Asaph Simeone 𓃵

5.1K posts

Asaph Simeone 𓃵 banner
Asaph Simeone 𓃵

Asaph Simeone 𓃵

@Grandma5ta

Son| Brother| Father| Believer| Banker | Entrepreneur| Citizen.

Tanganyika Katılım Kasım 2016
852 Takip Edilen859 Takipçiler
Richie Rich
Richie Rich@gofishh77·
While I do believe in dinosaurs this entire meme has me questioning things.
Richie Rich tweet media
English
1.3K
2K
27.3K
5.2M
Tanzania Footballers Abroad 🇹🇿
Inakuaje mpaka mtu anasema ile Happy Ya La masimba dangote ni Nyimbo Kali? Anyway Leo Stars anacheza lolote liwakute nishawachoka mimi 🚮
Indonesia
4
0
44
1.3K
richardfutbal
richardfutbal@richardfutbal·
GOL GOL GOL GOL GOL!!!!!!!!!!!!! !!!! Liechtenstein 🇱🇮 wanatangulia mbele ya Taifa Stars 🥶😅 🚩 Tanzania 🇹🇿 0-1 🇱🇮 Liechtenstein
richardfutbal tweet media
CY
3
0
65
2.7K
Done Somen
Done Somen@DoneSome18·
5B3HWE Wakuu huu mzigo naona umenyooka sana ila kama una moyo mwepesi mtoe wolves lakini mie namuona anashinda pia waweza kuitoa hiyo droo ya wa argentina. Zitakazobaki nadhani sio chini ya odds 600
Filipino
23
16
232
19K
L
L@Kikare_·
@son_noeli Hao sio wabongo!. Kwanza mstari wa katikati ya lami bongo ni mweupe na sio njano!.
HT
1
0
0
587
Heis_
Heis_@son_noeli·
Mademu. Mademu Waliosoma. Wasiosoma
Heis_ tweet mediaHeis_ tweet media
Indonesia
15
25
241
24K
Asaph Simeone 𓃵
Asaph Simeone 𓃵@Grandma5ta·
@Samalentips Failed fake punters mnatoka povu la maana, acha aendelee kubahatisha hivyo hivyo we baki na uchambuzi wako tuone nani anaboom
हिन्दी
0
0
0
66
Samalen Tips🤴🫆
Samalen Tips🤴🫆@Samalentips·
Leo ndio nimeamini ulishindaje milioni 100 🤣🤣 odds zako za kubahatisha sana yani huna tofauti na wale majamaa wanaobet mia washinde milioni 100 haufanyi uchambuzi unatembelea upepo na bahati alafu ndio ulikuwa unawasema wengine 🤣🤣
Samalen Tips🤴🫆 tweet media
Done Somen@DoneSome18

