Jonas

17.9K posts

Jonas banner
Jonas

Jonas

@Jonas2553

Equally

Mombasa, Kenya Katılım Mayıs 2021
3.6K Takip Edilen1.6K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Jonas
Jonas@Jonas2553·
Nashukuru mungu Leo mke wangu amejifungua salama,Tumepata mtoto wa KIUME . Kwaheshima zote na nimeamua kumpa jina la mtu anaenikoshaga sana naye ni @godbless_lema ,Kwahiyo mtoto wangu anaitwa #GODBLESS_JONASA
Indonesia
37
41
399
0
Jonas retweetledi
Benjamin Netanyahu - בנימין נתניהו
נפרדנו אתמול מראש המוסד היוצא דדי ברנע. המחיר שאיראן כבר שילמה הוא כבד מאוד. היסודות של משטר-האימים הזה באיראן נסדקו. הוא לא ישוב להיות מה שהיה, ואני אומר לכם - סופו ליפול. בשמי, בשם העם כולו, באתי לומר לדדי - תודה. תודה על 30 שנים של שירות מסור במוסד ותודה מיוחדת על השנים האחרונות, שהניבו הצלחות והישגים בולטים לטובת ביטחון ישראל.
Benjamin Netanyahu - בנימין נתניהו tweet media
עברית
675
882
5.5K
139.4K
Jonas retweetledi
Brenda Rupia Jonas
Brenda Rupia Jonas@BrendaRupia·
Safari hii ya Ndugu Samia kwenda Russia inapaswa kutazamwa kwa umakini mkubwa kwa maslahi na ustawi wa Taifa letu. Tujikumbushe historia ya namna Vladimir Putin aliingia madarakani na mfumo wa uongozi uliojengeka nchini Russia. Je, Russia ni taifa linalojengwa juu ya misingi ya demokrasia ya kweli, au ni taifa ambalo limekuwa likitawaliwa kwa mkono wa chuma na mamlaka makubwa ya dola? Si kwa bahati mbaya kwamba marais waliotangulia hawakuweka kipaumbele kikubwa katika kujenga ushirika wa karibu na Russia. Walitambua tofauti za msingi zilizopo kati ya mfumo wa kidemokrasia na mifumo inayopunguza uhuru wa kisiasa. Ukweli ni kwamba Ndugu Samia anaonekana kutafuta ushirikiano na mataifa ambayo hayatoi uzito mkubwa kwa masuala ya demokrasia, uwajibikaji na haki za binadamu. Wakati Marekani na Umoja wa Ulaya (EU) wakisisitiza uwajibikaji wa matukio ya Oktoba 29, yeye anaonekana kuelekeza nguvu zake katika kuimarisha mahusiano na China, U.A.E., na sasa Russia. Wananchi tunapaswa kuwa rada, kufuatilia kwa karibu mwenendo huu na kukataa kupelekeshwa kidictator na kupelekwa kwenye mfumo wa uongozi ambao tuliukataa. Tunapaswa kusimama kidete katika kutetea demokrasia, haki na utawala wa sheria. Tuendelee kukiunga mkono Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia namba 0744 446969, jina: Chadema HQ. #TunawatuTutashinda #OperesheniKatibaMpya #FreeTunduALissu
Brenda Rupia Jonas tweet mediaBrenda Rupia Jonas tweet media
Indonesia
68
106
461
21.8K
Jonas retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Wanawake wa nguvu wakiwasha Moto Mpanda Mjini leo. Mh. Rhoda Kunchela - Mwenyekiti CHADEMA Mkoa wa Katavi na Mh Aida Khenani - Mwenyekiti Bawacha Mkoa wa Rukwa Wanawake wa nguvu.
Godbless E.J. Lema tweet mediaGodbless E.J. Lema tweet mediaGodbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
9
156
1K
14.3K
Jonas retweetledi
Mossad Commentary
Mossad Commentary@MOSSADil·
🚨 GAZA UPDATE Two terrorists were killed and 25 others wounded yesterday in an Israeli helicopter strike targeting a café near Gaza City’s port. The two killed were identified as Mohammad Abu Warda, deputy chairman of the student council at Hamas’s Islamic University, and Mohammad Tanbura.
Mossad Commentary tweet media
English
119
598
3K
24.1K
Jonas retweetledi
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
