@EngMapundajr@FestoKyando94 Bro hayo ni mawazo yako lakini ajali sio sababu ya kusimamisha safari za usiku zina umuhimu mkubwa kwenye uchumi na ukuaji wa wafanya biashara
@FestoKyando94 Hilo tatizo la miundo mbinu linatosha kabisa kupiga stop safari za usiku..,Unakaza shingo tatizo ni miundo mbinu na bado unataka kwa mindo mbinu hiyo hiyo ambayo unaona ina tatizo ni sawa kwa Busses kusafiri 24hrs...,
Umewahi kuendesha gari usiku kwanza.?
The price of calculators is increasing in some countries. 😂
Some fans need it to start their calculations and know if they’ll qualify for the quarterfinals or not. 😬
#cafclwithmicky#cafccwithmicky
🗣️ “Euro 100 milioni kwa ajili ya Declan Rice. Anafanya nini (uwanjani)? Anakuja kupokea mpira ili tu amrudishie pasi ya nyuma John Stones. Hana umuhimu wowote (kwenye timu). Kama wewe kweli una thamani ya Euro 100 milioni, unapaswa kuwa na uwezo wa kupeleka mpira mbele,” kauli ya gwiji wa Tottenham, Rafael Van der Vaart, akimchana staa huyo wa England na Arsenal.
🚨Driving and Drinking is not safe kabisa, I just saw this Video and i had to Share it here..
.
Though binafsi sija confim kama Jamaa alikua mtungi kweli au alipigwa Kiharusi..
.
Maana miaka ya nyuma kidogo kuna mwamba alipigwa kiharusi barabarani kwenye steering ikawa balaa..
.
Anyway what i wanted to share with you kama unatumia Kilevi na una chombo cha moto kuwa makini..
.
Yani kama unajiona kabisa maji yakishazidi unga hauna control wewe kutoa boko ni kawaida kuwa makini..
.
Mtungi unaweza kuwa unakupa confidence kwamba unaweza kumudu chombo kumbe ni Mungu anakulinda ujifunze..
.
Haya mafundisho nayo huwa yana muda shule ikiisha unaweza kuachwa ujifunze the hardway ikawa balaa..
.
Hata pia inaweza isiwe balaa kwako ila sababu ya kilevi ukaweletea balaa wengine..
.
Sasa jitathimini kama unalimudu game endelea, kama game linakumudu acha chuma home..
.
Kazi kwako, na naambiwa imetokea Kimara Suka mwenye taarifa zaidi anaweza share..
.
Matukio kama haya huwa ni mafundisho pia, so unaweza jifunza kitu hapa..