6X9HXB

54
5
87
22.1K
Done Somen
Done Somen@DoneSome18·
640XSR Tumia hii code kwa fedha ambayo uko tayari kuipoteza
Filipino
47
26
276
49K
Done Somen
Done Somen@DoneSome18·
Guys let me be honest with U, nilichojifunza humu kuna watu wanajua kukatisha sana tamaa aloo dah. Wakati flani Nilikutana na Mwanangu sana @MathiasMashaur7 katika pita pita zangu za humu, siku hiyo nilimjibu kimasikhara tu kama nilivyomjibu @Sativa255 ila jamaa haku catch wala nini ndio kwanza akanitambulisha kwa familia na kunipa moyo kuwa naweza. Nilipata kujiamini kupita maelezo kupitia mwanangu Mashauri. Nilikaa nikajiuliza kumbe naweza eeeh! Basi nikatupia mikeka kadhaa mmoja ukakubali nikasherekea na familia ndogo niliyokuwa nayo, baada ya hapo tukapitia kipindi kigumu cha 1 cut kila mara. Aise asikwambie mtu people zilikuja inbox kunikatisha tamaa sio poa. Wengine in public wakiniita tapeli na sijawahi chukua senti ya mtu. Nilijipa majibu ya haraka haraka kuwa inawezekana nimewaingiza hasara watu wengi sana waliokuwa wakifatilia odds ninazoweka. Nilivaa viatu vyao na kugundua kwa mtu asiye na mtaji wa uhakika ina maumivu sana. Nilipunguza sana kuweka odds humu kwa kweli ili nisiendelee kuwapa hasara. Leo watu wale wale nawajua kwa handle zao naona wananilaumu kwa kushinda bila kuwapa odds Ni kweli nilianza kushare odds na watu wachache inbox na mara chache nikatupia humu, namshukuru Mungu awamu hii nilitokea kushinda kupita maelezo mpaka nilijishangaa. Ila nilikuwa mnyonge sana vile sikuweza kushinda na watu wengi kama ambavyo ningetamani. This time narudi kiimani zaidi. Nitashinda na familia na wakati huu utakuwa ni ushindi mzito zaidi. Tusiache kujaribu
Done Somen tweet mediaDone Somen tweet mediaDone Somen tweet mediaDone Somen tweet media
Indonesia
113
96
645
173.7K
Done Somen
Done Somen@DoneSome18·
@Grandma5ta @Thereal_taivina @Sativa255 Kaka mnisamehe, nitarudi tena nikipata kibali, haya mambo kuna wakati inalazimu kuyaweka kiimani, kwani ukishinda inakuwa ni baraka kubwa sana kwa wanaokuzunguka. Ila unaposhindwa na kuliwa ndipo inaitwa dhambi
Filipino
1
0
6
1.1K
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Ndio Ndio Kmmmmk 🔥🔥🔥🔥
Filipino
20
47
553
31.5K
Geoffrey Lea
Geoffrey Lea@Geoffrey87Lea·
Thieves feel more pain when they become victims of the same theft they do unto others
Geoffrey Lea tweet media
English
11
23
240
4.8K
Asaph Simeone 𓃵
Asaph Simeone 𓃵@Grandma5ta·
@_bli4 Ukiuambia mti kuwa unaweza kutoka sehemu ulipo uka occupy another space hautakuamini kwasababu hauna hiyo capacity, same about time… kama huna capacity hautaamini kwamba time travel inawezekana! Kwako itabaki kuwa myth
Filipino
1
0
1
297
Bob Kipara
Bob Kipara@_bli4·
Hivi kuna ukweli wa Time Travel?!!👀 Maana uwasilishwaji wake kwenye Movies and Series huwa unagusa akili like real facts😃 DARK series🔥🙌
Bob Kipara tweet media
Filipino
20
6
100
5.6K
Asaph Simeone 𓃵 retweetledi
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Mex Cortez mbaya sana sio Kiswahili wala Kingereza.
Indonesia
11
9
197
9.1K
Futbal Planet ✴️
Futbal Planet ✴️@PlanetFutbal·
🚨Miezi ya hivi karibuni Pitch ya Uwanja wa Benjamin Mkapa itaondolewa na kuwekwa nyingine iliyo bora zaidi ikiwa ni muendelezo wa ukarabati na maboresho Makubwa Katika Uwanja wa huo Benjamin Mkapa ni moja ya Viwanja vitakavyo tumika Katika michuano ya AFCON 2027.
Futbal Planet ✴️ tweet mediaFutbal Planet ✴️ tweet media
Indonesia
29
9
228
12K
Asaph Simeone 𓃵 retweetledi
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
Tujitafakari kwa msaada wa SOCRATES wa Tanzania kwa kumsoma na kumsikiliza. ANAANDIKA ASKOFU BAGONZA NADHANI TUNAJICHANGANYA?! Au ni Mimi Najichanganya?! 1. SAFARI YA VATICAN Tungepatana nyumbani kwanza na wawakilishi wa Papa kabla ya kwenda kwa Papa. Tumempiga Padre wake; Tumetengeneza Wakatoliki Vijora; Tunamdhalilisha Kitima, halafu tunaenda kwa Papa. Hatari ipo ya kuambiwa, “Kama hamkumsikiliza Musa na Manabii, hamtaweza kushawishika hata mtu akifufuka”(Luka 16:31). Patana na mshtaki wako kabla ya kwenda kwa Kadhi. 2. MABEBERU: Tumezoea kuzizodoa nchi za Ulaya kuwa ni mabeberu. Vatican iko Ulaya. Je, Hata Papa ni Beberu? Naye anataka kuchimba Uranium yetu? 3. AMANI YA NCHI Wizara ya Mambo ya Nje inamuomba Papa aiombee nchi yetu iwe na Amani na Utulivu. Wizara ya Mambo ya Ndani inasema nchi iko salama imetulia. Hawawasiliani? Nani msemaji wa nchi? 4.MARIDHIANO Wazee wa Chama wanataka Maridhiano. Bunge linasema nchi iko sawa. Tume iko kazini kuchunguza. Nani mkweli? Je kuna ukweli tusioujua hadi tuumulike kwa tochi ya Tume? Je tunataka maridhiano kabla ya ukweli? 5. CHADEMA na CCM Wapo wanaosema Chadema Imekufa lakini wanaisema kila siku. Huyu ni marehemu mwenye nguvu. Makada wa CCM wanasema CCM tunatamba nayo. Ukiiangalia unaiona ni mfungwa asiye na pingu. Nani zaidi kati ya marehemu anayeishi na aliye hai lakini amekufa? 6. YALIYOTOKEA OKTOBA 29 Siku hii inatusumbua mpaka tunaenda Vatican. Bado kwenda Mecca. Kama waliokufa hawajulikani; waliowaua wanajijua. Dunia inajua makundi yote mawili. Hekima ya WAJALUO inasema, “kuchelewa kwenda kujisaidia, hakuzuii njaa kuuma”. Tukubali: Tuliua, Walikufa; tuombe radhi, tuwajibishane na kusonga mbele. 7. TUNDU LISU Waliompiga risasi hawajapatikana lakini walioiba michango yake wamekamatwa. Yeye yuko rumande. Mahakama imeenda likizo na haki yake iko likizo. Fikiria daktari akienda kupumzika katikati ya operesheni mgonjwa?! 8. WIZARA YA MAMBO YA NJE Hii Wizara inaonyesha tuko vitani. Kimsingi ina mawaziri 4: Kombo, Kabudi, Nyalandu na JK. Msiniulize JK ni nani maana mtamuona anatumwa katika masuala magumu nje. Waliobaki 3 na manaibu 2, wanaunda kikosi kazi cha mawaziri wa wizara. Msiniulize nani ni Boss maana Kabudi anaweza kujikuta ni Naibu Waziri. TUNAJIKANYAGA MNO. 9. Taifa likiwa katika mtifuano kama tulio nao, linakuwa kama mgonjwa. Hawezi kwenda kwa daktari akagoma kuvua nguo. Tuvue zote na madaktari watuingizie vidole kila mahali ili kubaini ugonjwa ulipo ndipo tutibiwe. Wajaluo wakibanwa TEZI DUME husingizia wanaumwa kichwa. Sasa Wajaluo wa TEZI JIKE hao usiseme!
Indonesia
68
442
1.6K
54K
Asaph Simeone 𓃵 retweetledi
TobyWrites
TobyWrites@tobyasky·
Cheated Mali Cheated Tanzania Cheated Cameroon Cheated Nigeria Cheated Senegal. Still lost the AFCON. God is great!
English
248
11.1K
61.8K
496.7K