Jay Kipajizle

2.1K posts

Jay Kipajizle banner
Jay Kipajizle

Jay Kipajizle

@DotoMatembo

Katılım Mart 2021
2.8K Takip Edilen3.1K Takipçiler
Rose Mayemba
Rose Mayemba@rose_mayemba·
Leo wanawake dunia nzima wanaadhimisha siku yao muhimu. Siku wanayokutana na kutafakari kwa kina juu ya mafanikio na changamoto zao katika kuiendeleza jamii kiuchumi, kisiasa na kijamii. Kwa wanawake wa CHADEMA imekuwa ni tofauti kidogo, wao wanatafakari matendo ya Mwanamke mmoja KATILI NA ASIYE MUUNGWANA. Kuzuia wanawake wenzako wasikusanyike ni udhaifu mkubwa usiopimika kwenye mizani. Lakini tunakuahidi, hutakaa kwenye hicho kiti ukatulia,hutakuja uishi kwa Amani mpaka siku ya kufa kwako. Hii vita ndo kwanza imeanza.
Indonesia
15
51
231
5.1K
Joblube4
Joblube4@Joblube4135261·
@HecheJohn @jkbtetes107 Mjomba mjomba Tz kuna vyama gani zaidi ya CDM hayo matawi ya CCM utaita ni vyama🚮🚮
Indonesia
2
0
1
139
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Hatutarudi nyuma, Dunia inaona na inafuatilia .
Indonesia
9
113
752
14.1K
Jay Kipajizle
Jay Kipajizle@DotoMatembo·
@HecheJohn Dunia gani Tena wakati dunia IPO vitani kwa Sasa Irani huko? Mnapagawa sasa
Indonesia
0
0
0
62
CINEMAS ANALYTIC 🎬
CINEMAS ANALYTIC 🎬@CinemasAnalytic·
Madaraka hayawezi kuwa Matamu kwa kutoa roho za watu ., Ni lazima ukonde kwa tu kwa Msongo wa Mawazo. Na bado Repost 560
CINEMAS ANALYTIC 🎬 tweet media
Indonesia
18
73
500
16.1K
Nyani Ngabu
Nyani Ngabu@NNgabu_·
Hiki chama hata wadada wa usafi na walinzi wanajiita "Mheshimiwa" 😂. Anyway nabet kabisa hiyo siku Hilda hatakuepo na atakuja humu X kusingizia kuwa kashindwa kuja kwa sababu ya blah blah blah 🤣
Nyani Ngabu tweet media
Indonesia
12
12
14
1K
Planet B
Planet B@M31327Mugisha·
Mhariri wa NIPASHE anakimbia kivuli chake. Mpeni salamu zangu mwambieni aache uchawa . Nonsense.. Gazeti linaongelea upande mmoja wa kesi ya TAL.
Planet B tweet media
Indonesia
4
3
17
11.4K
Farah Omar
Farah Omar@FarahOm91196252·
Wananchi hawafuati chama sijui CCM au Chadema au ACT Wananchi wanamfuata Kiongozi Muadilifu Mkweli Mpenda Haki sio Kiongozi fisadi mla Rushwa halafu awe anasifiwa na mafisadi machawa waporaji Kiongozi asiweza kutimiza ahadi anazotoa kwa Wananchi hafai
Indonesia
7
42
275
3.7K
Jay Kipajizle
Jay Kipajizle@DotoMatembo·
@rose_mayemba Unajua ameulzia pesa zake mlizokwapua wewe na wenzako aiseee... Wadau wamekosa majibu mnarufisha ama ndo imeisha iyo??
Indonesia
1
0
1
13
Rose Mayemba
Rose Mayemba@rose_mayemba·
Done for today. I was happy to see SC Tundu Lissu in court, full of courage and energy. He will be free at last...yes, we will all be free to exercise our freedom in our birthplace, the land where Mwalimu Nyerere and others fought to dismantle colonial oppression. #FreeTunduLissu
Rose Mayemba tweet media
English
4
19
134
1.2K
Jay Kipajizle
Jay Kipajizle@DotoMatembo·
@HecheJohn Zikijngwa mnapika kelele zisipojengwa mnapiga kelele Sasa nyiemnataka Nini??
Indonesia
6
0
0
1.2K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Mabeberu wanatuonea wivu hii ni Barabara yetu bora kabisa… kutoka Babati to Singida.
John Heche tweet mediaJohn Heche tweet media
Filipino
90
247
1.5K
59.7K
Bony 📚
Bony 📚@bonifacejoseph_·
>Kwa kutambua juhudi mngewapunguzia matajiri wanaoshusha mzigo ili wateja wa mwisho (walaji) wapate bidhaa kwa bei nafuu. > Fungulieni Twitter tutumie bila VPN, wapo vijana wengi hutumia hizi platforms kujiingizia kipato mfano Mimi. >Punguzeni kodi kwenye sponsors za Meta
Bony 📚 tweet media
Indonesia
11
16
135
7.2K
Jay Kipajizle
Jay Kipajizle@DotoMatembo·
@Sativa255 Part two ya hii filam inatoka lini?? Ama mabos hawajawalipa bado POSho ya part one??
Indonesia
0
0
1
492
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