VIDEO Mpya mauaji OCTOBER 29 inasikitisha sana haya mambo hayawezi KUISHA bila UWAJIBIKAJI. Dear GOD 😭😭😭😭😭🙏
Indonesia
12
81
175
7.1K
Jonas retweetledi
Mchokozi !!
Mchokozi !!@OleMtetezi·
Jeshi La Polisi Usiku Wa Kuamkia Leo Saa Nane Lilivamia Nyumbani Kwa Yoram Mbyella Kwa Kosa La Kuchapisha T-shirt Zenye Maneno “FREE TUNDU LISSU” Walipomkosa Wakaondoka Na Nguo, T-shirt Na Bendera Za CHADEMA Hivi Unaendaje Kwa Mtu Saa 8 Usiku Kisa T-shirt? Polisi Akili Wanazo?
Indonesia
5
67
428
9K
Jonas retweetledi
Fabrizio Romano
Fabrizio Romano@FabrizioRomano·
🔴🔵🏆🏆 Paris Saint-Germain lift the Champions League trophy… again! ✨👏🏼
Fabrizio Romano tweet media
English
1.8K
5.7K
58.6K
1.2M
Jonas retweetledi
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
Nani mwenye hekima amnyang'anye Kalamu Naibu msajili wa vyama vya Siasa? Mimi siyo Muumini wa dhihaka na Matusi. Lakini hata kwa akili za kuvukia barabara tuu huwezi kunishawishi kwamba Kauli hii ni dhihaka. Na wala siyo ya kashfa ,Tusi na haijavunja Sheria wala Maadili yeyote mbele ya watu wenye akili timamu. Nimeshauri na ninarejea kushauri ile ofisi imeacha kazi zake za Msimgi na wamejitwika jukumu la udhibiti maoni.Nashauri tena kwa maslahi mapana ya Taifa ifutwe haraka. BAK Mwabukusi.
Boniface Mwabukusi tweet media
Indonesia
48
238
889
35.9K
Jonas retweetledi
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Nyie wenyewe AMUENI hapo 👇, kati ya MAHAKAMA na MSAJILI, nani ni MKUBWA? Nani ANAMDHARAU mwenzake?😂😂😂
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
27
103
487
18.3K
Jonas retweetledi
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Moja ya kitu kinaninyima usingizi recently ni hili swala la wanaharakati kuwa wanalipwa!! (Kama ni kweli)🤔 Hizo taasisi au watu binafsi wanaolipa wanaharakati, huwa wanatazama vigezo gani kukulipa? Influence? au Numbers (Followers) au uwezo wa kuongea na kuandika au engagement ya social media au nini? Binafsi nimeanza hii course ya harakati tokea siku namaliza form six na kutoa wimbo wangu wa kwanza Tanzania (2007) nikiwa very young! Hadi leo nina Teremsha bunduki 2026! Miaka 19 kwenye hizi harakati NA SIJAWAHI KUPEWA HATA SHING 10 TOKA KWENYE HIZO TAASISI!! WALA KULIPWA NA MTU BINAFSI ILI NIFANYE HIKI NINACHOKIFANYA!! Na kuna muda unakuwa na uhitaji haswa, tena sometimes ni uhitaji wa kufanya projects hizi hizi za kusaidia hizi harakati….. you just end up using your own pocket money!! Kwenye hizi harakati nakutana na challenge nyingi, nakosa opportunities na michongo kwasababu naonekana niko against na gavoo na kuna muda napoteza hata kidogo nilichobakiza!! Nabaki empty hadi familia inakwambia si utemane na hizo mbanga……nawajibu I WAS BORN TO DO THIS!! Ni kama roho/nafsi inakataa ku-give up!! Tunafanya haya kwa passion, kuna a driving force tu inatusukuma kutetea, kukemea, kushauri na kupaza sauti tunapoona haki inakosekana, maendeleo hakuna, rushwa na ufisadi kwa viongozi vinakithiri, umasikini unazidi kwetu sisi raia, uongozi na utawala mbovu, shida za ajira na miundo mbinu, watu kutekwa, kufungwa na kuuliwa bila hatia na kucreate awareness kwa raia kuhusu issue za kisiasa na kijamii etc. Nikisikia mtu anasema kuyafanya hayo ni unalipwa…..nawaza nakosa majibu!! Wanatumia vigezo gani kukulipa? Hebu mtu anieleweshe pengine napishanaga na gari la mshahara!! Followers ninao (1.3M) influence pia si haba nikitoa miwa inapokelewa mtaani!! MBONA MIMI SILIPWI? Nways tusiache hizi harakati hata kama hazitupi pesa kwa sasa, faida yake mbeleni ni kubwa zaidi kwa nchi nzima na vizazi vijavyo!! Kama nimeandika kwa hisia sana ee?😁
