DANIEL MAZIMO 🔰🔰🇹🇿🇹🇿
71 posts

DANIEL MAZIMO 🔰🔰🇹🇿🇹🇿
@daniel_mazimo
lie's cannot live 😫
Tanzania Katılım Aralık 2022
83 Takip Edilen46 Takipçiler

@ikulumawasliano Tumepokea mama kazi tuachie sisi tuendelee kuwahamasisha watanzania wenzetu wakaboreshe Taarifa zao.
Indonesia

@TitoMagoti @ikulumawasliano Mbona mambo yanajieleza Rais kama Raia namba moja wa Nchi hii Ni kazi yake kuhamasisha watu watimize haki zao za msingi
Indonesia
DANIEL MAZIMO 🔰🔰🇹🇿🇹🇿 retweetledi

MAUZO YA BIDHAA ZA TANZANIA KWA NCHI ZA AFRIKA YAMEONGEZEKA
Mwenendo wa mauzo ya nje ya Tanzania katika nchi za Bara la Afrika (AfCFTA) kwa mwaka 2024 yaliongezeka kufikia dola za Marekani milioni 3,946.76 ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 2,341.37 kwa mwaka 2023 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 40.
Ongezeko hilo, lilitokana na kuongezeka kwa masoko mapya chini ya AfCFTA yanayojumuisha nchi za Morocco, Nigeria, Senegal, Ghana, Misri, Ethiopia, Algeria, Djibuti, Somalia na Guinea. Bidhaa zilizochangia mauzo hayo ni pamoja na kahawa, tumbaku, vioo, nafaka (mchele na mahindi), viungo na nyuzi za mkonge.
Hayo ni Mafanikio ya utekelezaji wa bajeti ya Mwaka 2024/2025 kwa Wizara ya Viwanda na Biashara.

Indonesia

@Msombejosephath Hakika ni wakati wa kumsemea yote mazuri aliyowatendea watanzania
Filipino

@JamesKhanga Mama ameanza kutuonyesha mwenyewe kwa vitendo na sie tutoke mbelee kuhakikisha tunajiandikishaa
Filipino

@reuben_misalaba Hahahahaha kaka reuben mmejichanganya
Filipino

@nisajekibona Dada moreen kazi ya Mama ni njema sanaa au wew unasemaje?
Indonesia

@MwalimuSab24347 Na hili ndio jambo la kwanza na la.msingi zaidi ili kuhakikisha tunaenda kutimiza haki yetu ha kikatiba ya kuchagua viongozi
Indonesia

@pires_mbezi Ubaya ubwela sema nini leo mnashinda wanangu for the first time ever
Filipino

@YunadoYusuph Kijana mahiri kabisa katika ubora wako
Filipino

Takwimu zinaonesha kuwa laini za simu zilizosajiliwa nchini zimeongezeka kwa asilimia 22.9.
✅Aprili, 2024- laini milioni 73.5
✅Aprili, 2025- laini milioni 90.4
#MamaAnafanikisha
#KaziNaUtuTunasongaMbele

Indonesia

VIJANA MAHIRI KATIKA UJENZI WA TAIFA TUKIWA NA KAKA YETU KATIBU WA SENETI MKOA WA DAR-ES-SALAAM ILIKUWA SIKU NJEMA SANA YA UJENZI WA MAHUSIANO YA TAWI LA KIUT .
#KaziNaUtuTunasongaMbele

Indonesia

𝗪𝗔𝗦𝗧𝗔𝗔𝗙𝗨 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗣𝗘𝗪𝗔 𝗛𝗘𝗦𝗛𝗜𝗠𝗔 𝗜𝗡𝗔𝗬𝗢𝗦𝗧𝗔𝗛𝗜𝗞𝗜 𝗞𝗨𝗧𝗢𝗞𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗢 𝗪𝗔𝗢 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗨𝗝𝗘𝗡𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗜𝗙𝗔.
#TanzaniaYaSamia
#KaziNaUtuTunasongambele

Indonesia
























