abubakar

81 posts

abubakar

abubakar

@kitogo2580

Katılım Ağustos 2022
322 Takip Edilen92 Takipçiler
abubakar
abubakar@kitogo2580·
Huwezi kupambana na ACT halafu wakati huohuo ukajiita mpinzani wa CCM. Wewe ni silaha ya CCM dhidi ya ACT na unawasaidia CCM washinde uchaguzi kwa kuwambia watanzania wasuse kupiga kura. Oktoba twende kupi kura #LindaKura Nawasilisha!
Indonesia
0
0
0
5
abubakar
abubakar@kitogo2580·
Kuna watu kama Martin Maranja Masese wanaakili za unyumbu na udunduwazi, kwenye harakati za kupigania haki hakuna kukatishwa taama na matendo yanayofanywa na watawala, uonevu, dhulma na kuporwa ushindi havitukatishi taamaa, Zitto Kabwe tunakuamini na tunakuunga mkono
Martin Maranja Masese@IAMartin_

Filipino
0
0
0
34
John Pambalu
John Pambalu@John_Pambalu·
Basi Bwana Yesu akasema mtawajua kwa matendo yao. Yaani Brother Zitto anasema Reforms haziwezekani. Tena anasema kwa sauti kubwa kuliko wenye mamlaka. Hapa ndipo unapujua similarities kati ya Mic na Speaker.
John Pambalu tweet media
Indonesia
68
124
885
19.9K
Sentinel Global
Sentinel Global@SentineGlobal·
Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo @ACTwazalendo Zitto Kabwe @zittokabwe amesema kuwa mfanyabiashara Harbinder Singh Sethi amemfungulia kesi kwa tuhuma za kumkashifu kupitia sakata la IPTL maarufu kama sakata la ESCROW kupitia maandiko yake kwenye mitandao ya kijamii. “kesi nimefunguliwa na mtu anayeitwa Bwana Habinda Sin Seth kuwa nimemkashifu na kumshushia heshima mbele ya jamii kwa vile eti nimezungumzia sakata la IPTL mbali na mambo mengine nimlipe mabilioni.” amesema Zitto.
Indonesia
21
21
87
9.5K
abubakar retweetledi
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe·
Maamuzi haya ya Mahakama Kuu ya Tanzania yamemaliza mgogoro wa umiliki wa IPTL. Serikali IUZIKE MZOGA HUU tafadhali. Fedha za Umma TZS 211B kwa mujibu wa CAG, ambazo Bwana Seth anataka kupora tena haziibiki. Watafute mradi mwengine
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe tweet mediaZitto MwamiRuyagwa Kabwe tweet mediaZitto MwamiRuyagwa Kabwe tweet media
Indonesia
28
91
426
30.2K
abubakar
abubakar@kitogo2580·
Kesho tunatakiwa kuelekeza macho na masikio Protea Hotel, Dar es Salaam Courtyard Seaview, Upanga.
abubakar tweet media
Indonesia
0
0
0
14
Ezekia Elia Zambi
Ezekia Elia Zambi@kakaAFRIKA·
Leo hii Nimechukua Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo Langu La Mbozi Kupitia Chama Changu Cha @ACTwazalendo
Ezekia Elia Zambi tweet mediaEzekia Elia Zambi tweet mediaEzekia Elia Zambi tweet mediaEzekia Elia Zambi tweet media
Indonesia
11
11
39
2.5K
Francisco William
Francisco William@Francis78698411·
@zittokabwe Nimeanza kumwelewa Zitto siku hizi , He is strategic master kwenye political arena. Natumaini wengi watamuelewa zaidi miaka ijayo . He is ahead of time ,He knows it all kuhusu political atmosphere in Tanzania. Haki mtakuja kuona .Mark my words
Filipino
16
1
11
6.2K
abubakar
abubakar@kitogo2580·
@ActBuhigwe Wanahoja za msingi kwa wakati tulionao, oktoba 2025 ni kwaka wa maamuzi
Indonesia
0
0
0
1