Indonesia
102
264
1.4K
157.8K
Jonas retweetledi
Rugemeleza Nshala
Rugemeleza Nshala@rugemeleza·
Maombi ya Kesi ya Mapitio ya DPP v. Tundu Antiphas Lissu yatasikilizwa mnamo tarehe 11 Juni 2026 na Jopo la Majaji wa Mahakama ya Rufaa (Mwarija, Muruke & Khamis) jijini Dar es Salaam. The Revision Application by the DPP v. Tundu Antiphas Lissu at the Court of Appeal of Tanzania,arising out of the treason case against him at the High Court of Tanzania, will be heard on the 11th of June 2026 by a panel of three justices of appeal(Mwarija, Muruke, &Khamis) in Dar es Salaam.
Rugemeleza Nshala tweet media
Indonesia
21
189
577
19.4K
Jonas retweetledi
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Kama Polisi WANAHUSIKA au HAWAHUSIKI, mtachagua wenyewe, kati ya CHANDE au KOMBO, nani ni MUONGO?😂😂😂
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
82
199
1.3K
33K
Jonas retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28, 2026 imeifuta rasmi na kuiondoa mahakamani hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na kiumbe aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Said Issa Mohammed na wenzake dhidi ya bodi ya wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA, iliyokuwa inahusu usawa katika mgawanyo wa mali za chama kati ya Tanganyika na Zanzibar. NB; Kesi hii ndiyo MaCCM waliotumia kuzuia shughuli za CHADEMA kwa siku 310.
Indonesia
42
247
1.2K
31K
Jonas retweetledi
Israel Defense Forces
🔴ELIMINATED: Ihab Khrizim, the head of a central Hamas funds transfer network in Khan Yunis, southern Gaza. Khrizim was responsible for managing the transfer of millions of dollars to Hamas’ military wing. His activities enabled Hamas to execute imminent attacks against IDF troops & Israeli civilians. Additionally, Mohammed al-Habash, a unit commander in Hamas’ production HQ’s was also eliminated during the strike.
English
125
361
2.3K
68.1K
Jonas retweetledi
MWANAMAPINDUZI
MWANAMAPINDUZI@MachumuKadutu·
URAFIKI WA ASKOFU MWANAMAPINDUZI NA TUNDU LISSU PART 3 "......Baada ya kununua mafuta tukasema lazima kuna figisu na kuna jambo wamepanga (japo hatukujua wameweka mtego gani wa kutuzuia tusiende Ngorongoro baada ya ku-solve issue ya mafuta!? Sisi tukaanza safari kama Kilometa 20 hivi, ghafla alitokea Ng'ombe barabarani anailenga gari ya Lissu na dereva alikuwa Djumbe nami nikiwa nyuma na dereva wangu, Djumbe akamkwepa kidogo pembeni,dereva wangu akamvamia yule Ng'ombe na Ng'ombe akafa pale pale. Gari yangu mbele ikaharibika sana na hapo tuna bahati nzuri kwa sababu gari yangu ni nzito kidogo, bila hivyo tungepata madhara makubwa zaidi. Baada ya muda kidogo wakaja maafisa polisi wakaichukua gari yangu nami nikaendelea na msafara lakini kufika mbele tunaambiwa hatuna kibali lakini Lissu akaniambia 'Baba Askofu,tunaenda Ngorongoro'. Ndio maana nasema hii spirit ya Lissu kulazimisha vitu ndiyo inayowatisha CCM" - Askofu Mwanamapinduzi #FreeTunduLissuNow
MWANAMAPINDUZI tweet media
Indonesia
3
43
258
8.4K