuchota fedha za umma ili kumpatia bwana huyu Seth, ataanguka na bwana huyu. Katika historia ya IPTL tangu wameanza, hajawahi kupona mtu, mtu yeyote ambaye amejihusisha na IPTL tangu mwaka 1995 awe ni Waziri, awe ni Katibu Mkuu, awe ni nani, hajawahi kupona, kwahiyo watu wajiepushe na hili jambo”. Zitto amefafanua kuwa Mahakama Kuu ya Tanzania kupitia Kesi Namba 90 ya Mwaka 2018, kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati dhidi ya Harbinder Seth, ilifikia Makubaliano ya Maelewano (Consent Decree). Kupitia kesi hiyo, Bwana Sethi alikubali kusaini Hati ya Fidia (Deed of Indemnity), akiahidi kuilipa Serikali fidia ya hasara iliyoletwa na maamuzi ya mahakama za kimataifa dhidi ya Tanzania na TANESCO – maamuzi ambayo yanaifanya Tanzania kudaiwa mabilioni. Katika makubaliano hayo, Mahakama ilieleza wazi kuwa Sethi hana na hatakuwa na madai yoyote dhidi ya Serikali na anapaswa, pamoja na PAP, kulipa fidia hiyo. Hata hivyo, Zitto alieleza kuwa hadi leo, utekelezaji wa maamuzi hayo halali bado haujafanyika. “Kuitwa mwizi si tusi, bali ni sifa anayostahili. Huyu ni mtu ambaye tayari ana hukumu ya jinai kichwani kwake, lakini amepewa uhuru wa kudhihaki Watanzania na kodi zao,” alisema Zitto kwa ukali. Aidha, Zitto amefichua kuwa Sethi alikubali makosa ya jinai ya uchotwaji na utakatishaji fedha kupitia makubaliano ya Plea Bargain na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), ambapo aliahidi kulipa zaidi ya shilingi bilioni 26 kwa Serikali. Hadi sasa, amerejesha milioni 200 pekee, huku zaidi ya miaka minne ikiwa imepita tangu apate uhuru wake kwa masharti. Zitto pia alieleza kuwa kampuni ya Eurasia Holdings, ambayo ilikuwa mbia katika IPTL, imefungua kesi ya kutaka kampuni hiyo ifutwe rasmi (winding up petition), jambo linalozua maswali makubwa kuhusu hatma ya fedha za umma zinazodaiwa kufidiwa na PAP na Seth. Katika hatua nyingine, Zitto ameibua mgongano wa madai kati ya Seth na TANESCO. Kwa mujibu wa taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ukurasa wa 35 na 36, Sethi anadai TANESCO shilingi bilioni 211. Hata hivyo, TANESCO inadai kuwa Seth ndiye anayedaiwa, kwa kuwa katika makubaliano na DPP alikubali kuilipa TANESCO dola za Marekani milioni 148, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 400. “Kwa hiyo hata tukikubali madai yake, bado TANESCO inamdai zaidi ya anavyodai. Hivyo ni wazi kuwa yeye ndiye mdaiwa, na si TANESCO,” amesema Zitto. Zitto amesisitiza kuwa madai hayo, pamoja na ushahidi uliopo kwenye nyaraka rasmi za Serikali, vinaweka bayana kuwa hakuna msingi wowote wa kisheria au kisiasa kwa yeyote kumsaidia Seth katika kujinufaisha kwa fedha za umma. “Ninafurahi kuwa kesi hii inakwenda mahakamani. Huko ndiko tutakapoweka ukweli wote hadharani. Tutautaja mzoga huu mahakamani na kuhakikisha unafukiwa moja kwa moja,” amehitimisha Zitto, akimaanisha kesi ya madai ya kashfa iliyofunguliwa dhidi yake na Seth.
Jambo TV tweet media
Indonesia
23
30
371
25.4K
John Pambalu
John Pambalu@John_Pambalu·
Aliyeona kama gazeti la @MwananchiNews online wamepost kipande japo cha sekunde 1 ya hotuba ya Boni Yai. Anitumie tafadhari.
Indonesia
61
110
1.3K
44.3K
Mr David retweetledi
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
DAR: Kiongozi Mkuu Mstaafu wa Chama cha #ACTWazalendo, Zitto Kabwe amesema amefunguliwa kesi na Harbinder Singh Seth akidaiwa kumkashifu mtu huyo na kumvunjia heshima mbele ya jamii wakati Zitto alipozungumzia sakata linalohusu Kampuni ya Ufuaji Umeme ya IPTL Zitto ambaye amesema anashutumiwa akidaiwa kutoa kauli ya kukashifu na kumchafua Sethi kupitia ukurasa wake wa X, amesema “Nipo tayari kwa kesi, nitaweka ukweli wote wazi na mwisho kufukia kabisa huu mzoga unaoitwa Sakata la IPTL.” Ameongeza “Ninampongeza sana (Sethi) na kumshukuru kwa ujasiri wake wa kunishtaki kwasababu kesi hii itatoa fursa ya kumaliza jambo hili lililoweka wingu kwa muda mrefu sana katika Taifa letu." Soma jamii.app/ZittoKabweMei18 #JamiiForums #JFMatukio
Indonesia
7
40
162
11.6K
Mr David retweetledi
Musa D.Njoghomi
Musa D.Njoghomi@MusaNjoghomi·
Mwami @zittokabwe amefanya press conference muda mchache uliopita na kudai kuwa ameshtakiwa na Harbinder Singh Sethi wa IPTL, hii ni kutokana na chapisho lake aliloandika kupitia mtandao wake wa X kuhusu kuibuka tena kwa sakata la IPTL kwenye ripoti ya CAG.
Musa D.Njoghomi tweet media
Filipino
1
8
21
577
Mr David retweetledi
Irene Rwegoshola.
Irene Rwegoshola.@kokugonza98·
@zittokabwe Ninaomba Mungu akupeleke Bungeni... nakusihi sana ongeza ulinzi binafsi.. I know there're several illegal deals that has been done in 5yrs.. tukianza na JNHP,SGR,ATCL, na Tannesco. Ni kipindi hiki makundi dhalimu hayataka kuona ukiwa hai.. hivyo ikiwezekana nenda manda magere .
Indonesia
0
1
2
454
Mr David retweetledi
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe·
Maamuzi haya ya Mahakama Kuu ya Tanzania yamemaliza mgogoro wa umiliki wa IPTL. Serikali IUZIKE MZOGA HUU tafadhali. Fedha za Umma TZS 211B kwa mujibu wa CAG, ambazo Bwana Seth anataka kupora tena haziibiki. Watafute mradi mwengine
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe tweet mediaZitto MwamiRuyagwa Kabwe tweet mediaZitto MwamiRuyagwa Kabwe tweet media
Indonesia
28
91
426
30.2K