Without God, I'm NOTHING.
SEMA NA MIMI
#DReamBIG
@SimbaScTanzania
@mancity
@realmadrid
@masandawana
|Wakuabudiwa is a forever blessing @shushochristina
@Kassa_Chiddy@eastafricatv Usihukumu dunia ina mengi hii. Mpaka sasa hakuna anaejua kama ni kweli kabaka au kasingiziwa. Ukweli wanaujua wenyewe. Tubaki na picha ya juu kusimama katikati na penye uwezo wa kumsaidia kwa mali au hali ama maombi na afanye hivyo.
Msanii #HBaba amewaomba wasanii wengine 20 kutoa Milioni moja moja kwa kila mmoja wao ili kumchangia #Matonya ambaye amekamatwa Mombasa Kenya kwa tuhuma za Ubakaji.
"Niwaombe viongozi na ngazi za juu tuangalie namna yakumsaidia ndugu yetu Matonya Mapungufu kwa mwanadamu nikawaida hakuna mkamilifu chini ya jua kukosea ndio kujifunza"
"Mashabiki, wasanii, wadau wa sanaa msikae kimya, wakati wa furaha tulifurahi tamoja matatizo mnakausha sio poa leo kwake kesho sisi. Wasanii 20 tutoe milioni moja moja tupo wengi"
Lengo la kupatikana kwa pesa hizo ni zitumike kama dhamana ya msanii Matonya.
#EastAfricaTV#TogetherTunawakilisha
Dogo kafeli kidato,kamwambia bi mkubwa me kusoma sielewi,me napenda u dj ,kule kwetu ule u dj wa vigodolo na shughuli zetu waswahili,kwakuwa mzee wake alikuwa askari magereza na ameshafariki na yy alipata ka mgao kake.wakanunua mziki full(mnaelewa wenyewe)akanunua na genereta.
🚨🗣️ 𝗡𝗘𝗪: Pep Guardiola on Dominik Szoboszlai's red card / Cherki's disallowed goal:
"Common sense, no?! We won the game, and now Szoboszlai cannot play as he is suspended. I know he pulled Haaland..."
"But, how many pulls there are in a game that referees say, 'Play on, play on, play on!"
"In this country, inthis league, it's ALWAYS been like that... 'Play on, play on!'. So just give a goal, 1-3, Szoboszlai can play, and we are happy!"
@chapo255 Kwa hiyo Hizi Ma.....o Yake
01 Hao, 2005
02.Stimu Zimelipiwa - 2009
03.Kiwembe ft Jide 2020
04.Niaje Nivipi 2008
05.Karibu Tena 2014
06.Muda 2007
08.Dakika 90 ,2008
09.Matawi Haya Ft Qj & Rama D
10.Zamu yangu 2007
11.Kila wakati ft Bushoke 2011
12.Ulimwengu wawapendano ft Enika
Kwenye kikosi cha Serengeti Boys kilichopo Morocco kuna mshambuliaji wa kati anaitwa Juma Mwita Sangwe. Bwana mdogo ana vitu vitakavyomfanya mawakala wamtazame kwa umakini ameenda hewani, ana uwezo wa kuwapunguza mabeki kwa kasi na kufunga.
@NYABANGE1@leotena111@HermanRaphael7@fbuyobe Sometimes wanaswekwa ndani kwa usalama wao pia maana revenge ya upande wa ndugu ama marafiki wa alieuawa inaweza kuwa ni kifo vile vile kwa muuaji.
@leotena111@HermanRaphael7@fbuyobe Tukirefer kesi ya mzee alohukumiwa juzi ya kuua bila kukusudia kisa Deni la 2000 amehukumiwa miaka 4 tu ko nadhani huwa inategemea lakini haiwi mingi.
@Geoffrey87Lea nyie ndio mnawaendekeza simba...yaani kisa nini mechi isichezwe?....mewadekeza kwenye penati za mchongo sasaivi mnataka wakimbie wapate point 3...mechi lazima ichezwe kesho
@JosipGiuseppe@Watu_Mikeka Keki ni kubwa sana ...leta idea boss ukihitaji mchango wa mtaji weka proposal iliyonyooka tu kuna watu wanahela hawajui pa kuziweka watakufikia.
Weka idea boss watu waishi,.
Je, ukipewa Tshs 500,000 unaweza kufanya biashara gani ambayo itakuingizia faida ya Tshs 10,000 hadi Tshs 15,000 kwa siku.
Watu wawili wenye mawazo mazuri ya kibiashara wataondoka na 500,000 kila mmoja. Weka wazo kisha Retweet hii post.
@Wakazi Dizasta sets high bars to all musicians with different genres on how album should be ALBUM not just a compilation of songs.
VINA is a legend. I rank him on top of all new generation musicians especially HIP HOP HEADS.
1. The verteller
2. A father Figure
Humuelewi Dizasta, unafata mkumbo tu, Huwezi kusema unamuelewa Dizasta, alafu usiwaelewi kina Freshlikeuhhh, Mex, Wakazi, Fred Mulla, wakati basically wanafanya kitu kile kile; bilingual, technical, knowledge based, educational bars.
Ni kama ambavyo humuelewi Fid Q unafata mkumbo tu
Roma na Ney wa Mitego sio wa kuwa mention kwenye high level technical skills talk. Waongelee kwenye department zingine
@SimbaSCTanzania Waambieni wachezaji wetu WAKAZE, washambuliaji wawe very clinical kwenye umaliziaji. Tunapoteza nafasi nyingi sana kufunga sababu ya uzembe mnaleta madoido ya pasi nyingi sehemu ya ku shoot. @moodewji ongea na bench na wachezaji, ubingwa uje @Hussein15Mo