Edgar Mkosamali

335 posts

Edgar Mkosamali banner
Edgar Mkosamali

Edgar Mkosamali

@EMkosamali

ACT Shadow Minister For Mineral Resource & Mining. Advocating for Better Policies that Will Impact Lives of Tanzanians From Godly Given Wealth

Singida Tanzania Katılım Mart 2022
155 Takip Edilen780 Takipçiler
Edgar Mkosamali retweetledi
Land Dwellers
Land Dwellers@Land_Dwellers·
ACT Wazalendo imelaani vikali kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Kanisa Katoliki Tanzania, Pardi Dkt. Charles Kitima lililotokea jana usiku eneo la Kurasini, Dar es Salaam. ACT Wazalendo pia imezitaka mamlaka husika kuchukua hatua ili kukomesha vitendo hivyo.
Land Dwellers tweet media
Indonesia
1
12
19
563
Edgar Mkosamali retweetledi
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Huyu ni nani? Maana naona amekamua kisawasawa!! Kawapa makavu
Indonesia
127
666
2K
85.7K
Edgar Mkosamali retweetledi
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Chama cha ACT Wazalendo kimeeleza kuwa kinamkumbuka Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis kama Kiongozi wa kiroho, mwenye utu, asiyejikweza na aliyeguswa na madhila na umaskini wa watu, akipenda kuona dunia ikichukua jitihada za makusudi kuondoa umaskini miongoni mwa jamii ya binadamu. Kiongozi wa Chama hicho Bi. Doroth Semu ameeleza kuwa @ACTwazalendo inamkumbuka Papa Francis kama kiongozi mnyenyekevu, aliyetumia muda wake mwingi kama kiongozi katika kutafuta haki na amani katika mataifa mbalimbali duniani hasa Afrika. "Uongozi wake ulijidhihirisha kuwa wa watu wote bila kujali mipaka ya imani, bali alitanguliza ubinadamu kwa watu wote." Imesema taarifa ya Kiongozi wa ACT Wazalendo. ACT Wazalendo imetoa pia pole kwa waumini wa kanisa katoliki Tanzania na kote duniani kwa msiba huo wa Papa Francis, wakieleza kuungana na wote walioguswa na msiba huo kumuombea kheri kwa Mwenyenzi Mungu aipokee roho yame na kuiwema mahali pema peponi
Jambo TV tweet media
Indonesia
8
23
167
11.6K
Edgar Mkosamali retweetledi
Wasemaji wa Kisekta
Wasemaji wa Kisekta@ACTBarazaKivuli·
Kuahirishwa kwa Mechi ya Simba na Yanga, Bodi ya Ligi Kuu Ijitafakari Uamuzi wa kamati ya uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) kuahirisha mchezo namba 184 kati ya Young Africans (Yanga SC) na Simba SC uliokuwa uchezwe tarehe 08 Machi 2025, haukuzingatia hasara mbalimbali zilizotokana na kuahirishwa kwa mchezo huo, ikiwemo nafasi ya mashabiki, wafanyabiashara, warusha matangazo, wapenzi wa soka, na maendeleo ya soka nchini kwa ujumla. Kwa mujibu wa Katiba ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ibara ya 55 (2) inatoa jukumu kwa Bodi ya Ligi kusimamia ligi kuu na kuhakikisha timu zinaheshimu sheria, kanuni na maamuzi ya TFF. Kanuni namba 15 (3) inasisitiza kuwa ratiba ya ligi itatangazwa na Bodi ya Ligi na itabadilishwa tu kwa dharura au sababu za msingi. Hata hivyo, Bodi ya Ligi imekuwa ikibadili ratiba mara kwa mara bila dharura wala sababu za msingi, jambo linalosababisha hasara kubwa kwa wadau. Kuahirishwa kwa mchezo kulitokana na madai ya timu ya Simba SC iliyozuiwa kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja kama kanuni na taratibu za mchezo wa Soka zinavyoeleza, aidha upande wa Yanga SC katika taarifa yake rasmi kwa umma ilieleza inatambua mechi ipo palepale na kwamba haitakuwa tayari kucheza mechi hiyo siku nyingine. ACT Wazalendo inaona mwenendo huu wa Bodi ya Ligi umejaa malalamiko kutoka kwa wadau wengi, kwa kuwa imekuwa ikiongozwa na utashi wa timu hizo za Kariakoo, jambo linaloharibu taswira ya ligi yetu, heshima ya Tanzania kisoka, na kuleta hasara kwa wadhamini, mashabiki na wafanyabiashara. ACT Wazalendo inaitaka Bodi ya Ligi iliyopo madarakani kujitafakari kama inafaa kuendelea kusimamia ligi kuu ya Tanzania au inapaswa kujiengua. Pili, ACT WazalendoTunaitaka Bodi ya Lingi kuendesha ligi kwa kuzingatia na kusimamia sheria na kanuni bila uonevu wala upendeleo kwa timu yoyote. Tatu, Bodi ya Ligi ichukue hatua za haraka na za haki kwa mujibu wa kanuni ya 31 (1.1 hadi 1.8), ikiwa ni pamoja na adhabu kama vile kupoteza ushindi, kushushwa madaraja mawili, kutozwa faini ya Milioni 3, na kutopata gawio la mchezo husika. Nne, TFF ifanye tathmini ya madhara yote yaliyotokana na kuhairishwa kwa mechi hii na waathirika wote walipwe fidia. Mwisho, ACT Wazalendo inataka kuona Mpira wa Tanzania unaendelea kukua, kupata heshima na kusaidia kukuza uchumi wa mtu mmojammoja, vilabu na Taifa kwa ujumla, hatutafumbia macho matukio yote yatakayohatarisha shabaha hiyo. Imetolewa na Ndg. @Monalisandala1 Naibu Waziri Kivuli wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. 09 Machi 2025. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote @SimbaSCTanzania @YoungAfricansSC @tplboard @Tanfootball @ACTwazalendo
Wasemaji wa Kisekta tweet mediaWasemaji wa Kisekta tweet media
Indonesia
0
8
20
912
Edgar Mkosamali retweetledi
Crown Media
Crown Media@CrownMediaTZ·
Ngome ya Wanawake ya ACT Wazalendo imempa tuzo ya heshima Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu Prof. Assad na Rais Mstaafu wa Chama cha Wanasheria Tanganyika Mstaafu Tanganyika (TLS) Fatma Karume kutokana na mchango wao kwenye kupigania haki, uwazi, uwajibikaji na usawa katika jamii. Tuzo hizo zimetolewa kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Crown Media tweet media
Indonesia
1
30
129
5.8K
Edgar Mkosamali retweetledi
Wasemaji wa Kisekta
Wasemaji wa Kisekta@ACTBarazaKivuli·
TUNATAKA UCHUNGUZI KUTEKWA KWA METHOD DAMIAN Huyu ndio Ndg. Method Damian Kumdyamka aliyetekwa tangu Februari 28, 2025 Sinza Dar es Salaam . Leo ni siku ya nne tangu atekwe hakuna hatua yoyote ya maana iliyochukuliwa na vyombo vya usalama. @tanpol wapo kimya, ndugu, jamaa na marafiki wanalia, hawajui wafanye nini. Waziri Kivuli wa ACT Wazalendo @hassandahlia7 ameonya kuwa Jeshi la Polisi linapaswa kutambua kuwa Watanzania hawatakubali kuishi kwa hofu kila uchao huku dola ikiendelea kuzembea kuwalinda au wao ndio wahusika? @ACTBarazaKivuli @zittokabwe @AdoShaibu @SemuDorothy @MchinjitaIR @MtuturaAbdallah
Wasemaji wa Kisekta tweet mediaWasemaji wa Kisekta tweet media
Indonesia
0
15
26
2.1K
Edgar Mkosamali retweetledi