#BBC "Mara ya kwanza nilipoiona picha ya Mafwele nilitetemeka, ni kama ilinirudisha kwenye siku za mateso". Edson Mwakalebela (SATIVA), Mwanaharakati Tanzania. "Mafwele alipoanza kunipiga kituoni kwa kushirikiana na askari wengine alisema ananifahamu, Mafwele alisema atanitahiri, nilipomwambia nimetahiriwa aliniambia atanitahiri tena, hata kuiona picha yake kunanitetemesha". Boniface Mwangi, Mwanaharakati wa Kenya. Wanaharakati wa Kenya na Tanzania wakielezea mateso waliyopitia chini ya amri ya mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai Kanda Maalum ya Dar es Salaam afande FAUSTINE MAFWELE. :::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::: "The first time I saw Mafwele's picture I trembled, it was like it took me back to the days of torture". Edson Mwakalebela (SATIVA), Tanzanian Activist. "When Mafwele started beating me at the station in collaboration with other soldiers, he said he knew me, Mafwele said he would circumcise me, when I told him I was circumcised he told me he would circumcise me again, even seeing his picture makes me tremble". Boniface Mwangi, Kenyan Activist. Kenyan and Tanzanian activists describe the torture they went through under the command of the head of the Special Crimes Investigation Unit of the Dar es Salaam Special Zone by FAUSTINE MAFWELE. REPOST 200 TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
9
167
762
21.1K
𝗦𝗲𝗻𝗶𝗼𝗿 𝗠𝗼𝗻𝗲𝘁
Nakumbuka nikiwa mdogo kuna wakati mama alikuwa akisema “Kuleni mimi niko sawa” Little did we know chakula kilikuwa kidogo! Mungu awape mama zetu maisha marefu ili tukifanikiwa waweze kufaidika na kazi za mikono yetu.
Indonesia
4
17
134
3.8K
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
MUME WANGU ALIULIWA KWA RISASI LAKINI CHETI CHA KIFO KIMEANDIKWA ALIKUWA ANAUMWA UTI WA MGONGO.
Filipino
35
195
802
22.4K
Jay Kipajizle
Jay Kipajizle@DotoMatembo·
@bbcswahili Hofu hiyo iwakute hao tu mbona wengi tupo nchininaiseee, amken BBC hao wanataka maisha mazuri ulaya ndo Mana wameyaunda ya kwao wakakimbia nchi Ila mkiwashtukia warudishen
Indonesia
0
0
0
224
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Muachieni Mwenyekiti wetu hana kosa.
John Heche tweet media
Indonesia
32
367
2K
17.6K
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Kupitia mtandao wake wa kijamii, Askofu wa Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza jana aliweka wazi hisia zake kuhusu hali ya kisiasa, usalama wa wanasiasa na migongano ya kidiplomasia nchini. Ujumbe wake umeibua mijadala miongoni mwa wananchi na wafuasi wake. Bagonza alielezea umuhimu wa kushughulikia migongano ya awali na ushirikiano wa kidiplomasia, akibainisha kuwa safari za kidiplomasia zinapaswa kuzingatia mashauriano na mawasiliano mazuri. Akizungumzia usawa wa sheria, Bagonza alibainisha tofauti inayojitokeza katika kesi ya Tundu Lissu, ambapo waliomshambulia hawajakamatwa, huku waliomuibia michango yake wakiwa wanashikiliwa na vyombo vya sheria. Hali hii, alisema, inakidhiwa kwa umakini na wananchi. Aidha, Bagonza aligusia masuala ya maridhiano ya kisiasa, akisisitiza umuhimu wa ukweli na uwazi kabla ya kufikia makubaliano yoyote, pamoja na changamoto zinazojitokeza ndani ya vyama vya siasa. Bagonza pia alizungumzia usalama wa taifa, akibainisha umuhimu wa mawasiliano kati ya Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara ya Mambo ya Ndani ili kuhakikisha Amani na utulivu vinaimarishwa. Kwa ujumla, ujumbe wa Askofu Bagonza uliangazia umuhimu wa: Uwajibikaji wa wanasiasa na vyombo vya dola,Uwiano na uwazi katika migongano ya kidiplomasia,Kutenda haki kwa wote bila upendeleo naKudumisha demokrasia na usalama wa wananchi. Kauli hizi zimeibua mijadala miongoni mwa wananchi na wafuasi wa kiongozi huyo, huku wengi wakisisitiza haja ya uwajibikaji na uwazi katika kila hatua ya kisiasa.
ROYAL TELEVISION tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
10
46
356
11.2K
Kremlin
Kremlin@therealsemsii·
Today is 29th!! Waliouhusika kuua na kuumiza watanzania wenzetu Amani isiwe sehemu ya Maisha yao!!!
Indonesia
4
29
92
2K
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJr·
Tuongee serious ongezeko la single maza mtaani lina sababishwa na nini??
Filipino
32
9
155
12.5K
Jay Kipajizle
Jay Kipajizle@DotoMatembo·
@rose_mayemba Wewe si ndo uliyepig pesa za lisu aiseee ebu ona aibu rudisha zile pesa
Indonesia
0
0
0
7
Rose Mayemba
Rose Mayemba@rose_mayemba·
Ni miezi mitatu sasa tangu Samia ameua watanzania wasio na hatia ili ajiapishe kuwa Rais. Damu hii haikumwagika bure, Samia atailipa by any means neccessary...
Indonesia
6
65
182
1.8K