Ila kuna watu wanapata fursa wanazichezea aisee, pisi kama hi inakuja kukaa karibu yako halafu unakuwa bize na simu kweli!! 😂
#Mallessa's
Makongolosi || Dar-es-Salaam
Kila siku 🔥
@mallessa_luxury naomba namba ya hostess nimsalimu
Ndege ndogo ya abiria imedondoka Kusini - Magharibi mwa mji wa Juba nchini Sudani Kusini na kuua watu 15 waliokuwa ndani yake.
Kwa mujibu wa mamlaka ya usafiri wa anga ya nchi hiyo (SSCAA) ndege hiyo imeanguka umbali wa kilometa 20 kutoka Juba Jumatatu asubuhi.
@nooyary@FestoKyando94 Mimi hoja yangu ni kuwa tulijiandaa na huu utaratibu..,Mamlaka husika zinafanya homework zao ipasvyo..
Kumbuka usiku hakuna Speed Camera.,kwahiyo dereva tu maamuzi yake.
Uendeshaji wa Usiku na Daylight una utofauti mkubwa sana
@barackmtulo@EngMapundajr Kwani mchan hakuna ajal ulishawah endesha Gari usiku alaf barabarab iwe mbovu na ulishawah endesha Gari mchan alaf ukute barabar mbovu ukishajib ndio toa maelezo ya utofauti wa hii hali
Mwaka 2017 aliyekuwa mfanyabiahsra maarufu wa Tanzania na kiongozi wa ‘Freemason’ Afrika Mashariki, Jayantilal Keshavji “Andy” Chande amefariki dunia huko Nairobi nchini Kenya.
Jayantilal Keshavji “Andy” Chande alizaliwa May 7, 1928 Mombasa Kenya, na wakati wa utoto wake aliishi Bukene mkoani Tabora ambako ndiko alikopata elimu yake ya msingi.
Elimu yake ya sekondari aliipata katika Shule ya St. Peter’s School iliyoko Panchgani, walaya ya Satara, Jimbo la Maharashtra nchini India. Baada ya kufanya vizuri katika mitihani yake ndipo alipopata jina jipya la ‘Andy’ ambalo ndilo alikuwa akilitumia mpaka mauti yalipomkuta.
Baada ya kumaliza masomo yake, alirudi nchini Tanzania na kuendelea kumsaidia baba yake katika shughuli za kibiashara.
Mnamo mwaka 1967 wakati azimio la Arusha lilipopitisha sera ya utaifishaji, mali nyingi zilitaifishwa na kuwa za serikali. Ujuzi aliokuwa nao Andy ulimfanya Mwl. Nyerere amteue kuwa Meneja Mkuu wa Shirika la Taifa la kuhifadhi nafaka (National Milling Corporation)
Mpaka kufikia mwaka 2015 alikwa na utajiri wa dola za kimarekani milioni 892 sawa na TZS trilioni 1.9.
Wakati wa uhai wake amewahi kupokea tuzo mbalimbali ikiwemo ya (Knight Commander of the Most Excellent Order of the British Empire) KBE mwaka 2003 ambayo ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kupewa raia wa Tanzania.
FOLLOW ME @SwahiliRealTalk kwa historia nyingi zaidi
@GilbertPaul095@Adventure_36 Mpenja hastaili hata kufunga gidamu za viatu vya nazareti upete basi tu dogo Bado hajakuwa ana vinyege kiherehere anagombana kwenye bao la asubuhi
Kwanini huyu dogo amejikuta akichukiwa na wapenda mziki na burudani mfano watoto wa singeli ndio hawampendi kabisa, kupenda sifa na kujiona kamaliza ajila yenyewe nasikia aliomba kwa kulia lia pale aache sifa rich msafi😂👇