It's me,,,,!
13.7K posts

It's me,,,,!
@DonMkwavi
God's power
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ağustos 2016
817 Takip Edilen510 Takipçiler

Hakunaga mwanaume fala, kama unahisi Madebe alifeli nenda kumuoe wewe😂
killo_Killotz@killo_killo11
Hapa Madebe alifeli sana kuiacha hii mali.😁
Filipino

@MwananchiNews SUMATRA watu wakukomoa sana washanipiga faini ya 1.5mil kila kosa 500k,,, nikaleta ubishi chuma ikaenda Yard Temesa pale chang’ombe hadi Kesi inaisha hapo K/ndoni Mahakamani nilifurahia Show. Sitaki hata kuwaskia
Kikubwa hapo Arusha aje SHOZINIGA wakale nae nyama Kwamromboo 😂
Filipino

Wakazi wa Jiji la Arusha wamepata adha ya usafiri kufuatia baadhi ya waendesha huduma za daladala kugoma kuingiza magari yao barabarani kwa kile walichodai manyanyaso wanayopewa na Mamlaka ya Usafiri Ardhini (Latra).
Wakizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Mei 25, 2026 eneo la Soko la Mrombo wamedai kuwa, maofisa wa Latra wamekuwa wakiwatoza faini kuanzia Sh250,000 hadi Sh350,000 magari yanayozidisha nauli iliyopangwa na mamlaka hiyo.
Mgomo umeshuhudiwa kwenye barabara za kutoka katikati ya jiji kupitia Mrombo hadi Intel kuelekea Mapambazuko pia kutoka Soko la Kilombero kupitia Uswahilini, Dampo hadi Mapambazuko na Barabara ya Tengeru.
Kutokana na mgomo huo wananchi wamelazimika kutumia usafiri wa Guta walikuwa wakilipa Sh1,000 huku bajaji na pikipiki nauli ikiwa kati ya Sh2,000 hadi 3,000 kutoka Mrombo kuelekea katikati ya jiji.
Imeandikwa na Filbert Rweyemamu.
#mwananchiupdates
#tunawezeshataifa
Indonesia

@october_niga @Adventure_36 SGR nauli ya boda ina gharimu pesa nyingi kwenda na gari tuu.
Indonesia

@Adventure_36 Mbona umechelewa kujua alafu sio mbweni ni RUVU JKT kule hata kwa SGR unafika kwa nauli ya buku 3 tu
Indonesia

@GasperPhilbert @Kicheche_jr Ni kweli maana kama kazi haikulipi si una iacha tuu.
Filipino

@Kicheche_jr Hakuna sababu yoyote inayoweza ku justify uuaji, ni Roho mbaya tu
Indonesia

@INFLUENCERjr @its_mubah Pamoja na vikwazo wana uchumi Imara kuliko Malawi.
Polski

@its_mubah Ana nguvu ya kijeshi yes but sijui kuhusu uchumi wake
Eesti

@InnocentJLS @INFLUENCERjr @master_plan9 Na wewe chambua uupendelee upande unao uona una power kuliko Iran hapo mashariki ya kati.
Filipino

@INFLUENCERjr @master_plan9 Kwenye uchambuzi wake anaipendelea sana Iran.
Indonesia

@mayaijumla @RKishaija81715 Hajiulizi sakata la uwanja hadi leo nini kinaendelea,,,,,?
Indonesia

@RKishaija81715 Hata namba zikitoka hakuna wanachofanywa ndomana hawajal wanafanya wanachokitaka
Indonesia

@robkidayo_ Sasa si unataka picha ya mwanaume mwenzio halafu unakuwa muoga muoga.
Filipino

@Sulphuric_aci17 Hakuna mchezaji aliepita yanga aliewahi kucheza uefa,europa na conference na hatakuja kutokea 😂
Indonesia

Iran ilitoa nafasi za watu kujiunga na jeshi million 1 cha ajabu watu wakajitokeza million 11 .
Hii inaonesha ni namna gani watu hawana ajira na kazi huko irani wananchi wanaishi katika mazingira magumu bila fursa za kazi
Ukosefu wa ajira ndio lilikuwa lalamiko kubwa sana la waandamanaji wa irani
Indonesia

@Rungekuta69 Huwezi kwenda kufanya shopping ya mwezi mziama,,,,,?
Indonesia

Kuna vijiji gharama za maisha ziko juu sana.
Mfano uku nilipo chumba self ni 30k ( bei ndogo)
Ila msosi ni shida ili ule ushibe kwa siku ni zaidi ya 10k.
Chapati wanauza jero, soda ni 900 tale away 1200 zile za jero now ni 600.
Nilijua nitatoboa ila mhh😁🙌
IAmHaule@IAmHaule
Kuna vijana walienda Ajira za Vijijini wakiwa na confidence kubwa sana kuhusu maisha yao. Walikuwa wanaota biashara, investments, travelling, big city life… Nowadays wanaishi tu from salary to salary waiting for years to pass. That pain is real .

@Mwilaguju @Rungekuta69 Hadi leo una nunua vocha za kukwangua,,,,,?
Filipino

@IAmHaule Wazungu walianza kuja Africa karne ya 17 BK,walitoka sehemu zenye maendeleo,Ila walivyo fika wakaona fursa hii dunia unayo iona leo ime endelea haikushwa!
Ajira mpya anaweza badilisha maisha na kuendelea na ndoto zake hata akiwa wapi kwa maana Dunia ya leo imepiga hatua.
Indonesia

















