Ngonge Jr

28 posts

Ngonge Jr banner
Ngonge Jr

Ngonge Jr

@JosephNgonge

~never say never.

Dar es salaam Katılım Nisan 2023
90 Takip Edilen9 Takipçiler
Comrade Ntiboneka Kaseka
Comrade Ntiboneka Kaseka@KasekaNIddy·
Ambae hajui raha ya kuwa CCM ni hii siku, hiki Chama huwa kinajidhirisha utofauti wake na vyama vingine. Kwanza maandalizi ya mkutano, full house, lakini hata mikoani full screen katika ofisi za CCM za Mikoa Bara na Visiwani watu huangalia na kufuatilia Mkutano
Comrade Ntiboneka Kaseka tweet media
Indonesia
3
1
8
74
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
>. Mother of our Nation >. A Truly Great Leader >. A Genuine Champion of Development >. An Excellent Diplomat Number One Sports Enthusiast. 𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐔𝐓𝐔 𝐓𝐔𝐍𝐀𝐒𝐎𝐍𝐆𝐀 𝐌𝐁𝐄𝐋𝐄
Josephath tweet media
English
6
1
6
49
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
Takwimu zinaonesha kuwa laini za simu zilizosajiliwa nchini zimeongezeka kwa asilimia 22.9. ✅Aprili, 2024- laini milioni 73.5 ✅Aprili, 2025- laini milioni 90.4 #MamaAnafanikisha #KaziNaUtuTunasongaMbele
Josephath tweet media
Indonesia
4
0
8
31
Pires Mbezi
Pires Mbezi@pires_mbezi·
Mambo matano muhimu kuyafahamu kuelekea mchezo wa leo wa fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane let's believe in this😎 let's take off the game KICK OFF 22:00PM
Pires Mbezi tweet media
Indonesia
10
0
11
61
sabrinah mwalimu
sabrinah mwalimu@sabrinahmwalimu·
HAKIKISHA UNAJIANDISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA 2025 ✅
sabrinah mwalimu tweet media
Indonesia
8
1
13
38
Moreen Kibona
Moreen Kibona@nisajekibona·
Mapema leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesafiri kwa treni ya SGR toka Dar es Salaam kwenda Dodoma. Kupitia kurasa yake ya Mtandao wa Whatsap amefurahia huduma usafairi huo.
Moreen Kibona tweet media
Indonesia
5
0
8
61
Reuben Misalaba
Reuben Misalaba@reuben_misalaba·
Simba nguvu moja, kila rakheli timu yangu,mwakilishi pekee wa Tanzania na Africa mashariki🇹🇿🇹🇿🔥
Indonesia
6
0
7
35
James Khanga
James Khanga@JamesKhanga·
KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE 🔰
James Khanga tweet media
Indonesia
10
1
11
56
Ngonge Jr
Ngonge Jr@JosephNgonge·
Is the best way of salvation.
Ngonge Jr tweet media
English
7
0
9
40
Ngonge Jr
Ngonge Jr@JosephNgonge·
@eastafricatv Kwanza kama mpila wetu ndio kabisaa zinaharibu Radha ya mpila bwana.
Indonesia
0
0
1
373
Ngonge Jr
Ngonge Jr@JosephNgonge·
Nimeanza tenaaaaaaa! Na upya.
Ngonge Jr tweet media
Euskara
1
0
4
23
Ngonge Jr
Ngonge Jr@JosephNgonge·
Hivi unajuwa kujiandikisha Mala mbili katika vituo viwili tofauti ni Kosa kisheria???
Suomi
0
0
1
32
Ngonge Jr
Ngonge Jr@JosephNgonge·
@Sativa255 Watajazana tuu, even though we are not powerful enough.
English
0
0
1
95
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho wa wakuu wa wilaya ambapo Mhe. Dkt. Vicent Naano Anney amehamishwa kutoka Wilaya ya Bunda kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Maswa huku Mhe. Aswege Enock Kaminyoge akihamishwa kutoka Wilaya ya Maswa kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda. Aidha taarifa ya leo Februari 21 iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka imeeleza kuwa Rais Samia amemteua CPA Juma Ajuang Kimori kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO). CPA Kimori anachukua nafasi ya Bw. Yona Killagane ambaye amemaliza muda wake. Kwa mujibu wa taarifa hiyo Rais Samia amemteua Prof. Edward Gamaya Hoseah kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Benjamin Mkapa. Prof. Hoseah anachukua nafasi ya Dkt. Deo Mtasiwa ambaye amemaliza muda wake. Katika hatua nyingine, Rais Dkt. Samia amemteua Bi Renatha Mtunda Rugarabamu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF). Bi Rugarabamu anachukua nafasi ya Bw. Emmanuel Humba ambaye amemaliza muda wake; Aidha, Rais Samia amemteua Jaji Mstaafu Awadh Mohammed Bawazir ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA). Jaji Mstaafu Bawazir anachukua nafasi ya Jaji Mstaafu Sauda Mjasiri ambaye amemaliza muda wake. #KitengeUpdates
Maulid Kitenge tweet media
Indonesia
20
6
219
15.6K