Dotto Rangimoto
Dotto Rangimoto@JiniKinyonga·
Kiongozi wa Chama cha @ACTwazalendo, Ndugu, @SemuDorothy amefanya uteuzi wa Kamati ya Kuunda Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2025 1. @Immamvula-Mwenyekiti wa Kamati 2. @idrisa_kweweta -Katibu wa Kamati Wajumbe 1. Dkt. @DrBSanga 2. Prof. Omar Fakih 3. Mary Mongi 4. @AMtutura 5. @PavuAbdallah 6. Edgar Mkosamali 7. @abdulnondo2 8. @CornelySinta 9. @SeifhSuleiman 10. @ayo_shangwe 11. Humphrey Mrema 12. @Mbaralagande Sekretarieti ya Kamati 1. @Mshengahussein 2. @JasperKido 3. Jackline Prosper Ndonde 4. Said Mahalifa
Dotto Rangimoto tweet media
Indonesia
2
13
13
2.5K
Edgar Mkosamali retweetledi
Isihaka Mchinjita
Isihaka Mchinjita@MchinjitaIR·
Ninawatakia kila la kheri chama cha demokrasia na maendeleo @ChademaTz katika mkutano wao mkuu leo . Mkutano huu ni muhimu kwa ustawi wa chama hicho na mwenendo wa demokrasia nchini. Aidha mwenendo wa minyukano ya kisiasa miongoni mwa kambi kuu zinazowania nafasi ya kuongoza chama hiko unaweka rehani uwezo wa kufanya kazi pamoja baada ya uchaguzi. @ACTwazalendo imekuwa kimbilio mara zote kwa wahanga wa demokrasia . Tunawakaribisha wale wote wanao ona safari yao ya kidemokrasia inahitaji jukwaa jipya. Karibuni @ACTwazalendo yenye tunu ya uongozi wa pamoja, uwazi na mijadala ya masuala.
Indonesia
8
24
89
4.6K
Edgar Mkosamali retweetledi
Ismail Jussa
Ismail Jussa@IsmailJussa·
Bwamdogo anasema kila mwezi wanatenga shilingi bilioni 300 kwa ajili ya kulipia madeni. Hizo maana yake ni shilingi trilioni 3.6 kwa mwaka. Deni katwambia ni shilingi trilioni 1.2 tu. Sasa kama kweli anakusanya shilingi trilioni 3.6 kwa mwaka, hiyo mikopo ni ya nini tena? 🤣🤣🤣
Ismail Jussa tweet media
Indonesia
17
31
139
11.7K
Edgar Mkosamali retweetledi
TANGANYIKA
TANGANYIKA@freetanganyika·
@ExMayorUbungo Hakika No more silence Tanganyika is Bleeding
TANGANYIKA tweet media
Filipino
15
117
622
57.2K
Edgar Mkosamali retweetledi
Kassala
Kassala@Vicent_Kassala·
@ExMayorUbungo Ikiwa Serikali ya CCM haina majibu kuhusu utekaji na mauaji ya watu, Ikiwa Serikali ya CCM haichukui hatua dhidi ya utekaji na mauaji ya watu, Ikiwa imeshindwa kukomesha vitendo vya utekaji na mauaji ya watu, Maana yake Serikali ya CCM ndio mhusika mkuu wa vitendo hivyo.
Indonesia
0
1
6
1.4K
Edgar Mkosamali retweetledi
Boniface Jacob
Boniface Jacob@ExMayorUbungo·
Medy uliniambia nisiogope, na kwamba kila mtu ataonja mauti, lakini sikujua mwisho wako utakuwa wa namna hii.! Fikiria mdogo wako uliyekuwa naye na kuishi naye miaka 66 leo ameshindwa Kukutambua kwa kukutizama uso wako. Kama siyo ile alama yako ya mguuni huenda familia yako,ndugu zako na sisi marafiki zako tungekuacha ukazikwe na Jiji. Maharamia wamekuua kweli, wamekuumiza sana, Wamekushambulia sana, Wameharibu uso wako wote ambao mara zote ulijaa tabasamu. Hawakuridhika wakakumwagia tindikali ili Dunia isikutambue tena..! Sasa roho zao zimefurahi nafsi zao zimeridhika kukuona ukiwa mwili mtupu usio na pumzi,Hujawahi kuwatendea baya lolote,kosa lako ni kuwa mwanachama wa CHADEMA. Tutakutana tena Mbinguni Kamanda.
