Reuben Misalaba
83 posts

Reuben Misalaba
@reuben_misalaba
Kampala international university, Bachelor of medicine and surgery Simba nguvu moja, ubaya ubwela Mungu ni mwema,
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2022
120 Takip Edilen15 Takipçiler

ASIEFUNZWA NA MAMAE SISI WALIMWENGU TUPO TUTAMFUNZA
..
#SautiYaVijana
#MtotoWaMkweziNaMkulima
#TunazimaZoteTunawashaKijani
#KaziNaUtuTunasongaMbele

Zanzibar West, Tanzania 🇹🇿 Filipino

Reuben Misalaba retweetledi

MIZIGO ILIYOSAFIRISHWA KWA NJIA YA ANGA IMEONGEZEKA
Mizigo iliyosafirishwa kwa kutumia usafiri wa anga imeongezeka ambapo katika kipindi cha Julai 2024 hadi Machi 2025, jumla ya tani 33,112.5 za mizigo zilisafirishwa ikilinganishwa na tani 27,532 za mizigo zilizosafirishwa katika kipindi kama hicho cha mwaka wa fedha 2023/24.
Kati ya mizigo hiyo, tani 30,637.2 zilisafirishwa nje ya nchi na tani 2,475.3 zilisafirishwa ndani ya nchi.
Ongezeko la mizigo inayosafirishwa linatokana na kuendelea kuimarika kwa usafiri wa anga pamoja na ununuzi wa ndege ya mizigo ya ATCL jambo ambalo limechangia kuongeza kwa usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi.
Hayo ni mafanikio ya utekelezaji wa bajeti ya serikali ya mwaka 2024/25 kwa Wizara ya Uchukuzi.

Indonesia
Reuben Misalaba retweetledi
Reuben Misalaba retweetledi

@KasekaNIddy Ccm mbele kwa mbele, na wavimbe wapasuke, acha waispme namba 🙏🙏🔥🇹🇿👏
Filipino

@Msombejosephath Tusonge mbele, Tanzania ya mama samia 🙏🙏🇹🇿
Indonesia

@MwalimuSab24347 Watanzani wapo tayari kwa ajili ya kupiga kura
Filipino




























