@Adventure_36 Hata unywe pombe Bohari zima la serengeti kama Mungu ajataka huwez kupata maradhi yeyote yale
Kwani kuumwa ni Ibada na sisi binadamu hatuwezi kukwepa maradhi bila ridhaa yakwake M/Mungu
@Nicky__001@DullahTheking2 1. Inatumia umeme zaidi..
Portable AC nyingi zina ufanisi mdogo wa matumizi ya umeme kuliko AC za ukutani au split AC, hivyo zinaweza kuongeza bili ya umeme.
2. Kelele nyingi.
Compressor na feni ziko ndani ya kifaa kimoja, hivyo mara nyingi hutoa kelele ambazo zinaweza
Kitimoto cha kupikwa ukiagiza ONLINE kuna mawili.
1. Utawekewa MIFUPA ya kutosha.
2. Utawekewa VIKANDA (MAFUTA) ya kutosha.
Labda uwe unajuana na muuzaji, ila mteja wa online (masista duu na mabraza meni) lazima UTOE NGOLO.
Imagine, unasoma chekechea miaka miwili, Primary miaka 7, secondary miaka 6; kisha chuo unaenda kusomea ufugaji wa nyuki miaka mitatu... something you can literally learn on YouTube in 1 month. Some of you guys are RETARDED🤡
Let’s make Kenya greener again!
This Mazingira Day 2025, we say Turudi Primo, back to the roots of caring for our planet.
Join the movement and Donate Fruit Trees to empower communities and restore our environment.
Together we plant. Together we grow.
#MazingiraDayMission
Daaa 💔💔💔 mwalimu kosa lake kubwa kumchapa mtoto amtaki watoto wachapwe watoto wenyewe wasikuhizi ni watukutu sana au Kwa kuwa nyie mnakaaa maofisoni tu hii sio sawa
@Erick_aleshasen@munyamambogo Sawa kuwa mwl piga mtoto wa mtu hivyo na mateke km ndio mwongozo unavyosema. Wengine tumepigwa fimbo nyingi sana ila Mwl lazima awe mlezi wa watoto
@Desikavishe@munyamambogo Fimbo 3 mtu anakufa hoja iko apa mbona wengine wamechapwa ikaisha tuache ayo mamb bhna
Hatukatai kuna kufa lakin sio kwa fimbo 3