Boniface Jacob tweet media
Filipino
721
795
5.3K
384.6K
Edgar Mkosamali
Edgar Mkosamali@EMkosamali·
@AdoShaibu Tulia hawezi kuwa spika wa Bunge la wananchi Bali spika wa serikali..... Aliletwa na muhimili wa serikali kuja kilitawala Bunge kwa maslahi ya serikali. Hawezi kuwa spika wa maslahi ya umma abadani
Indonesia
0
1
0
136
Ado Shaibu
Ado Shaibu@AdoShaibu·
DK. TULIA UMETUANGUSHA WANAFUNZI WAKO Dk. Tulia ni Mwalimu wangu. UDSM alinifundisha Sheria za Mirathi (Probate and Admnistration of Estate). Ninachoweza kusema anavyopambana kuikingia kifua Serikali kwenye suala la utekaji badala ya kuiwajibisha; AMETUANGUSHA Wanafunzi wake. Mahusiano baina ya Mwalimu na Mwanafunzi ni ya kudumu. Hakuna linaloweza kuyabadili. Mwalimu ni Mwalimu milele na Mwanafunzi ni Mwanafunzi milele. Mara nyingi, walimu huwa na fahari wanafunzi wakipata mafanikio makubwa kwenye taaluma, kazi na masuala mengine ya kimaisha. Wanafunzi nao ni hivyohivyo, hufurahia mafanikio ya walimu wao. Kuchaguliwa kwa Spika Tulia kuwa Spika wa Bunge, wanafunzi wake wengi kulitupa furaha ambayo ingezidi maradufu kama angekuwa Spika wa viwango. Kwa kinachoendelea kwenye suala la utekaji, niseme bayana kuwa badala ya kutufanya wanafunzi wake tutembee kifua mbele, yeye amechagua kutuangusha. Rai yangu kwake; kama hajali kutimiza wajibu wa kikatiba na kisheria wa Bunge ambao ni kuisimamia na kuiwajibisha Serikali, basi angalau amuogope Mungu na kusimamia kiapo cha kazi yake!
Ado Shaibu tweet media
Indonesia
98
112
606
54.8K
Edgar Mkosamali retweetledi
Baba Mwita
Baba Mwita@BabaMwita·
Tuzungumzie suala la "KUFUATA MATAKWA YA SHERIA ZA NCHI". Barua hii ya ZUIO kwa ACT-Wazalendo, mmetumia sheria ipi? Au mtaikana si yenu? Maana, vifungu mnavyotakiwa kuvifuata katika kushughulika na mikutano ni; 43 - 46 vya Sheria ya Jeshi la Police, 11 (1) & 11(7) vya Sheria ya Vyama Vya Siasa na Katiba ib. 20(1). Sababu ya KUZUIA mkutano kwa "MAELEKEZO" imetamkwa kwenye kifungu kipi cha sheria? USHAURI: Ili kuondoa SINTOFAHAMU, next time muwe mnataja na kifungu cha sheria kinachowapa mamlaka ya kufanya maamuzi fulani. Vinginevyo, mnachokifanya ni SIASA, kitu ambacho askari amekatazwa KIKATIBA na kwenye PGO. Toeni HAKI SAWA kwa kuzingatia ib 13(1) ya Katiba ya nchi. Mwisho, kisheria hamna mamlaka ya kujihusisha na MIKUTANO YA NDANI. Tusiende huko. #BabaMwita 🎤
Baba Mwita tweet mediaBaba Mwita tweet media
Indonesia
11
43
195
12.1K
Edgar Mkosamali
Edgar Mkosamali@EMkosamali·
O )lwl)),l L)2,ow )lw2)lo })wwl 9l O
HT
0
0
1
32
Edgar Mkosamali retweetledi
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Padri Dkt. Charles Kitima ametoa wito kwa serikali kupitia TAMISEMI (Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) ambao ndio wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika baadaye mwaka huu kuhakikisha yale yote yaliyojitokeza kwenye uchaguzi kama huo mwaka 2019 hayajirudii tena kwa kuwa kwa kiasi kikubwa uchaguzi huo ulirudisha nyuma nguvu ya demokrasia nchini Padri Dkt. Kitima ametoa rai hiyo wakati alipofanya mahojiano maalum na Jambo TV hivi karibuni
Indonesia
52
172
592
55.5K